Uhuru Muigai Kenyatta afungua soko la ajira na uwekezaji kwetu, sisi bado kikwazo!

Uhuru Muigai Kenyatta afungua soko la ajira na uwekezaji kwetu, sisi bado kikwazo!

True lakini kumbuka Kikwete alisema ni wakati anahutubia bunge Kenya, kila mtu anamuhitaji mwenzake huwezi kuendelea bila kushirikiana. Kenya ni second big invester kwetu kama sikosei kwa maneno ya JK. Waarabu wanaweka mazingira mazuri kwa investment na land ni sehemu tu. Sisi bila kutengeneza mazingira rafiki na kuongea Direct investment hatuwezi kufika mbali. Na kama wa Kenya wanataka raw materials kwetu hiyo ni good news ni soko why not. Pia tukumbuke Kenya wali survive hata wakati wa ujamaa kwetu na mipaka ilifungwa lakini wakatuzidi so ni win win situation.
Sio kweli mengi uliyoyazungumza hapa, sijui nianze na lipi maanake umezungumza mambo mengi mchanganyiko, tuanze na raw materials, Tanzania hatuhitaji kusafirisha raw materials kwenda nje ya nchi, tunachohitaji ni kuwa na viwanda ili tuuze bidhaa zilizosindikwa, kuwauzia Kenya raw materials, sio win win wala sio jambo zuri, mbona wao hawatuuzii raw materials, unadhani hawana?

Kuhusu kuhitajiana, ni muhimu sana kushirikiana, lakini ni lazima ushirikiano huo uzingatie makubaliano yenye tija kwa nchi zote, sio kulenga upande mmoja tu kwa maslahi yake, na hiyo ndiyo tabia ya nchi ya Kenya, huwa inajali maslahi yake bila kujali nchi zingine hii ni kwa sababu uchumi wa Kenya ni wa kibepari, kwa mfano nchi za EAC zilikubaliana kwa pamoja kupiga marufuku nguo za mitumba baada ya kujiridhisha kwamba tunauwezo wa kuzalisha nguo za kutosha humu EAC, Marekani ikasema nchi yoyote itakayopiga marufuku mitumba itaondolewa ktk mpango wa AGOA, Kenya bila kushauriana na wenzake haraka ikavunja ule mkataba wa kupiga marufuku mitumba, sasa hivi Kenya ni nchi pekee iliyojitoa kwa kuigopa Marekani, sasa hiyo ni nchi ya kuitegemea?.

Kuhusu Ujamaa kwamba walituzidi, wewe ndugu yangu ndiyo hujui kabisa uchumi unavyokwenda. Sisi tulivyopata uhuru hatukuamua kujenga uchumi moja kwa moja kama Kenya, tulianza na kujenga msingi imara wa nchi, ili iweze kuhimili uchumi endelevu na wenye nguvu, tulishughulikia umoja wa kitaifa ili tupate amani ya kudumu, tukaondoa ukabila, tukakataza watu kujichukulia ardhi kiholela, tukaondoa tabaka la matajiri na masikini. Baada ya kukamilisha hayo ndiyo tukaanza kujenga uchumi, wewe mwenyewe ni shahidi jinsi uchumi wetu unavyopanda steady ans surely. Kenya wao walianza kujenga uchumi bila kujenga misingi imara, mwanzoni walifanya vizuri, ila sasa unaona kinachotokea?, uchumi ulijengwa juu ya msingi wa mchanga sio mawe sasa umeanza kuporomoka
 
Kwa akili hizi ndio maana tuliweza kutawaliwa bila kujua walifanikiwa vipi wakoloni kututawala.

Kenya is saturated.

Kenyatta anaweka mtego ili wajinga wa aina yako aweze kuwakamata!
....Unazungumzia wakoloni wepi kwanza? Weupe au weusi wanaosubiri kuondolewa na jeshi?
 
...Yeess Donkey fursa si ardhi tuu, ndiyo maana Kenya kibiashara wako vizuri sana. Sisi na li ardhi la kumwaga bado hatuwakuti economically.
Unamaanisha nini ukisema economically, au unamaanisha GDP?
 
Ardhi tunayo je tumefanyia maendeleo gani Kenya wana ardhi ndogo. Baada ya Zimbabwe kuwafukuza wakulima wa kizungu Zambia na Malawi ziliwakaribisha kwasasa nchi hizo zinaongaza kwa uzalishaji wa mahindi kusini mwa Africa. Mtakaa kusema mtanyangwa ardhi wakati hamtumii vizuri
Which is which?
Kenya ardhi yote wamegawana wanasiasa na wazungu na kuwaacha wakenya wengi wakibaki maskini wa kutupwa,
Kumbuka wakenya 46% wanaishi chini ya dola moja na hii imechangiwa na uhaba mkubwa wa Ardhi.
Familia ya Kenyatta pekee inamiliki ardhi inayotosha wakenya milioni 20,The Kenyatta Family Land Enough To Settle 20 Million Kenyans
Mwambieni arudishe ardhi kwa wakenya aache kuleta michezo ya kitoto.
 
Mjasiriamali si mfanya biashara tu au mwanzisha biashara ndogo. Jiongezeni maarifa kwa elimu ya ujasiriamali.
Hiyo biashara pasi na ardhi kwa nature ya uchumi wetu, utaianzisha angani au hata isiihusishe sekta ya ardhi?
 
Fikra za kimasikini kama za John hizi!!! Ninao jamaa zangu kibao tuu na elimu yetu ya Ngumbalo wanafanya Kazi Kenya
Duh! Sijui hapa Masikini au mwenye fikra zake ni nani, jamaa zako wengi wako Kenya, na falsafa zao na ulizorithishwa wewe huendi huko Kenya, hakika sikuelewi. Ulitakiwa, wewe useme uko Kenya na life ni bomba kuliko ambavyo ungeishi Tz.

Mi Nijuavyo, watz Kenya si kimbilio kubwa, hakuna fursa nyingi, watz wanafikirilia nje ya box, ila wao wapo hapa hadi viwandani, wakifanya kazi za kawaida hadi MAzava Morogoro.

Mbostwana kubaki kwake, utaianzisha kuna neema, watz wanakimbilia huko. Sio Kenya. Sawa, bandugu wako Kenya, wako kama nani, wana tofauti gani na wenzao walio waacha Tz, na kama Tz inawaajiri wakenya kwa wingi, Kwanini wenyewe wasipeane hizo ajira?

Afrika ni moja, ila Kenya au any East African state, hatuna la kuchekana, maendeleo ni ya watu, kamwe si ya vitu. Anayoyamiliki mtz by virtue ya kuwa tu mtz mkenya wa kawaida hawezi kuwa nayo kamwe, Niko na viheka vyangu vitano vya ardhi yenye rutuba, kila kimoja toka mikoa minne ya Tz.
 
True lakini kumbuka Kikwete alisema ni wakati anahutubia bunge Kenya, kila mtu anamuhitaji mwenzake huwezi kuendelea bila kushirikiana. Kenya ni second big invester kwetu kama sikosei kwa maneno ya JK. Waarabu wanaweka mazingira mazuri kwa investment na land ni sehemu tu. Sisi bila kutengeneza mazingira rafiki na kuongea Direct investment hatuwezi kufika mbali. Na kama wa Kenya wanataka raw materials kwetu hiyo ni good news ni soko why not. Pia tukumbuke Kenya wali survive hata wakati wa ujamaa kwetu na mipaka ilifungwa lakini wakatuzidi so ni win win situation.
Kenya wali survive wakati wa Ujamaa kwetu? Mi si mpenzi sana wa ufuatiliaji wa haya mambo, ila kwa pamoja mimi nawe na tufanye risechi ndugu. Nadhani jibu liko wazi sana.

Tz na Kenya ktk kipindi cha Ujamaa wa Tz, nani aliyekuwa na wananchi wengi wajinga (wasiojua kusoma na kuandika),wenye njaa wengi, aliyetegemea zaidi mataifa ya nje kujiendesha, aliyekuwa na uwezo kiuchumi wa kufanya vita (taifa ni pamoja na kujitawala) nje na ndani, nani kidiplomasia alikuwa leader, huduma za maji, elimu, afya, kilimo, ardhi, bora zaidi kwa watu wake wa mjini na vijijini.

Nikumbukavyo, vita dhidi ya adui ujinga kwa Kenya ilianzishwa na Mwai wala si Moi. Ila kwa Tz, yote hayo ni baada ya kuvunjika kwa 77s EAC na Kagera War. Leo Somali gangsters, ambao hata Tz walishaijaribu mara kadhaa wakafeli, utulivu wote huo, bado tu Tz ni threat kwao,,, inanishangaza Tz hii.
 
Katika hotuba nzito na yenye sera nzito ya kuimairisha EAC in ya leo ya Rais wa Kenya Uhuru Muigai Kenyatta.

Sasa kwa wanajumuiya ya EAC ni kitambulisho cha uraia kinatosha kuishi, kufanya kazi na kumiliki mali sawa na Mkenya mwingine.

Hakuna kuwaona watu wa immigration au kubughudhiwa kama hapa kwetu.

Kenya kweli ni kichwa cha EAC .

Pitia hapa kupata yaliyojiri kuapishwa kwa Uhuru Kenyatta;
KASARANI, KENYA: Yaliyojiri Sherehe za kuapishwa Rais mteule, Uhuru Kenyatta na William Ruto
Mleta uzi ukiwa na uwezo wa kufikiri nje ya box basi hili jambo usifikiri ni jema ,kenyata anatengeneza mazingira ya watu wake kuja kuishi ardhi ya tanzania ambayao kiukweli kwa chakula imejaliwa na mungu ,,tena tusitamani ushirikiano wa east africa kupitiliza itakula kwetu sisi sio mafala kiasi hiko
 
Mleta uzi ukiwa na uwezo wa kufikiri nje ya box basi hili jambo usifikiri ni jema ,kenyata anatengeneza mazingira ya watu wake kuja kuishi ardhi ya tanzania ambayao kiukweli kwa chakula imejaliwa na mungu ,,tena tusitamani ushirikiano wa east africa kupitiliza itakula kwetu sisi sio mafala kiasi hiko
Mbona Ardhi ya Tanzania na sio Uganda , South Sudan au Taifa lolote la EAC ?

Hivi wajua Ardhi wanazomiliki Wahindi na Waarabu Tanzania ? Manji n.k.
 
Mimi nimesoma na hao jamaa waKenya hawajawahi kumpenda mTZ hata siku moja. Yaani hata kwenye mitihani wanagawa maksi kwa upendeleo kwa Wakenya wenzao.
Muongo mkubwa weye. Uccm utakuua. Elimu Kenya hamna upendeleo.
 
Katika hotuba nzito na yenye sera nzito ya kuimairisha EAC in ya leo ya Rais wa Kenya Uhuru Muigai Kenyatta.

Sasa kwa wanajumuiya ya EAC ni kitambulisho cha uraia kinatosha kuishi, kufanya kazi na kumiliki mali sawa na Mkenya mwingine.

Hakuna kuwaona watu wa immigration au kubughudhiwa kama hapa kwetu.

Kenya kweli ni kichwa cha EAC .

Pitia hapa kupata yaliyojiri kuapishwa kwa Uhuru Kenyatta;
KASARANI, KENYA: Yaliyojiri Sherehe za kuapishwa Rais mteule, Uhuru Kenyatta na William Ruto
The Kenyatta Family Land Enough To Settle 20 Million Kenyans
Mwambie Huyo Kenyata unayemshangilia awagaie wakenya ardhi kwanza waliyojimilikisha huwez kuwekeza bila ardhi
 
Watanzania hebu tuwe tunafikiria jambo na kauli zingine hata kama tumedata na maisha ila vitu vingine tuwe na uwezo wa kuvidadavua ndio kama kenya wenyewe wanapigana kila cku ukabila na makabila hayafiki hata 20 na wewe ujitoe kwachakwacha msukuma wa chato eti unaenda kutafuta fulsa hzo fursa wenyewe hawazioni kama unataka kuwekeza na una mtaji kimekushinda kuwekeza nn tanzania wakati haikuhitaji gharama kubwa ya umiliki wa ardhi kama kenya huyo katoa fursa kwenda kugegedana mombasa na kuzaliana ila cyo kuwekeza wengi humu tunajifanya tuko vzr kumbe hamna kitu tumejificha kwenye mashina ya mipilipili hela tu ya kujengea huna hiyo ya uwekezaji ukaitoe wapi au unataka ukapange mitumba barabarani ndio fursa kama mjini kugumu rudi kijijini kuna mashamba ya ukoo kalime mbafu thana
Inaonyesha huna ufahamu mpana wa jinsi watanzania wapo wenye uwezo mkubwa kuwekeza popote pale duniani.Kwa jinsi ulivyoandika inaonyesha akili yako imegota kufikiri na kuona kuwekeza Kenya ni kwenda kuhangaika na Mitumba au kulima nyanya.kuwekeza ni kutumia ubunifu ukisaidia na shule kichwani.kwani wachina hapa Tanzania wamewekeza Wapi.tumia akili yako kuchanganua mambo na kuisadia jamii yako.nisamehe kama bado unasoma chekea
 
Katika hotuba nzito na yenye sera nzito ya kuimairisha EAC in ya leo ya Rais wa Kenya Uhuru Muigai Kenyatta.

Sasa kwa wanajumuiya ya EAC ni kitambulisho cha uraia kinatosha kuishi, kufanya kazi na kumiliki mali sawa na Mkenya mwingine.

Hakuna kuwaona watu wa immigration au kubughudhiwa kama hapa kwetu.

Kenya kweli ni kichwa cha EAC .

Pitia hapa kupata yaliyojiri kuapishwa kwa Uhuru Kenyatta;
KASARANI, KENYA: Yaliyojiri Sherehe za kuapishwa Rais mteule, Uhuru Kenyatta na William Ruto
Huuu ndo muda wa kuhama na kwenda kenya maana hapa nchini hapafai kibisnes wala kimaisha
 
Back
Top Bottom