Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Kiongozi gani ndani ya CCM ambaye siyo bepari?Chadema imejipambanua kama chama kinachosimamia sera za kibepari hivyo tegemea katika utawala wake kuona matajiri wakirudi kushika nafasi tena kama watu wenye maamuzi katika jamii zetu.
Uhuru huu watu wa kada ya chini na Kati wanaofaidi kwa sasa utapotea na tutarudi katika minyororo ya manyanyaso ya wenye nacho.
Kwa kutambua agenda hii ya siri hutasikia Chadema ikinadi Sana sera zake ili kuficha uhakisia wake kwa wananchi waje kuwashtukiza tayari wakiwa madarakani.
Baadhi ya wafanyabiashara na mabeberu ndio wanaopush agenda za Chadema ili kurejesha ufalme wao walioupoteza katika awamu hii.
Ewe mwananchi tambua kuwa kuipa kura Chadema ni kukaribisha ubepari
Kashfa zote kubwa nchi hi, pamoja na uchafu wote, wizi wote na uhujumu uchumi mkubwa umefanywa na CCM kushiriki na na wageni.
Kuanzia kashfa ya Chavda Hadi ununuzi wa ndege umefanywa na CCM.
Hawa wezi wa Mali na rasilimali zetu ni majizi yanayotaka na kujipatia mitaji kinyume Cha Sheria.
Upepari ni mtamu bwana asikwambie mtu.
Wala ubepari sio dhambi ndio maana leo kuna Dar Es Salaam Stock Exchange, watu wakanunue hisa wamiliki sehemu ya makampuni.
Hiki kitu hakikuweko Zama za ujamaa.
Sijui Chama Cha Mazezeta mlisomea wapi hizo elimu zenu