Uhuru nilikuwa namuona Rais mstaarabu kuliko wote East Afrca kumbe ni hovyo mno

Uhuru wa kujieleza na katiba mpya vinaruhusu yote hayo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Happy hajasema moja kwa moja kua ni zamu ya jamii nyingine kutawala ametumia neno labda
Japo ametumia neno labda tu, ila maneno yake Yana uzito sababu yeye ni Rais wa nchi, na reaction ya watu ilikuwa kubwa
 
Japo ametumia neno labda tu, ila maneno yake Yana uzito sababu yeye ni Rais wa nchi, na reaction ya watu ilikuwa kubwa
Embu sikiliza vizuri maneno ya mwanzo kabla hajasema hlo la labda kabila nyingine itawale Kenya! Kabla ya kusema hvo kuna neno amesema if that is the fact labda nayeye anaweza sema......
 



MY TAKE
Unaamini kinachoongelewa na Mheshimiwa hapa? amekuwa Mkomunisti ghafla?

Tony254
 

Usitudanganye hapa, yaani kikuyu ndiyo unawa refer kama deep state ya Kenya.
πŸ˜€πŸ˜†πŸ˜
 
Sure kwakuwa Magufuli ndii raisi bora Africa Mashariki na Afrika nzima[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…