Uhuru wa maoni uwe na mipaka. Kinachoendelea sasa hivi Tanzania ni uchokozi

wikipedia isn't a reliable source.
Who is reliable? Tembelea madinaH":

 
Ni kweli kabisa
Hii hali imefika sehemu mbaya.
Serikali inatakiwa ichukue hatua ya haraka sana, wasiwafumbie macho hao wachafuzi

Kwa walioshidwa hoja! Jibuni hoja ndiyo demokrasia mbona huko Canada 🇨🇦 watu hawashikwi!
 
Faizafoxy, sio mtu mmoja. Ni taasisi ya Kiislamu ya answarisuna. Huwezi kubishana na taasisi. Hao ni watu wengi wanaandika kupitia ID ya FaizaFoxy.
Ndio maana unaona huyo mtu anabishana hadi asubuhi. Mimi nimemfuatilia na nimegundua hivyo.
Sio Mwanamke kama jina la ID yake inavyo soma.
Ni Answari Sunni.
 
Kwa walioshidwa hoja! Jibuni hoja ndiyo demokrasia mbona huko Canada 🇨🇦 watu hawashikwi!
sasa hivi hakuna vimebaki viroja.

Wahenga waklisema "ngoma ikivuma sana mwishowe hupasuka".
 
Nchi imeuzwa Mangungo was genius
 
Wee dictator acha mambo yako.
 
Mkristo Magufuli ulikuwa unamtukana humu
Sasa hivi yupo muislam mwenzio unataka tusimkosoe..
Acha ujinga bibi nshankupe la kariakoo
 
sasa hivi hakuna vimebaki viroja.

Wahenga waklisema "ngoma ikivuma sana mwishowe hupasuka".

Sio kweli Dr Nshala mfano anatoa hoja za msingi. Nani hasa anatoa vihoja. Isije tatizo likawa utamaduni wetu wa heshima za kioga
 
Well said Madame hatutaki kuona Tanzania kuwa kama Sudan
Na wewe nawe umesema vyema.Sudan sasa wanapigana tu hakuna msuluhishi na hawasuluhishiki tena.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…