Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa majibu utayapata by 2020 ndio utawajua wakikuyu ni watu wa aina gani..... Hawawezi kukubali kutawaliwa na kabila lengine sawa na watutsi rwanda au wanyankole uganda.Umerudia rudia hiyo kauli potofu, jameni sio Wakikuyu pekee wenye maamuzi ya nani atawale nchi.
Kang'ura mshenzi unaambia mkikuyu angoje 2020 ndo atajua wakikuyu ni watu wa aina gani? Hivi huwa unajihisi vipi unaporaukia mbege usubuhi usubuhi? Afu uchaguzi Kenya utakuwa 2022 si 2020, nenda ukanywe maziwa ya Brookside kijana.Sawa majibu utayapata by 2020 ndio utawajua wakikuyu ni watu wa aina gani..... Hawawezi kukubali kutawaliwa na kabila lengine sawa na watutsi rwanda au wanyankole uganda.
Narudia tena ruto hatowahi kuwa rais wa kenya tutaufufua huu uzi ifikapo 2020 tukiwa hai inshallah
Sawa majibu utayapata by 2020 ndio utawajua wakikuyu ni watu wa aina gani..... Hawawezi kukubali kutawaliwa na kabila lengine sawa na watutsi rwanda au wanyankole uganda.
Narudia tena ruto hatowahi kuwa rais wa kenya tutaufufua huu uzi ifikapo 2020 tukiwa hai inshallah
Sawa Kikuyu spokesman.Haaahaaaa najua sana si ndio maana wanamtumia Ruto kupata kura za rift valley kma wamgekuwa wanatosha wasingeweza kuungana na mtu aliyewachinja Wakikuyu kma kuku
Kwa ufupi wako radhi washirikiane na wakalenjin wa gideon Moi kuliko huyo ruto kibaraka wenu
Hahahaha another Tanzanian expert analyst on Kikuyu/Kenyan politics (Obsessed about Kenya).Ssa 2020 wakikuyu watakubali kuongozwa na mkalenjin?? Hvi unawajua wakikuyu unawasikia ...... Moi aliongoza sababu ya order ya mzee jomo ila kma jomo angekufa kabla hajamkaimisha mzee moi angeusikia urais kwenye redio tu
Narudia Tena kma wakikuyu wako radhi waongozwe na mkalenjin basi atakuwa mwingine lets say gideon moi kuliko huyo Ruto bado hawajasahau alivyowachinja makanisani so urais atausikia kwenye bomba ....... Najua nachokisematukumbushane 2020Sasa hivi Ruto amekataa kulindwa na Recce squad anatumia Prison police. Reason being mistrust towards Kikuyu dominated Recce unit.
Kuna ule wimbo wa wale waganda watatu Blu3, 'Obsession' sijui kwanini haunitoki akilini.Hahahaha another Tanzanian expert analyst on Kikuyu/Kenyan politics (Obsessed about Kenya).
wewe una mambo ya kishamba kinoma unaqoute uzi wote huo ili iweje sasa!!!Misa ya kuwaombea waliokufa imefanyika? This is an important piece of information at present
Wimbo huo Jangu niliupenda sana nikiwa kule kabalagala unanikumbusha wabongo analysts wa kila kiti Kenya, but let them enjoy it while it lasts, uchaguzi umeisha sasa ni back to business yani kupepea kiuchumi hadi tuzipiku nch za bara ulaya.Kuna ule wimbo wa wale waganda watatu Blu3, 'Obsession' sijui kwanini haunitoki akilini.
Najua sana upo 2022 kwa katiba yenu ila by 2020 utakuwa ushaona upepo.....subiri utakuja niambia hao wakikuyu watakapokua wamemtimua serikaliniKang'ura mshenzi unaambia mkikuyu angoje 2020 ndo atajua wakikuyu ni watu wa aina gani? Hivi huwa unajihisi vipi unaporaukia mbege usubuhi usubuhi? Afu uchaguzi Kenya utakuwa 2022 si 2020, nenda ukanywe maziwa ya Brookside kijana.
Nimezaliwa nimesoma na kuishi kenya almost half of my life.....baba angu alisomea huko toka akiwa kijana mdogo na nina ndugu wengi tu huko ssa naachaje kuongelea mambo ya kenya????Hahahaha another Tanzanian expert analyst on Kikuyu/Kenyan politics (Obsessed about Kenya).
Dawa yenu ipo tu wakikuyu ..... Mnahisi ndio mnahatimiliki ya kuitawala kenya milele?? watutsi burundi waliishia wapi???Sawa Kikuyu spokesman.
Back to business gani linchi lenu linaongoza kwa ufisadi afrika..... Mnaringia ushenzi tu wakati nmekaa kenya maskini kibao wa kutupwa.... Maslums yenu kule kibra na mathare hta Tz hayajawahi kuwepo afu mnakuja kushabikia ushenzi.....Wimbo huo Jangu niliupenda sana nikiwa kule kabalagala unanikumbusha wabongo analysts wa kila kiti Kenya, but let them enjoy it while it lasts, uchaguzi umeisha sasa ni back to business yani kupepea kiuchumi hadi tuzipiku nch za bara ulaya.
Nafasi ya umakamu wa rais inategemea sana na namna gani mgombea urais anaungwa mkono..... Ukikubalika na kupitishwa nadani ya chama kama mgombea mwenza hata kama ww ni wa hovyo kikubwa ni mgombea uraisi akubalike na ww unaponea humohumoNimekuambia uwache kufuata uwezo wa kuwa rais wa Kenya kwa kuangalia Wakikuyu tu, maana hata wajitokeze hadi wa mwisho, hawana uwezo huo na Moi alitawala miaka 24 bila kutegemea kura zao.
Ruto amefikia hapo na kunyanyua biblia na kuapishwa kama naibu wa rais kwa ujanja wake na sio jitihada za Wakikuyu. Kumbuka hata Moi alijaribu sana kumkwamisha. Kenya lazima tujiandae kwa urais wake.
Nafasi ya umakamu wa rais inategemea sana na namna gani mgombea urais anaungwa mkono..... Ukikubalika na kupitishwa nadani ya chama kama mgombea mwenza hata kama ww ni wa hovyo kikubwa ni mgombea uraisi akubalike na ww unaponea humohumo
Kumbe tulikulisha, tukakusomesha tena hadi na babako na ndugu zako hadi sasa hivi wanashiba kwa hisani yetu? Yaani ulivo sasa hivi ni kwasababu ya Kenya? Afu unakuja na matusi dhidi ya babako Kenya. Kweli roho mbaya mlibarikiwa nazo watz. Tumezoea wakenya, huwa hatungoji shukran kutoka kwa wakimbizi.Nimezaliwa nimesoma na kuishi kenya almost half of my life.....baba angu alisomea huko toka akiwa kijana mdogo na nina ndugu wengi tu huko ssa naachaje kuongelea mambo ya kenya????
Mbona ufisadi na umaskini na slums na kuringa kwa wakenya kunakuwasha hivi mpaka povu linakutoka? Pilipili usioila yakuwashia nini? Wachana na umaskini wetu shughulika na utajiri wenu.Back to business gani linchi lenu linaongoza kwa ufisadi afrika..... Mnaringia ushenzi tu wakati nmekaa kenya maskini kibao wa kutupwa.... Maslums yenu kule kibra na mathare hta Tz hayajawahi kuwepo afu mnakuja kushabikia ushenzi.....
Literary biting the finger that feeds him. Huyu ni kama yule fisi aliyeokolewa na mbuzi toka kwa shimo only kumgeuka na kutaka kumla.Kumbe tulikulisha, tukakusomesha tena hadi na babako na ndugu zako hadi sasa hivi wanashiba kwa hisani yetu? Yaani ulivo sasa hivi ni kwasababu ya Kenya? Afu unakuja na matusi dhidi ya babako Kenya. Kweli roho mbaya mlibarikiwa nazo watz. Tumezoea wakenya, huwa hatungoji shukran kutoka kwa wakimbizi.
Huko huko Burundi.Dawa yenu ipo tu wakikuyu ..... Mnahisi ndio mnahatimiliki ya kuitawala kenya milele?? watutsi burundi waliishia wapi???