Uhuru Muigai Kenyatta afungua soko la ajira na uwekezaji kwetu, sisi bado kikwazo!

Uhuru Muigai Kenyatta afungua soko la ajira na uwekezaji kwetu, sisi bado kikwazo!

Mtu mwenye nyumba ya chumba kimoja na watoto kumi akimwambia jirani yake mwenye jumba la vyumba kumi na watoto watano kwamba mwenye vyumba kumi anakaribishwa kulala kwa mwenye chumba kimoja, nitamuona mwenye chumba kimoja anapiga mahesabu na yeye akaribishwe kwenye jumba la vyumba kumi.

Wakenya kwao mambo tight. Kuanzia ardhi mpaka ajira. Hiyo offer inatafuta reciprocation tu ili Wakenya wapate pa kuhemea.

This is a win win situation kwa Kenya.

Wakija wageni hawawezi ku compete kirahisi.

Jirani waki reciprocate, Wakenya ku hustle ni jadi yao hivyo wataitoa.

Win win situation, the icing on the cake is the appearance of benevolence while all along this has all the signs of Machiavellian machinations.

Watu wanatumia akili kuliko nguvu.

Huku Maguvumsuli anatumia nguvu kuliko akili.
 
Wewe unageuza mada angani, mwanzoni ulisema Dubai imeendelea kwa sababu ya kuruhusu watu kuwekeza, unajua maana ya kuwekeza?, ni tofauti kabisa na kuruhusu watu kuja kukaa free, alichofanya Uhuru ni kuwaruhusu watu kuingia na kuishi free, huko siko kuwekeza hata kidogo, muwekezaji ni lazima awe na mtaji na ujuzi wa kutumia mtaji wake kuzalisha mali na ajira, walioindeleza Dubai, sio hao unaowasema wewe waliokwenda kununua nyumba na kufungua duka, ni watu ambao waliowengi wala hawaishi Dubai, wapo Europe na Amerika, lakini vitega uchumi vyao ndiyo vipo Dubai, nenda Mombasa au Zanzibar ukaangalie uwekezaji mkubwa katika sector ya utalii, hakuna hata muwekezaji mmoja kati ya wale wenye mahotell anayekaa Zanzibar au Mombasa
Eti wa America wewe unadhani wao wajinga sana. Kuna kampuni inaitwa Emaar own na Gov ndio wana develop land wanauza then kuna DPA wao walitaka mpaka kununua newyork port wa operate. Turidi kenya Uhuru katoa sera yake free kufanya chochote kwao sisi sio lazima tuwe kama wao. Angekuwa amesema mimi nafanya hivi na nyinyi mfanye. Kasema Kenya visa free for all African hii itasaidia Kenya airway. Sisemi sera za Kenya or Dubai lazima tucopy zinaweza kuwa fit wao lakini sio sisi. Uhuru yuko clear kasema ukitaka kwenda free kwao simple hakuna pre conditions. Learn from Malaysia visa kwa kila mtu wako wapi.
 
Baba Uhuru fungua nchi.

Watanzania wengine tuko Ulaya na Marekani tukiona Magufuli anatuzingua tunaweza hata kuamua kufikia likizo Kenya.

Huko Tanzania ukisema kidogo tu wanakung'oa kucha.
 
Hivi wale mdk wa Tanzania waliajiriwa Kenya? ama ilikuwa kuwatumia tu ktk namna fulani? ambayo inaweza kuwa replication hapa kwa mara nyingine.
Ile ya ma dokta utumike kama study case.
Wale ma Dr hawakuajiriwa Kenya pamoja na Tz kumaliza process zote mapema. Insurance ya usalama wao ilikuwa ni tatizo, Magufuli baada ya kuona longo longo nyingi aliwachukua wote na kuwaajiri serikalini Tz.

Huu ushabiki maandazi wa baadhi ya Tz ili mradi tu kumkuza Kenyatta unaanza kuwa tatizo sasa. CDM inapandikiza ujinga kwa nyumbxxx wake, inakuwaje mtanzania mwenye akili timamu anaanza kuiponda Tz kwa sera za mitego za Kenya.
 
Wewe unageuza mada angani, mwanzoni ulisema Dubai imeendelea kwa sababu ya kuruhusu watu kuwekeza, unajua maana ya kuwekeza?, ni tofauti kabisa na kuruhusu watu kuja kukaa free, alichofanya Uhuru ni kuwaruhusu watu kuingia na kuishi free, huko siko kuwekeza hata kidogo, muwekezaji ni lazima awe na mtaji na ujuzi wa kutumia mtaji wake kuzalisha mali na ajira, walioindeleza Dubai, sio hao unaowasema wewe waliokwenda kununua nyumba na kufungua duka, ni watu ambao waliowengi wala hawaishi Dubai, wapo Europe na Amerika, lakini vitega uchumi vyao ndiyo vipo Dubai, nenda Mombasa au Zanzibar ukaangalie uwekezaji mkubwa katika sector ya utalii, hakuna hata muwekezaji mmoja kati ya wale wenye mahotell anayekaa Zanzibar au Mombasa
Unajuwa kubishana kwa sera ni kitu kizuri na napenda tuna tofautiana katika hili ndivyo vyama vya siasa walitakuwa kuwa maono tofauti. Kumaliza je kuna kibaya leo Uhuru kasema? Mimi ningekuwa na wewe ingekuwa kasema na wenzetu lazima wafanye hivi, no kasema only Kenya hii ndio sera zao for future. Sisi hatutaki watu sawa tu hakuna ubaya. Wao na waganda wameruhudu dual nationality sisi hatutaki ni sawa labda haitu fit mazingira yetu.
 
Kushinda interview uajiliwe kenya si mchezo tuko wachache sana wakuweza washinda wa kenya hivyo tusiwageze
 
Eti wa America wewe unadhani wao wajinga sana. Kuna kampuni inaitwa Emaar own na Gov ndio wana develop land wanauza then kuna DPA wao walitaka mpaka kununua newyork port wa operate. Turidi kenya Uhuru katoa sera yake free kufanya chochote kwao sisi sio lazima tuwe kama wao. Angekuwa amesema mimi nafanya hivi na nyinyi mfanye. Kasema Kenya visa free for all African hii itasaidia Kenya airway. Sisemi sera za Kenya or Dubai lazima tucopy zinaweza kuwa fit wao lakini sio sisi. Uhuru yuko clear kasema ukitaka kwenda free kwao simple hakuna pre conditions. Learn from Malaysia visa kwa kila mtu wako wapi.
Ukitaka kujua ni akina nani wamewekeza sana Dubai, nenda kwenye stock exchange ya Dubai utaona wawekezaji wakubwa huko, japo waarabu wanapesa nyingi sana, lakini wanapitwa na wazungu katika elimu hivyo pesa zao nyingi zinakosa impact katika mzunguko wa uchumi duniani.

Anyway, ninakubaliana na wewe kwamba alichokifanya Uhuru sio lazima kiwe kinatufaa huku kwetu, na kwa hakika kwa sasa hakitufai, ila ni muhimu sana kwa Kenya. Ni hivi karibuni tu report inayohusu nchi zet hizi za EAC, ilionyesha ni kwa jinsi gani uchumi wa Kenya unavyotegemea east africa integration, ilionyesha wazi kwamba uchumi wa Kenya hauna mizizi ya kujishikisha yenyewe, hivyo utategemea sana mashirikiano na nchi hizi za Afrika Mashariki kwa ajili ya kupata mali ghafi kwa viwanda vyake, soko la kuuza bidhaa, kupata wateja wa kutumia bandari na reli zake, kupata chakula, kupata kazi kwa vijana wake wengi ambao hawana kazi, kwa hiyo alilolifanya Uhuru, anajua nini anachokifanya, na ni lazima afanye hivyo, otherwise uchumi uta collapse kabisa
 
Unajuwa kubishana kwa sera ni kitu kizuri na napenda tuna tofautiana katika hili ndivyo vyama vya siasa walitakuwa kuwa maono tofauti. Kumaliza je kuna kibaya leo Uhuru kasema? Mimi ningekuwa na wewe ingekuwa kasema na wenzetu lazima wafanye hivi, no kasema only Kenya hii ndio sera zao for future. Sisi hatutaki watu sawa tu hakuna ubaya. Wao na waganda wameruhudu dual nationality sisi hatutaki ni sawa labda haitu fit mazingira yetu.
Uhuru leo alichofanya ni ameleta sera za mitego, hakuna kingine.
Free movement ya wana EA kwa kutumia ID tu, Coalition of Willing walishakubaliana ila utekelezaje umekuwa F, Tz tuligoma na tutaendelea kukataa hili, kwa ID tutaingiza watu wengi wa ajabu, kwa hali ya usalama wa EA hii si kitu cha kujaribu.

Ajira, Kenya walikuwa wameshaondoa work permit fee kwa EA wote, vivyo hivyo Uganda na Rwanda pia wamefanya. Tz bado work permit fee ni 500$. Kwa kuwa soko letu la ajira bado gumu ni vyema kuendelea kulinda ukuaji wa rasilimali watu wetu, ila hili kidogo linazungumzika.

Ardhi, hilo halina majadiliano, hatutaki ushosti na nchi yoyote. Kila mtu apambane na hali yake.

Kwa ufupi hizi sio sera mpya sana kwa Kenya, ni kama za wakati wa Coalition of the willing, sote tunajua dhumuni la CoW ilikuwa nini, hapa Kenyatta leo ni amepata tu jukwaa la kufanyia propaganda sera zake.
 
Kule Uganda, kuna wengi tu wanaomuona IDD Amin kuwa shujaa wa dunia, Ujerumani, kuna wengi wanaomuona Hittler kama ndiyo mtu wa kumiga japo dunia nzima ina mlaani, kule Afrika kusini, bado kuna watu wanauchukulia utawa wa makaburu kwamba ulikuwa bora zaidi, japo UNO uliutangaza kuwa utawala dhalimu kuwahi kutokea, hiyo ndiyo dunia, unayo haki na uwezo wa kufikiria vyovyote na kumuona yeyote vile upendavyo, lakini haina maana upo sahihi.
Ni nani amepewa mamlaka ya kusahihisha mawazo yangu na kusema ni sahihi au sio sahihi?
 
Donkey u ain't worthy my time. I think wat u're looking for isn't in me, so if u have nothing to say please cut me some slack cause u bore me with your crappy shit. If u were female I would understand but u're male and thats what scares me the most; I don't need to be urguing with a psyco & a homo at the same time. Just to let u know am straight don't do gay shit & so forth. Calm down and find yourself a class of your own.
 
Ukitaka kujua ni akina nani wamewekeza sana Dubai, nenda kwenye stock exchange ya Dubai utaona wawekezaji wakubwa huko, japo waarabu wanapesa nyingi sana, lakini wanapitwa na wazungu katika elimu hivyo pesa zao nyingi zinakosa impact katika mzunguko wa uchumi duniani.

Anyway, ninakubaliana na wewe kwamba alichokifanya Uhuru sio lazima kiwe kinatufaa huku kwetu, na kwa hakika kwa sasa hakitufai, ila ni muhimu sana kwa Kenya. Ni hivi karibuni tu report inayohusu nchi zet hizi za EAC, ilionyesha ni kwa jinsi gani uchumi wa Kenya unavyotegemea east africa integration, ilionyesha wazi kwamba uchumi wa Kenya hauna mizizi ya kujishikisha yenyewe, hivyo utategemea sana mashirikiano na nchi hizi za Afrika Mashariki kwa ajili ya kupata mali ghafi kwa viwanda vyake, soko la kuuza bidhaa, kupata wateja wa kutumia bandari na reli zake, kupata chakula, kupata kazi kwa vijana wake wengi ambao hawana kazi, kwa hiyo alilolifanya Uhuru, anajua nini anachokifanya, na ni lazima afanye hivyo, otherwise uchumi uta collapse kabisa
True lakini kumbuka Kikwete alisema ni wakati anahutubia bunge Kenya, kila mtu anamuhitaji mwenzake huwezi kuendelea bila kushirikiana. Kenya ni second big invester kwetu kama sikosei kwa maneno ya JK. Waarabu wanaweka mazingira mazuri kwa investment na land ni sehemu tu. Sisi bila kutengeneza mazingira rafiki na kuongea Direct investment hatuwezi kufika mbali. Na kama wa Kenya wanataka raw materials kwetu hiyo ni good news ni soko why not. Pia tukumbuke Kenya wali survive hata wakati wa ujamaa kwetu na mipaka ilifungwa lakini wakatuzidi so ni win win situation.
 
Admin am sorry for any violation of the rules but I just needed some time to fire back cause I can't withstand a psyco & a homo at the same time. What I wrote I didn't mean to offend u, all I needed I to let u know wat I think or my perspective.
 
Kenya ardhi yote inamilikiwa na matajiri wakubwa hawana ardhi wanataka tuingie kingi waje kupora ardhi yetu
Ardhi tunayo je tumefanyia maendeleo gani Kenya wana ardhi ndogo. Baada ya Zimbabwe kuwafukuza wakulima wa kizungu Zambia na Malawi ziliwakaribisha kwasasa nchi hizo zinaongaza kwa uzalishaji wa mahindi kusini mwa Africa. Mtakaa kusema mtanyangwa ardhi wakati hamtumii vizuri
 
Katika hotuba nzito na yenye sera nzito ya kuimairisha EAC in ya leo ya Rais wa Kenya Uhuru Muigai Kenyatta.

Sasa kwa wanajumuiya ya EAC ni kitambulisho cha uraia kinatosha kuishi, kufanya kazi na kumiliki mali sawa na Mkenya mwingine.

Hakuna kuwaona watu wa immigration au kubughudhiwa kama hapa kwetu.

Kenya kweli ni kichwa cha EAC .

Pitia hapa kupata yaliyojiri kuapishwa kwa Uhuru Kenyatta;
KASARANI, KENYA: Yaliyojiri Sherehe za kuapishwa Rais mteule, Uhuru Kenyatta na William Ruto


Admin am sorry for any violation of the rules but I just needed some time to fire back cause I can't withstand a psyco & a homo at the same time. What I wrote I didn't mean to offend u, all I needed is to let u know wat I think or my perspective.
 
Ni nani amepewa mamlaka ya kusahihisha mawazo yangu na kusema ni sahihi au sio sahihi?
Umeshindwa kupata muktadha mzima wa insha yangu, umechukulia neno moja tu la mwisho?, huo ni mkia tu wa habari yangu nzima, rudia tena kuisoma ukiwa free, usichukulie kama kwamba kuna ushindani
 
Ukitaka kujua ni akina nani wamewekeza sana Dubai, nenda kwenye stock exchange ya Dubai utaona wawekezaji wakubwa huko, japo waarabu wanapesa nyingi sana, lakini wanapitwa na wazungu katika elimu hivyo pesa zao nyingi zinakosa impact katika mzunguko wa uchumi duniani.

Anyway, ninakubaliana na wewe kwamba alichokifanya Uhuru sio lazima kiwe kinatufaa huku kwetu, na kwa hakika kwa sasa hakitufai, ila ni muhimu sana kwa Kenya. Ni hivi karibuni tu report inayohusu nchi zet hizi za EAC, ilionyesha ni kwa jinsi gani uchumi wa Kenya unavyotegemea east africa integration, ilionyesha wazi kwamba uchumi wa Kenya hauna mizizi ya kujishikisha yenyewe, hivyo utategemea sana mashirikiano na nchi hizi za Afrika Mashariki kwa ajili ya kupata mali ghafi kwa viwanda vyake, soko la kuuza bidhaa, kupata wateja wa kutumia bandari na reli zake, kupata chakula, kupata kazi kwa vijana wake wengi ambao hawana kazi, kwa hiyo alilolifanya Uhuru, anajua nini anachokifanya, na ni lazima afanye hivyo, otherwise uchumi uta collapse kabisa
Umenifurahisha katika stock exchange, yes huko ndio tunatakiwa tuende waje watu nje wawekeze sio soko lote ni pombe tu wanauza wengine chali. Tunataka watu nje waje waweke pesa katika soko letu.
 
Huo mtego. Kenya huwezi pata kazi mtanzania Wala hamna viwanja vya kununua amesema hivyo ili na sisi tuwaachie goli watufunge magoli. Nashauri serikali ishikilie msimamo wake kuhusu kuwamilikisha wageni Ardhi la sivyo Wakenya wanapenda Ardhi Ni rahisi kununua maploti tukabakia wakimbizi ktk nchi yetu
 
Uhuru leo alichofanya ni ameleta sera za mitego, hakuna kingine.
Free movement ya wana EA kwa kutumia ID tu, Coalition of Willing walishakubaliana ila utekelezaje umekuwa F, Tz tuligoma na tutaendelea kukataa hili, kwa ID tutaingiza watu wengi wa ajabu, kwa hali ya usalama wa EA hii si kitu cha kujaribu.

Ajira, Kenya walikuwa wameshaondoa work permit fee kwa EA wote, vivyo hivyo Uganda na Rwanda pia wamefanya. Tz bado work permit fee ni 500$. Kwa kuwa soko letu la ajira bado gumu ni vyema kuendelea kulinda ukuaji wa rasilimali watu wetu, ila hili kidogo linazungumzika.

Ardhi, hilo halina majadiliano, hatutaki ushosti na nchi yoyote. Kila mtu apambane na hali yake.

Kwa ufupi hizi sio sera mpya sana kwa Kenya, ni kama za wakati wa Coalition of the willing, sote tunajua dhumuni la CoW ilikuwa nini, hapa Kenyatta leo ni amepata tu jukwaa la kufanyia propaganda sera zake.
Kuna mambo mengi hatuwezi kutofautiana. Yule ni rais wa Kenya moja ya kazi kulinda maslahi ya watu wake. Leo kaongelea sera zake no pre condition. Kusema kuwa wao hawana kazi kwani jamani sisi tuna kazi vijana wengi jobless. Hapo katika 500$ na bado wanaleta watu toka nje tujiulize why? Kuna tatizo kubwa la kuaminika ni watu wa madeal tu vijana wanataka kuishi maisha sio ya kipato chao. Wakenya kazi nyingi pamoja free permit ni ngumu kupata kazi kwao lazima uwe bora kuliko wao. Njoo hapa kwetu kazi za kuweza kuajiri hapa wanaletwa wahindi au wakenya sababu ziko wazi. Wenye mali they trust them na wanalipa 500$ wa bure hawataki.
 
Katika hotuba nzito na yenye sera nzito ya kuimairisha EAC in ya leo ya Rais wa Kenya Uhuru Muigai Kenyatta.

Sasa kwa wanajumuiya ya EAC ni kitambulisho cha uraia kinatosha kuishi, kufanya kazi na kumiliki mali sawa na Mkenya mwingine.

Hakuna kuwaona watu wa immigration au kubughudhiwa kama hapa kwetu.

Kenya kweli ni kichwa cha EAC .

Pitia hapa kupata yaliyojiri kuapishwa kwa Uhuru Kenyatta;
KASARANI, KENYA: Yaliyojiri Sherehe za kuapishwa Rais mteule, Uhuru Kenyatta na William Ruto

ni sawa na mtu anayesema nitawapikia chakula kitamu sana mkija nyumbani kwangu, kumbe mtu mwenyewe hana hata chakula, hata yeye mwenyewe hana chakula cha kumtosha yeye tu.
ndivyo ilivyo kwa Kenyatta. anasema njoo kuna kazi wakati yeye mwenyewe ana a big percentum of unemployment stricken youths.
 
Kenya ardhi yote inamilikiwa na matajiri wakubwa hawana ardhi wanataka tuingie kingi waje kupora ardhi yetu
.....As usual badala ya kuona fursa wewe unaona negativity....watu wa negativity success in life huishia kuona kwa wengine
 
Back
Top Bottom