Uhuru kuongoza usajili wa wahudumu wa umma upya kupitia biometric


Hatua ngapi mia, mia mbili au elfu moja. Maliza kwanza kuchukua hatua kwa EPA, KAGODA na nyingine za namna hiyo.
 

wakununua makaratasi wanasakama kulia bure.
 
I dont trust Mwigulu and never will i try to. Hii michezo tu ya kuelekea 2015 na pia anasafisha njia pesa za uchaguzi na kununulia akina mama vitenge na t shirt zipatikane. Kenyata is real na unaweza kuta walikuwa na plan muda mrefu. Ila pia mwigulu angekuwa amesaidia kama hao waliolipwa mishahara hewa na waliowapa nafasi hizo wangeshughulikiwa vilivyo. 😏😏😏😏kiini macho kwa TZ. Kwa kenya kuna jembe na mpini vimepewa shamba.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…