Uhuru Muigai Kenyatta afungua soko la ajira na uwekezaji kwetu, sisi bado kikwazo!

Uhuru Muigai Kenyatta afungua soko la ajira na uwekezaji kwetu, sisi bado kikwazo!

Fanya utafiti utajua hao jamaa zako ni wangap ukilinganisha na Watanzania 50m? ushawahi kujiuliza soko likiwa huru win win situation itakuwaje...kuna mambo mengne si lazma tuandke apa cz kuna hao wenzetu wa Kenya apa lakini ni big No Tanzania isikubali huo mtego kwa taarifa yako East Africa nzima fursa 90% zpo Tanzania pekee
Acheni ushamba!! Mwenzenu hajataka hizo 50/50 zenu kawaambieni mkawekeze mkitaka mkachume mali bila kuingiliwa wala hajawaomba mfanye kama afanyavyo yeye chagua moja kusuka au kunyoa....
 
Acheni upumbavu na ushamba na huyo Nyapara wenu!! Mwenzenu hajataka hizo 50/50 zenu kawaambieni mkawekeze mkitaka mkachume mali bila kuingiliwa wala hajawaomba mfanye kama afanyavyo yeye chagua moja kusuka au kunyoa....

Mijitu mimasikini inatia kinyaa sana
Jenga hoja acha stress Kenya ukawekeze wapi???unaijua kenya au unakunywa balimi unasema ukawekeze...uskae nyuma ya keyboard na kutype upuuzi....?hivi unajua ata matajiri wa Kenya wamekosa fursa pale wamekmbilia south sudan acha kuropoka ujinga usioujua....huyo Kenyata unayemshabikia na Kina Nyayo... Biwot n Co wameshka kila sector usropoke ujinga kwa usivyovijua tembea uone na fanya utafti kabla haujatype
 
Kenya wenyewe ajira haziwatoshi ndio mgogoro mkubwa hivyo Kenyata anatutega Kwa sababu anajua ajira kwake na ardhi hakuna so hakuna jipya jiongeze mleta mada....ni sawa na mtu Ana heka moja jangwa na mwngne Ana heka moja imejaa ndizi mbivu alafu anasema tukale ndizi mashamba yote wakati anajua lake ni jangwa halina ndizi
....ilo nalikataaa kwa asilimia 100%
Hivi umemsikiliza Kenyatta?amesema sera hiyo haijali kama nchi nyingine itafanya nini maana yake hata Tanzania ikiendelea kuwakatisha work permit Wakenya hapa Tanzania lakini Watanzania Kenya watafanya kazi, watafanya biashara na kuanzisha viwanda bila hizo bughudha.

Hatari yake matajiri wengi wataopt kubase Kenya ukizingatia utawala wao wa kisheria upo stable hivyo mali zao zitakuwa salama zaidi Kenya kuliko nchi yoyote Afrika Mashariki na Kati.
 
Hivi umemsikiliza Kenyatta?amesema sera hiyo haijali kama nchi nyingine itafanya nini maana yake hata Tanzania ikiendelea kuwakatisha work permit Wakenya hapa Tanzania lakini Watanzania Kenya watafanya kazi, watafanya biashara na kuanzisha viwanda bila hizo bughudha.

Hatari yake matajiri wengi wataopt kubase Kenya ukizingatia utawala wao wa kisheria upo stable hivyo mali zao zitakuwa salama zaidi Kenya kuliko nchi yoyote Afrika Mashariki na Kati.
Huo ni mtego shtuka na kwa taarifa yako hizo stor na vitisho vya wafanyabishara kukimbilia uko sahau hawatajaribu...wanapeleka yard mbili apo Kenya na Rwanda ili kuitsha serkali...kumbe wanadanganya kule hakuna ukwepaji kodi kama wanaofanya Tanzania adi sasa bado matajiri na wafanyabishara wengi wa Tanzania ni wakwepa kodi pamoja na udhibiti uliopo kule Kenya hawataweza kufanya huo usanii
 
Sisi ni Lazima tulinde Mipaka yetu na Ardhi yetu kwa Cost yoyote hatuwezi kuruhusu upuuzi kama huo Wa UHURU mana tunajua fika anatutega tu na sisi turuhusu hio Asahau kabisa, Bado hatuna Enough skills na knowledge ya Kushindana na Soko la EA Kiuhalisia. Kwanza hio sera yake nauhakika 100℅ Haitakuwa endelevu kuna kitu anatazamia mbele, Tz tunamaeneo makubwa wala hatuhitaji kwenda nje ya apa, Kenya kumejaa ukabila huko je wageni mtawapenda ?
Jiulize hiyo ardhi ya kilimo unaiutilize vipi bila mtaji? Kilimo ni uchumi.Zimbabwe sasa wanalijua hilo.
 
Kama ulivyo mjinga kwakukubali kugawanywa. Unajiona upo huru kwa kuwekewa mipaka iliyotengenezwa na wakoloni ili iwe rahisi kutawaliwa. Watu wanataka Africa iwe nchi moja, nyie mnazidi kuigawanya na mnajiona welevu.

Wewe ndo samaki
Hao wakoloni kwao hakuna mipaka?
 
Kha! haya kaaeni na ardhi yenu maskini wakubwa nyie. 1ksh = tsh 21.72 ardhi hiyo inamsada gani kwenu?
Don't worry about that,
Ksh is even higher than JPY
IMG_20171128_170943_894.JPG
 
Hao wakoloni kwao hakuna mipaka?
Hiyo mipaka uliwawekea wewe au walijiwekea wenyew?

Unajua walizingatia nini wao kujiwekea? Na walizingatia kipi kukuwekea wewe mipaka?

Mfano wako ni sawa na enzi za utumwa watu kujiuliza kuwa "kwani wao hawafanyi kazi?" Sawa wanamipaka, ila mipaka yao ni kwaajiri ya kuondoa migogoro baina yao. Na mipaka yetu ni kwaajiri ya kupunguza nguvu za kupambana nao.

Jiulize mara mbili ni nini faida ya mipaka kwa bara la Africa?
Yaani wewe unafaidika na nini kuwekewa mipaka
 
Hiyo mipaka uliwawekea wewe au walijiwekea wenyew?

Unajua walizingatia nini wao kujiwekea? Na walizingatia kipi kukuwekea wewe mipaka?

Mfano wako ni sawa na enzi za utumwa watu kujiuliza kuwa "kwani wao hawafanyi kazi?" Sawa wanamipaka, ila mipaka yao ni kwaajiri ya kuondoa migogoro baina yao. Na mipaka yetu ni kwaajiri ya kupunguza nguvu za kupambana nao.

Jiulize mara mbili ni nini faida ya mipaka kwa bara la Africa?
Yaani wewe unafaidika na nini kuwekewa mipaka
Umeshawahi fika Kenya?
 
Hiyo mipaka uliwawekea wewe au walijiwekea wenyew?

Unajua walizingatia nini wao kujiwekea? Na walizingatia kipi kukuwekea wewe mipaka?

Mfano wako ni sawa na enzi za utumwa watu kujiuliza kuwa "kwani wao hawafanyi kazi?" Sawa wanamipaka, ila mipaka yao ni kwaajiri ya kuondoa migogoro baina yao. Na mipaka yetu ni kwaajiri ya kupunguza nguvu za kupambana nao.

Jiulize mara mbili ni nini faida ya mipaka kwa bara la Africa?
Yaani wewe unafaidika na nini kuwekewa mipaka
Sawa,
Kwa mantiki yako basi tuanzie hapo kwako na majirani zako unaowaamini,
Tuanze na doorless homes, tusiwe tunafunga milango basi ili Jirani akihitaji maji ya kunywa anytime aende ndani akanywe
 
huu utakua ni mtego wa panya
bora wewe umeligundua hilo....kama sasa hivi tu mnalia lia kuhusu baggers je tukiamua tuje kwa wingi kuzaa na dada zenyu si mtatuteka mtuuwe na hivi ma-youth watz tulivyo ma-handsome....povu ruksa.[emoji23] [emoji23] [emoji23]


hii kitu uhuru ameiongea tu kisiasa ili apate public attention kwa baadhi ya raia wa EA but he knows the obstacles behind it.
 
Katika hotuba nzito na yenye sera nzito ya kuimairisha EAC in ya leo ya Rais wa Kenya Uhuru Muigai Kenyatta.

Sasa kwa wanajumuiya ya EAC ni kitambulisho cha uraia kinatosha kuishi, kufanya kazi na kumiliki mali sawa na Mkenya mwingine.

Hakuna kuwaona watu wa immigration au kubughudhiwa kama hapa kwetu.

Kenya kweli ni kichwa cha EAC .
Wewe huoni kama huo ni mtego wa panya? Uende kwnya wewe na kitambulisho chako ukamiliki nini wakati wenyewe ardhi weshamaliza? Huoni wanategesha na nyie mrukie kwa mbele waje wabebe ardhi yako? Hakuna walichobakisha hao. Ardhi yoye ni ya watu. Wanaisaka hiyo hiyo.
 
Sawa,
Kwa mantiki yako basi tuanzie hapo kwako na majirani zako unaowaamini,
Tuanze na doorless homes, tusiwe tunafunga milango basi ili Jirani akihitaji maji ya kunywa anytime aende ndani akanywe
Useless analogy.
 
Fikra za kimasikini kama za John hizi!!! Ninao jamaa zangu kibao tuu na elimu yetu ya Ngumbalo wanafanya Kazi Kenya
Kuna vitu vikubwa zaidi ya ajira, kwanza ajira sio asset.
Kuna ardhi na mali asili zingine kibao ambazo kuziachia ovyo kiasi hicho italeta shida kubwa na nyie wenyewe mtarudi kumtukana raisi na serikali yake.

Ajira unaweza kwenda kuitafuta na kuipata kwa gharama ndogo kuliko ardhi na mengineyo.
 
Nimemsikia mheshimiwa Rais mwenye Akili Uhuru Mwigai Kenyata
Akisema:kwanzia leo Raia wa afrika mashariki atakuwa na haki kama mkenya,ataishi,kufanyakazi,kuwekeza na hata kuoa kwa kutumia Kitambulisho pekee.
Hii inaonyesha Rais huyu alivyo na upeo wa mbali na roho ya utu na pia upendo wa watu wa afrika mashari.
 
Back
Top Bottom