Jitu jeusi
JF-Expert Member
- Oct 18, 2015
- 1,715
- 2,385
Hemu weka chanzo cha taarifa, au nyie wakenya mnapika hizo taarifa tu..... pia tatizo sio chanzo tu. Je wananchi wa kenya wanapata social services au bado wanakula msoto huko kibera ..Pato la jiji moja tu sawa na pato la Taifa zima la Tanzania.