Nini maana ya 'VISIONABLE LEADER'?huu ujinga wa kutaka kusafishana huko ccm huku mkituibia watanzania tumewachoka..
Leo mnamfananisha mchemba na Sokoine?hivi mmekuwa wapumbavu hivi?kiasi cha kuwaona watanzania majuha kama ninyi?..------...
Tunapenda KUSHABIKIA propaganda bila kazi ...Sasa tunapofanya propaganda kwenye Uchumi ..inakuwa Mbaya ....,Mwigulu angefaa Sana ..lakini apunguze propaganda ..asiwe na haraka ..afanye kazi yake vizuri tu ..anaonekana apewe uwaziri Kamili ...kuliko Hii Sasa ya kukurupuka tu kutangaza kila kitu ..hata kwa kutumia kupiga picha na WAGONJWA ...ili tu aonekane
Ni mwendelezo wa upuuzi siku zote!
Jamani kazi si ndo hiyo inaonekana hadi majirani wanatuiga tatizo watz hatuna Uzalendo hatuthamin vya nyumban
Go go Mwigulu
Yaani Mwigulu bado yupo analojia... mwenzie kaja ki-dijitali zaidi.
Hapo ni sawa na kulinganisha akili ndogo na akili kubwa!
Hakuna uhusiano wowote mwigulu a napokea rushwa kubwa hapa wizarani kwa watoa huduma suala la mishahara hewa ni kelele za kutafuta umaarufu tu.
Huyu gaidi ni mtu mpumbavu sana. Hana la maana zaidi ya kuja hapa kwa kutumia IDs tofauti kujipigia debe. Eti huyu gaidi naye anauwania Urais 2015!!!! Kweli Tanzania ni kichwa cha mwendawazimu!
badili heading,amekoshwa sehem gani?
Wewe unawezaji kufahamu kinachondelea sehemu za kazi ilhali wewe sio mfanyakazi bali mpigadebe wa siasa. Suala la kupambana na wafanya kazi hewa halijaanza leo, hata kitendo cha kulipa wafanyakazi kupitia benki ilikuwa ni kupambana na wafanyakazi hewa, enzi za kulipia dirishani ndilo ilikuwa mbaya zaidi, alikuwa akilipa dirishani fungu likabaki anaweka sahihi na kuishia nalo, na ilikuwa rahisi kuongeza majina hewa. Lakini kupitia benki, wafanyakazi hewa wanakuwa ni wale waliofariki, kustaafu au kuacha kazi ambap maafisa utumishi wamechelewa kuwafuta kwenye pay roll, kwa kuwa mshahara huo unaingia benki ni rahisi kuufatilia. Sasa kama kweli huyo unayemsifia anawajibika, twambie kawachukulia hatua gani watendaji waliosababisha mishahara hewa kulipwa, maana mtu hajilipi mshahara bali anajilipwa, hata mimi ningekuwa nafanya kazi halafu nikaacha, mshahara ukaendelea kulipwa, sio kazi yangu kumwuliza mlipaji kwa nini anendelea kukulipa, kazi yangu ni kuangali kila mwisho wa mwezi kama umeingia natoa haraka na kununua mifuko ya twiga cement na mabati.