game over
JF-Expert Member
- Jan 1, 2016
- 10,727
- 24,840
Hahahaha.Nimemsikia mheshimiwa Rais mwenye Akili Uhuru Mwigai Kenyata
Akisema:kwanzia leo Raia wa afrika mashariki atakuwa na haki kama mkenya,ataishi,kufanyakazi,kuwekeza na hata kuoa kwa kutumia Kitambulisho pekee.
Hii inaonyesha Rais huyu alivyo na upeo wa mbali na roho ya utu na pia upendo wa watu wa afrika mashari.