Uhuru Muigai Kenyatta afungua soko la ajira na uwekezaji kwetu, sisi bado kikwazo!

Uhuru Muigai Kenyatta afungua soko la ajira na uwekezaji kwetu, sisi bado kikwazo!

Key rule of the game kwa regional integration, the strongest economic member ndiye atajayepata faida Kubwa na longterm one kwa hiyo sishangai kwa Kenya kuchampion swift integration kwani soko la bidhaa na huduma na rasilimali watu lake litazidi kuwa kubwa na uchumii wake utazidi kuwa imara, si rahisi kwa viwanda vya TZ kushindana na viwanda vya Kenya vilivyoimarika Muda mrefu.

Kwa upande wa ardhi majirani watu Wana shida kubwa ya ardhi na wanaimezea mate ardhi ya Tanzania.

kwa ajira pia wanajua itakuwa si rahisi kwa watu kutoka nchi nyingine za EA kupata kazi nzuri Kenya mifumo ya Elimu yao iko bora kuliko members wengine.

Wa TZ tuwe makini na cheap mitego
 
Katika hotuba nzito na yenye sera nzito ya kuimairisha EAC in ya leo ya Rais wa Kenya Uhuru Muigai Kenyatta.

Sasa kwa wanajumuiya ya EAC ni kitambulisho cha uraia kinatosha kuishi, kufanya kazi na kumiliki mali sawa na Mkenya mwingine.

Hakuna kuwaona watu wa immigration au kubughudhiwa kama hapa kwetu.

Kenya kweli ni kichwa cha EAC .

Pitia hapa kupata yaliyojiri kuapishwa kwa Uhuru Kenyatta;
KASARANI, KENYA: Yaliyojiri Sherehe za kuapishwa Rais mteule, Uhuru Kenyatta na William Ruto

Hili lifala ni liKenya then linajifaragua kujifanya ni Mtanzania.

Achana na sisi wewe fala, jichanganye na mafala-wakenya wenzio.
 
Kwa hiyo hilo kanisa ndiyo biashara? Cc watz kwa uongozi huu wakenya wamekwama. Bidhaa muhimu zote zinapatikana kirahisi ndani na nje ya Tz.Barabara zinapitika kila mahali. Si kama miaka ile tulipolazimika kupitia Nairobi na Kampala ili kufika Mwanza na Bukoba.Subirini mradi wa Stiegler's ukamilike muone namna viwanda mama vitakavyoimaliza kabisa kenya na bidhaa zake huku Tz.
Acha nyege bwege,omo ni ya????😀
 
Back
Top Bottom