Uhuru Muigai Kenyatta afungua soko la ajira na uwekezaji kwetu, sisi bado kikwazo!

Uhuru Muigai Kenyatta afungua soko la ajira na uwekezaji kwetu, sisi bado kikwazo!

Ardhi yenu ipi? Unaweza kuwa hata kiwanja huna unabaki ardhi yetu. Yeye hakusemea Tz kasemea Kenya free wewe funga ya kwako halafu utaona wawekezaji wataenda wapi. Mafanikion makubwa ya Dubai kuachia ardhi kwa wageni na nchi kidogo sana sasa nenda kaone boom ya real estate kwao ni asset kubwa.
Sawa, ngoja tusubiri tuone Kenya iwe Dubai ili watupunguzie gharama ya nauli kwenda Dubai. Si ni Kenya hii hii iliyokazania single tourist visas, tulipokataa wakatukashifu sana na kusema wanaendelea na Uganda, Rwanda, leo kikowapi?, wameanza kugombana wenyewe kwa wenyewe, wakati pato la utalii la Tanzania ni sawa sawa na mapato ya nchi zote tatu kwa pamoja.
 
Ardhi yenu ipi? Unaweza kuwa hata kiwanja huna unabaki ardhi yetu. Yeye hakusemea Tz kasemea Kenya free wewe funga ya kwako halafu utaona wawekezaji wataenda wapi. Mafanikion makubwa ya Dubai kuachia ardhi kwa wageni na nchi kidogo sana sasa nenda kaone boom ya real estate kwao ni asset kubwa.
Hata useme nini hatuachii ardhi yetu ng'ooo
 
Mleta mada huna tofauti na akili ya samaki anayewekewa chambo na kudhani aliyefanya hivyo ni mjinga.

Kwa akili hizi ndio maana tuliweza kutawaliwa bila kujua walifanikiwa vipi wakoloni kututawala.

Kenya is saturated.

Kenyatta anaweka mtego ili wajinga wa aina yako aweze kuwakamata!
Unajiona upo huru kwa kuwekewa mipaka iliyotengenezwa na wakoloni ili iwe rahisi kutawaliwa. Watu wanataka Africa iwe nchi moja, nyie mnazidi kuigawanya na mnajiona welevu.
 
Hilo hapa HATUTAKI! Wanajua fursa zipo huku ...
Fursa gani? Juzi TRA wanaomba kazi foleni utasema kuna maandamano. Yeye hakusema Tz kasema East africa na sio lazima kwenda. Watu tuko hapa njaa tu haya tuonyeshe hizo fursa labda hatuzioni
 
Kenya wenyewe ajira haziwatoshi ndio mgogoro mkubwa hivyo Kenyata anatutega Kwa sababu anajua ajira kwake na ardhi hakuna so hakuna jipya jiongeze mleta mada....ni sawa na mtu Ana heka moja jangwa na mwngne Ana heka moja imejaa ndizi mbivu alafu anasema tukale ndizi mashamba yote wakati anajua lake ni jangwa halina ndizi
Good words
 
Well Said

WTZ wengi wanamatatizo,tangu lini Mkenya akampenda MTZ hushtuki tu?
Kwani mmeambiwa na nyie mbadili sera?

Wao ndo wameamua iwe hivyo na eanaitumia. Uzuri ni kwamba hawajasema kwa watanzania tu. Ni EAC. Sasa nyie mnaopewa kadi ya mwaliko mnaogopa kuhudhuria kwa kusema eti ni mtego, huko tunaita ni kuishi kwa mazoea. Kwamba huwezi kuwa na maamuzi yako mwenyewe mpaka uone mwenzako kafanya
 
Jamani kenya hapo karibu tu.fursa hiyo.Ila nafurahi kuwaona watanzania wametapakaa kila kona ya Dunia wakichangamkia fursa
 
Sawa, ngoja tusubiri tuone Kenya iwe Dubai ili watupunguzie gharama ya nauli kwenda Dubai. Si ni Kenya hii hii iliyokazania single tourist visas, tulipokataa wakatukashifu sana na kusema wanaendelea na Uganda, Rwanda, leo kikowapi?, wameanza kugombana wenyewe kwa wenyewe, wakati pato la utalii la Tanzania ni sawa sawa na mapato ya nchi zote tatu kwa pamoja.
Sasa ndugu tangu Uhuru kasema sera za Kenya hakusema Tz. Kafungua visa kwa Africa na kwa majirani karuhusu zaidi ya visa hizi ni sera zake. Tz watabaki na sera zao ambazo ni viwanda, ndege na watumishi hewa. Nimeongelea Dubai sio kuwa wawe kama wao nimesema sababu kubwa ya Dubai kuvutia wawekezaji ni kumilikisha land kwa wageni ukichukulia hata ardhi hawana. Ndio maana waone wao na majirani zao tofauti zao.
 
Kenya will never succeed over Magufuli.. Magu anaakili mpk anaboa.. [emoji23][emoji23]
 
Katika hotuba nzito na yenye sera nzito ya kuimairisha EAC in ya leo ya Rais wa Kenya Uhuru Muigai Kenyatta.

Sasa kwa wanajumuiya ya EAC ni kitambulisho cha uraia kinatosha kuishi, kufanya kazi na kumiliki mali sawa na Mkenya mwingine.

Hakuna kuwaona watu wa immigration au kubughudhiwa kama hapa kwetu.

Kenya kweli ni kichwa cha EAC .

Wabaki na sera yao hapa Bongo hatuna sababu ya kuwa na hiyo sera, Good move in Kenyan context
 
Kenya ardhi yote inamilikiwa na matajiri wakubwa hawana ardhi wanataka tuingie kingi waje kupora ardhi yetu
Kha! haya kaaeni na ardhi yenu maskini wakubwa nyie. 1ksh = tsh 21.72 ardhi hiyo inamsada gani kwenu?
 
Sasa ndugu tangu Uhuru kasema sera za Kenya hakusema Tz. Kafungua visa kwa Africa na kwa majirani karuhusu zaidi ya visa hizi ni sera zake. Tz watabaki na sera zao ambazo ni viwanda, ndege na watumishi hewa. Nimeongelea Dubai sio kuwa wawe kama wao nimesema sababu kubwa ya Dubai kuvutia wawekezaji ni kumilikisha land kwa wageni ukichukulia hata ardhi hawana. Ndio maana waone wao na majirani zao tofauti zao.
Wewe huna unalojua kuhusu Dubai usipige kelele, salichofanya Dubai, ndicho wanachofanya Zanzibar kuhusu umiliki wa ardhi, kwanini Zanzibar haibadiliki?, Dubai ukitaka ardhi kuwekeza, lazima uwe na kishika uchumba sio chini ya dola nusu bilioni, unaweka kama dhamana ya uwekezaji, usije ukachukua ardhi ukageuka kuwa tapeli, na Zanziba wanatofautiana na kiwango cha fedha, lakini sera ni hiyohiyo, huku kuachia tu kila mtu aingie kiholela hakuna tija yoyote ile, wenye pesa hata leo wanakaribishwa
 
Kha! haya kaaeni na ardhi yenu maskini wakubwa nyie. 1ksh = tsh 21.72 ardhi hiyo inamsada gani kwenu?
Umesahau mambo mengine ya kulinganisha, njaa, biggest slums, police killings, rushwa, ukabila, umasikini wa kupitiliza, unemployments.......

Wale wanaotaka kwenda Kenya, hii ni leo polisi wameua mtoto wa shule
Se connecter à Facebook | Facebook
 
Katika hotuba nzito na yenye sera nzito ya kuimairisha EAC in ya leo ya Rais wa Kenya Uhuru Muigai Kenyatta.

Sasa kwa wanajumuiya ya EAC ni kitambulisho cha uraia kinatosha kuishi, kufanya kazi na kumiliki mali sawa na Mkenya mwingine.

Hakuna kuwaona watu wa immigration au kubughudhiwa kama hapa kwetu.

Kenya kweli ni kichwa cha EAC .

Si kwl kwa kile ulichoandika mkuu mana kwenye mambo ya uchumi land isn't the only spice that justifies the welfare of the economy. Laborforce also machinery (factories/industries) are the real forces behind economic freedom and prosperity. So we are lacking in Tanzania kwa sasa ni management, discipline and patriotism among leaders and the people in general.

So don't be fooled by what's happening to Kenya and its economy since u well know that they have the most efficient means of production which under cuts of economic score. But in so far we are trying to make some things right though it will take some time which we can't cope up with Kenyans if we still think we are better for we have free land entrusted to the government.

South Africa is a good example: its land is dominated by the white south Africans yet their economy strives harder. So most African countries our main problem is management, discipline, leadership and so forth.

NB: Economy of a country isn't only determined by land ownership but for economy is diversify and isn't determined by speculation.
 
Si kwl kwa kile ulichoandika mkuu mana kwenye mambo ya uchumi land isn't the only spice that justifies the welfare of the economy. Laborforce also machinery (factories/industries) are the real forces behind economic freedom and prosperity. So we are lacking in Tanzania kwa sasa ni management, discipline and patriotism among leaders and the people in general. So don't be fooled by what's happening to Kenya and its economy since u well know that they have the most efficient means of production which under cuts of economic score. But in so far we are trying to make some things right though it will take some time which we can't cope up with Kenyans if we still think we are better for we have free land entrusted to the government. South Africa is a good example: its land is dominated by the white south Africans yet their economy strives harder. So most African countries our main problem is management, discipline, leadership and so forth.
NB: Economy of a country isn't only determined by land ownership but for economy is diversify and isn't determined by speculation.
Jaribu kutumia English kamili au kiswahili kamili,hili jukwaa linatumiwa na watu wenye uelewa mkubwa.je kwenye mtihani au usahili ungeandika hivyo.nisamehe Kama bado unasoma chekea
 
Fikra za kimasikini kama za John hizi!!! Ninao jamaa zangu kibao tuu na elimu yetu ya Ngumbalo wanafanya Kazi Kenya
Fanya utafiti utajua hao jamaa zako ni wangap ukilinganisha na Watanzania 50m? ushawahi kujiuliza soko likiwa huru win win situation itakuwaje...kuna mambo mengne si lazma tuandke apa cz kuna hao wenzetu wa Kenya apa lakini ni big No Tanzania isikubali huo mtego kwa taarifa yako East Africa nzima fursa 90% zpo Tanzania pekee
 
Back
Top Bottom