Uhuru Park, Kenya: Raila Odinga aapa kama Rais wa Watu bila kuwepo kwa makamu wake Kalonzo

Amekwepa kutumia maneno ya kiuhaini kama vile 'kuwa amiri jeshi mkuu', na pia kiapo chenyewe amefanyiwa na mbunge, hivyo wamekua makini na hawajavunja sheria yoyote. Kiapo hicho kimetendeka chini ya dakika kumi.
Vinara wengine wa NASA hawakuhudhuria na hadi sasa haijabainika kulikoni.

==========

Opposition leader Raila Odinga was on Tuesday 'sworn-in' as the 'people's president'.

The oath was administered by Ruaraka MP TJ Kajwang.

National Super Alliance (Nasa) principals including Kalonzo Musyoka, Musalia Mudavadi and Moses Wetang'ula were absent during the event at Uhuru Park which took less than 10 minutes.
 
w

amemuapisha hahah hawa jaamaa nishida lakini uhuru ni mvumilivu kiasi kikubwa ingekuwa policcm kuna watu wangekuwa wameaga dunia saa nyingi sana hapo uwanja huo vifaru vya enzi za mjeremani vingetolewa stoo cc ukuta
enzi za mjerumani!!German machine!!
 

 
baada ya kuapishwa kaelekea ikulu ndogo kwa mfuga mbwa
 
Uapisho umefikia wapi jamani , updates please
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…