Uhuru Muigai Kenyatta afungua soko la ajira na uwekezaji kwetu, sisi bado kikwazo!

Uhuru Muigai Kenyatta afungua soko la ajira na uwekezaji kwetu, sisi bado kikwazo!

Kama waTanzania tunashindwa kufumbua mtego mdogo kama huu wa Kenyatta basi ni wazi kuwa wengi wetu tuna IQ ndogo sana............
Umenena mkuu...Tatzo wengi wanatafata mawazo ya Mgombea flan kisa tu anamuunga mkono Uhuru wanasahau Kua huyo Nae ni bussinessman na marafk zake wengi ni hao wapigaji (nionyeshe marafiki zako nikujue wewe ni nani) na sku zote bussinessman anaangalia faida na hana utu...
 
Mbona watanzania wengi wanaishi Kenya na sijawahi kusikia msako wa kuwarudisha.hii maana yake hawana Matatizo na jibu ni kuwa wanapendwa
tz wanaunafiki kweli,kenyatta ametaja sera za kenya pekee,hajasema mkulu afungue mipaka
 
Serikali ya Kenya haimiliki ardhi! Huwezi kusemea kitu usichomiliki! Ardhi Kenya ni Mali ya watu binafsi na huwezi kuwapangia! Kama anataka ns yuko serious basi atukaribishe kwenye ardhi anayomiliki yeye binafsi, atuambie atatuuzia kwa sh ngapi! Familiya ya Kenyatta inamiliki sehemu kubwa sana ya ardhi yenye rutuba Kenya!
 
Kama waTanzania tunashindwa kufumbua mtego mdogo kama huu wa Kenyatta basi ni wazi kuwa wengi wetu tuna IQ ndogo sana............
Anatualike tukaoe Kenya wakati anajua mabinti wote (ardhi yote) walishaolewa tayari (ardhi yote ina wamiliki tayari)
 
tz wanaunafiki kweli,kenyatta ametaja sera za kenya pekee,hajasema mkulu afungue mipaka
Ametega! Sera ya Kenya ardhi ni ya binafsi! Huwezi kukaribisha watu wengine kwenye Mali ya ya binafsi! Huo ni uongo! ametega! Lakini mtego huo hautanasa kitu!
 
Frankly nimpongeze Uhuru Kenyata kwa kutaka kupima uwezo wetu wa kufikiri. Nimpe angalizo kuwa ametupima sasa ukimya wetu unadhihirisha kuwa sisi hatuna haja ya kumwambia ndiyo au hapana. Ila amefahamu kuwa Watz tulichelewa kujua njia ya kwenda ila haimaanishi hatukujua njia ya kurudi.

Wao wanadhani sisi ni vipofu kwa kutoa ruksa ya kuingia kwenye uvungu wa vitanda vyao ili hali wanavitanda vya tofari? Tokea lini kitanda cha tofari kikawa na uvungu? Namaanisha wamefungua milango ya mgeni kuwa sawa na mkenya akanunue ardhi kenya ili hali ardhi ya wazi kenya ibebakia ardhi ya barabara tu. Hata mazishi utasikia yatafanyika shambani kwake.

Tukiiga kujisaidia kwa tembo tutachanika msamba. tuwaruhusu fursa zingine sio ardhi .
 
hivi unawajua vizuri wakikuyu? waulize waliolizwa nao!
hapa sintamsahau haraka marehemu SITA alivyotetea kwa nguvu zote kuhusu ardhi ya tanzania.
 
Sisi watu wa mpakani tunajua umuhim wake....
Mimi mkazi wa mpakani pia upande wa Kenya. Hawajui wanachosema hawa. Kauli yetu ni kuwa urais ni wa muda tu huyo JPM siku yake itafika na atarudi Chato. Sisi huku mipakani tutabaki na tutaishi kwa amani watz kwa wakenya kama ilivokuwa tangu jadi.
 
Mualiko wa rais Uhuru ni kwa warwanda waganda warundi na wasudi pia. Sijui mtego mnaosemea umewekwa unase watz ni mtego gani huo. Mnadhani Uhuru anafanya maamuzi akitizama tz? Tuna jirani wengi sana. Warwanda walishachangamkia fursa hata kabla ya mualiko wa rais. Wanachapa biashara za hela si mchezo. Kwetu Kajiado pale Kitengela warwanda wana kanisa lao kubwa sana. Kila nikifika home huwa naenda kushiriki kwenye kanisa lao. Yaani ukiona ma usher wa kukaribisha wageni, dada wa kinyarwanda yaani hata uwe muislam kusilimu utasilimu tu. Hehe wabongolala endeleeni kulala.
 
Mualiko wa rais Uhuru ni kwa warwanda waganda warundi na wasudi pia. Sijui mtego mnaosemea umewekwa unase watz ni mtego gani huo. Mnadhani Uhuru anafanya maamuzi akitizama tz? Tuna jirani wengi sana. Warwanda walishachangamkia fursa hata kabla ya mualiko wa rais. Wanachapa biashara za hela si mchezo. Kwetu Kajiado pale Kitengela warwanda wana kanisa lao kubwa sana. Kila nikifika home huwa naenda kushiriki kwenye kanisa lao. Yaani ukiona ma usher wa kukaribisha wageni, dada wa kinyarwanda yaani hata uwe muislam kusilimu utasilimu tu. Hehe wabongolala endeleeni kulala.
90% ya biashara zote zinazofanywa ndani ya EAC zinafanywa na nchi gani kama sio Kenya na Tanzania?
 
90% ya biashara zote zinazofanywa ndani ya EAC zinafanywa na nchi gani kama sio Kenya na Tanzania?
Ukialikwa na myu yeyote ule una haki ya kukataa. Wale ambao wana haja watachangamkia fursa. Warwanda wamesha changamkia. Akili ya mtz ni ya ajabu sana. Eti mtego. Shit you guys need education. Uhuru hajasema tz mkubalie wakenya pia. Wala sikuskia akitaja tz. Kama huna akili ya biashara bakia huko huko vijiweni ukiuza kahawa na kaimati.
 
Ukialikwa na myu yeyote ule una haki ya kukataa. Wale ambao wana haja watachangamkia fursa. Warwanda wamesha changamkia. Akili ya mtz ni ya ajabu sana. Eti mtego. Shit you guys need education. Uhuru hajasema tz mkubalie wakenya pia. Wala sikuskia akitaja tz. Kama huna akili ya biashara bakia huko huko vijiweni ukiuza kahawa na kaimati.
Wewe unaangalia sehemu ndongo ya hiyo kauli ya Kenyatta, hao wanyarwanda ulio wasema hakuna hata mmoja ana mtaji wa zaidi ya $100,000.

But I look on Kenyatta's statement in very diffident way, and more is on professional point of view. Tanzania ni nchi pekee ukiacha Rwanda Burundi Uganda South Sudan haijapata civil war. Kitu unachoweza kupiteza haraka sana wakati wa civil war is your brainy workforce. Tanzania kama Kenya bado inazalisha professional wengi kulinganisha na nchi hizo zingine. Kenyatta anajuwa kauli yake itaenda brain drain other EAC countries na nani tamuumiza zaidi kama sio Tanzania? This goes even deeper than that, makampuni ya nje yakija Kenya they can recruit anyone from all those member states, KQ will gain more passengers from all those counties, Kenyans banks will bank all those people.

But dawa yake tunayo na tunaijuwa, quality jobs ambazo zinazalishwa Tanzania, they can't be matched in Kenya.
 
Hapo umenena. Wakenya wamejibanza huku Tz ambako kuna ardhi. Kauli yake ni sawa na mtu kuomba eti mfuge ng'ombe kwa ubia, yeye anao 5 wewe 200 na mgawane faida sawa sawa.Viwanda vinavyojengwa kwa kasi Nchini vinawatisha wakenya kwa kuwa Tz lilikuwa koloni la Kenya upande wa bidhaa za viwandani. Sasa buzi linakata kamba unatarajia wao wataishije na nusu ya nchi yao ni jangwa?
 
Kwa hiyo hilo kanisa ndiyo biashara? Cc watz kwa uongozi huu wakenya wamekwama. Bidhaa muhimu zote zinapatikana kirahisi ndani na nje ya Tz.Barabara zinapitika kila mahali. Si kama miaka ile tulipolazimika kupitia Nairobi na Kampala ili kufika Mwanza na Bukoba.Subirini mradi wa Stiegler's ukamilike muone namna viwanda mama vitakavyoimaliza kabisa kenya na bidhaa zake huku Tz.
 
Back
Top Bottom