Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngumu sana kuoleana,wakikuyu ni wabaguzi sana
Ngumu sana kuoleana,wakikuyu ni wabaguzi sana
Kabisa gani ambalo hawatahiri?Kwanini husemi tu kuwa wanawake wa KIKIKUYU hawawakubali wanaume wasio tahiriwa!!! Sasa huo ndio unaouita ubaguzi?
Wanaume wengi wa kikikuyu wameoa wanawake wa kijaluo!!!
Kumbe wakikuyu wana magovi?Kwanini husemi tu kuwa wanawake wa KIKIKUYU hawawakubali wanaume wasio tahiriwa!!! Sasa huo ndio unaouita ubaguzi?
Wanaume wengi wa kikikuyu wameoa wanawake wa kijaluo!!!
Omolo Okech!!Kabisa gani ambalo hawatahiri?
Kumbe wakikuyu wana magovi?
Hizi chuki zenu kwa wajaluo inaonyesha jinsi gani wajaluo wanavyowatisha ,mashetani Kama nyie.Omolo Okech!!
umefungua hiyo link? fungua video utazame yote sio kujibu kwa kuangalia thumbnail tuRwr dxUnaumwa wewe, kwahivyo rais wa Kenya, ambaye 'ulikuwa unamuona wa maana sana' unamjua kwa jina tu? Sura na sauti yake huzitambui kabisa? Try again.
kivipi?Umeona sasa ya kwamba umekurupuka
NimeulizaNani kasema? umewajaribu?
Hizi chuki zenu kwa wajaluo inaonyesha jinsi gani wajaluo wanavyowatisha ,mashetani Kama nyie.
Kalb hayawan.
Umeona sasa ya kwamba umekurupuka
ok, video nyingine hii, ama Uhuru alikua na maana gani aliposema ni zamu ya jamii nyingine kutoa Rais KenyaAnataka kupotosha wala sio kwamba hajaelewa
Ok hii Uhuru anaungumza Kiswahili, kama sijaelewa tena na hii?Lugha ni tatizo kubwa sana pia. Huyo presenter wa KTN ametoa maelezo ya kutosha kabla ya hiyo clip ya matamshi ya Raila Amolo Odinga. Ila ni wazi kabisa kwamba mleta mada ametoka kapa.
Wajaluo mpaka leo hawatahiriwi ?Kwanini husemi tu kuwa wanawake wa KIKIKUYU hawawakubali wanaume wasio tahiriwa!!! Sasa huo ndio unaouita ubaguzi?
Wanaume wengi wa kikikuyu wameoa wanawake wa kijaluo!!!
si uende udinywe na mmoja kisha utuletee mrejeshoWajaluo mpaka leo hawatahiriwi ?
Punguza jazba ndugu. Mimi kwetu Mara, kuna wajaluo wengi tu kwahiyo siyo vibaya kuuliza kama bado wanaendeleza hiyo mila.si uende udinywe na mmoja kisha utuletee mrejesho