Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,468
- 911,184
Katika hotuba nzito na yenye sera nzito ya kuimairisha EAC in ya leo ya Rais wa Kenya Uhuru Muigai Kenyatta.
Sasa kwa wanajumuiya ya EAC ni kitambulisho cha uraia kinatosha kuishi, kufanya kazi na kumiliki mali sawa na Mkenya mwingine.
Hakuna kuwaona watu wa immigration au kubughudhiwa kama hapa kwetu.
Kenya kweli ni kichwa cha EAC .
Pitia hapa kupata yaliyojiri kuapishwa kwa Uhuru Kenyatta;
KASARANI, KENYA: Yaliyojiri Sherehe za kuapishwa Rais mteule, Uhuru Kenyatta na William Ruto
Sasa kwa wanajumuiya ya EAC ni kitambulisho cha uraia kinatosha kuishi, kufanya kazi na kumiliki mali sawa na Mkenya mwingine.
Hakuna kuwaona watu wa immigration au kubughudhiwa kama hapa kwetu.
Kenya kweli ni kichwa cha EAC .
Pitia hapa kupata yaliyojiri kuapishwa kwa Uhuru Kenyatta;
KASARANI, KENYA: Yaliyojiri Sherehe za kuapishwa Rais mteule, Uhuru Kenyatta na William Ruto