Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
njoo mlimba nikuuzie eka laki tano sharti iwe raia wa TZHahah we una ekar ngap hapa tz
nenda mkuuHii maana yake watanzania na wengine wana uhakika wa kuishi Kenya bila bughudha
Katika hotuba nzito na yenye sera nzito ya kuimairisha EAC in ya leo ya Rais wa Kenya Uhuru Muigai Kenyatta.
Sasa kwa wanajumuiya ya EAC ni kitambulisho cha uraia kinatosha kuishi, kufanya kazi na kumiliki mali sawa na Mkenya mwingine.
Hakuna kuwaona watu wa immigration au kubughudhiwa kama hapa kwetu.
Kenya kweli ni kichwa cha EAC na sisi ni mkia wao.
kakurupuka kwa speed ya jet.[emoji23]Rutashubanyuma ungetafakari basis hata kidogo kaka yangu
Usipende kuingiza neno hatu Kwa mawazo yako ukawasemea wengine. Jifunze kutambua nafsi ya wengine kwa kila jamboSisi ni Lazima tulinde Mipaka yetu na Ardhi yetu kwa Cost yoyote hatuwezi kuruhusu upuuzi kama huo Wa UHURU mana tunajua fika anatutega tu na sisi turuhusu hio Asahau kabisa, Bado hatuna Enough skills na knowledge ya Kushindana na Soko la EA Kiuhalisia. Kwanza hio sera yake nauhakika 100℅ Haitakuwa endelevu kuna kitu anatazamia mbele, Tz tunamaeneo makubwa wala hatuhitaji kwenda nje ya apa, Kenya kumejaa ukabila huko je wageni mtawapenda ?
Ardhi yenu ipi? Unaweza kuwa hata kiwanja huna unabaki ardhi yetu. Yeye hakusemea Tz kasemea Kenya free wewe funga ya kwako halafu utaona wawekezaji wataenda wapi. Mafanikion makubwa ya Dubai kuachia ardhi kwa wageni na nchi kidogo sana sasa nenda kaone boom ya real estate kwao ni asset kubwa.Kenya ardhi yote inamilikiwa na matajiri wakubwa hawana ardhi wanataka tuingie kingi waje kupora ardhi yetu
Sisi wananchi ndio serikali mkuuUsipende kuingiza neno hatu Kwa mawazo yako ukawasemea wengine. Jifunze kutambua nafsi ya wengine kwa kila jambo
Kuna watu kweli wa ajabu sana. Yeye kafungua milango ya Kenya hajasema kuna sharti na yeye afunguliwe. Ni sera zake na utaona faida. Sisi kuna watu watabaki ardhi yetu utasema wanamiliki hata kibandaHilo ni kwa Kenya wala hajawaomba ninyi!! So it's free ukitaka kwenda kuwekeza Kenya nenda kuhusu kwenu mtajijua na Laana zenu
hebu fumbua wewe anamaanisha kitu ganiKama waTanzania tunashindwa kufumbua mtego mdogo kama huu wa Kenyatta basi ni wazi kuwa wengi wetu tuna IQ ndogo sana............
Nilikuwa namjibu mleta mada aliyeshauri tuwaige Kenya. Sio kila kitu cha kuiga.Hilo ni kwa Kenya wala hajawaomba ninyi!! So it's free ukitaka kwenda kuwekeza Kenya nenda kuhusu kwenu mtajijua na Laana zenu
Sisi wananchi. Tumia nafsi yako kuchangia mada. Fursa imetoka Kenya ichangamkie.Sisi wananchi ndio serikali mkuu