Uhuru wa maoni uwe na mipaka. Kinachoendelea sasa hivi Tanzania ni uchokozi

Uhuru wa maoni uwe na mipaka. Kinachoendelea sasa hivi Tanzania ni uchokozi

Naona unafoka foka sana.

Shusha pumzi, tulizana halafu andika point moja tuijadili. Ukichanganya mengi inakuwa ni kubwabwaja na kuhororoja bila mpango.
Acha kukimbia ajuza wewe! Hoja ipo Aya ya Kwanza mstari wa kwanza. Lengo lako ni Nini?
 
Haakuna shaka yoyote, kwa sasa hivi tunaona Watanzania wengi, wanaojiita wasomi, wanaojiita mawakili wakitowa maoni yao kwa lugha ambazo ni za kuudhi, kukebehi, kukejeli mapa kutusi.

Haya yanayoendelea si maoni tena bali ni vunjifu wa amani uliokusudiwa. Uhuru wa maoni ni lazima uwe na mipaka.

Mtu anajiita mwanasheria msomi au wakili msomi , mwanasiasa, anasimama kwenye majukwaa ya habari na kurusha matangazo yaliyojaa chuki kuwa nchi inauzwa, au bandari inauzwa, Wazanzibari waniuza nchi. Na cha kushangaza sana waziri wa habari amekaa kimya. Waziri wa sheria amekaa kimya. Waziri wa mambo ya ndani amekaa kimya, waziri wa ulinzi amekaa kimya.

Nashauri, vyombo vya habari vyote vinavyorusha matangazo ya chuki vichukuliwe hatua kali za kisheria. Wale wote wanaosimama majukwaani na kufanya uchokozi wa makusudi wachukuliwe hatua za kisheria.

Mpaka sisi tuliozowea mitandao ya kijamii tunawashangaa moderators wapo kimya, watu wanaporusha matusi na kejeli mpaka kwa Rais na mawaziri wake. Hivi hatuyaoni? Au tunapenda huu uchokozi uendelee mpaka uzae madhara?

Kuuwasha moto ni kwepesi sana, kazi inakuja katika kuuzima.

Mimi nadhani wale wote wanaodai nchi imeuzwa waende mahakamani au kwa wao kupeleka madai au serikali iwaite mahakamani waje kuonesha nchi imeuzwa wapi na kwa lipi zaidi?

Nahisi kuna watu wapo nyuma ya pazia amabao wanadhani labda yataishia kiwepesi wepesi yakiachiwa yaendelee. Sasa hivi tayari chuki za wazi zinajionesha kati ya Wasio EWaisslam na Waislam, wasio Waarabu na Waarabu, Wabara na Wazanzibari. watu wa pwani na wasio wa pwani.

Hivi hayo yote kweli yamesababishwa na makubaliano ya Dubai na Tanzania yaliyopitishwa bungeni au kuna yanayoendelea nyuma ya pazia ambayo hatuyaelewi?

Tunaionmba serikali ichukuwe hatua za dhati, kila anaerusha au kuongea chuki akajieleze kwa ushahi wa hayo ayasemayo, kama hana ushahidi aseme ukweli ni na nani yupo nyuma yake anaemlipa au kumchochea kufanya hivyo.

Serikali itumie mbinu za kawaida na zisizo za kawaida za kiusalama ili kulinda raia wa nchi hii kujiingiza katika chuki na migogoro isiyo ya lazima. Huu ni mtego wa panya watania waliokuwemo na wasiokuwemo.

Naamini katika uwazi na ukweli na naamini katika uhuru wa maoni na habari, lakini kila uhuru ni lazima uwe na mipaka yake. Naona au Tanzania hatuna mipaka ya kujielezza maoni yetu aukama tunayo ama hatuijuwi au tunaiwachiie makusudi mipaka inavukwa?

Serikali, hususa Waziri wa habari, Nape Nnauye tueleze tupo bado ndani ya mipaka ya sheria au tumekiuka? Kama bado upo ndani ya mipaka ya sheria za uhuru wa maoni, tunaomba shertia zikafanyiwe ukarabati. Ili tuwe nchi yenhe kuheshimu utowaji mapni yetu uwe wa kuheshimiana.

Wewe kama hupendi nilichosema au kufanya mimi nifahamisheni usinitukane.

Moderators wa JF tunaomba majukwa haya siasa na habari mchanganyiko yapewe kipa umbele ili yasiwe ni chimbuko la maafa.
Wewe ni mchochezi umeandika pumba mtupu
 
Haakuna shaka yoyote, kwa sasa hivi tunaona Watanzania wengi, wanaojiita wasomi, wanaojiita mawakili wakitowa maoni yao kwa lugha ambazo ni za kuudhi, kukebehi, kukejeli mapa kutusi.

Haya yanayoendelea si maoni tena bali ni vunjifu wa amani uliokusudiwa. Uhuru wa maoni ni lazima uwe na mipaka.

Mtu anajiita mwanasheria msomi au wakili msomi , mwanasiasa, anasimama kwenye majukwaa ya habari na kurusha matangazo yaliyojaa chuki kuwa nchi inauzwa, au bandari inauzwa, Wazanzibari waniuza nchi. Na cha kushangaza sana waziri wa habari amekaa kimya. Waziri wa sheria amekaa kimya. Waziri wa mambo ya ndani amekaa kimya, waziri wa ulinzi amekaa kimya.

Nashauri, vyombo vya habari vyote vinavyorusha matangazo ya chuki vichukuliwe hatua kali za kisheria. Wale wote wanaosimama majukwaani na kufanya uchokozi wa makusudi wachukuliwe hatua za kisheria.

Mpaka sisi tuliozowea mitandao ya kijamii tunawashangaa moderators wapo kimya, watu wanaporusha matusi na kejeli mpaka kwa Rais na mawaziri wake. Hivi hatuyaoni? Au tunapenda huu uchokozi uendelee mpaka uzae madhara?

Kuuwasha moto ni kwepesi sana, kazi inakuja katika kuuzima.

Mimi nadhani wale wote wanaodai nchi imeuzwa waende mahakamani au kwa wao kupeleka madai au serikali iwaite mahakamani waje kuonesha nchi imeuzwa wapi na kwa lipi zaidi?

Nahisi kuna watu wapo nyuma ya pazia amabao wanadhani labda yataishia kiwepesi wepesi yakiachiwa yaendelee. Sasa hivi tayari chuki za wazi zinajionesha kati ya Wasio EWaisslam na Waislam, wasio Waarabu na Waarabu, Wabara na Wazanzibari. watu wa pwani na wasio wa pwani.

Hivi hayo yote kweli yamesababishwa na makubaliano ya Dubai na Tanzania yaliyopitishwa bungeni au kuna yanayoendelea nyuma ya pazia ambayo hatuyaelewi?

Tunaionmba serikali ichukuwe hatua za dhati, kila anaerusha au kuongea chuki akajieleze kwa ushahi wa hayo ayasemayo, kama hana ushahidi aseme ukweli ni na nani yupo nyuma yake anaemlipa au kumchochea kufanya hivyo.

Serikali itumie mbinu za kawaida na zisizo za kawaida za kiusalama ili kulinda raia wa nchi hii kujiingiza katika chuki na migogoro isiyo ya lazima. Huu ni mtego wa panya watania waliokuwemo na wasiokuwemo.

Naamini katika uwazi na ukweli na naamini katika uhuru wa maoni na habari, lakini kila uhuru ni lazima uwe na mipaka yake. Naona au Tanzania hatuna mipaka ya kujielezza maoni yetu aukama tunayo ama hatuijuwi au tunaiwachiie makusudi mipaka inavukwa?

Serikali, hususa Waziri wa habari, Nape Nnauye tueleze tupo bado ndani ya mipaka ya sheria au tumekiuka? Kama bado upo ndani ya mipaka ya sheria za uhuru wa maoni, tunaomba shertia zikafanyiwe ukarabati. Ili tuwe nchi yenhe kuheshimu utowaji mapni yetu uwe wa kuheshimiana.

Wewe kama hupendi nilichosema au kufanya mimi nifahamisheni usinitukane.

Moderators wa JF tunaomba majukwa haya siasa na habari mchanganyiko yapewe kipa umbele ili yasiwe ni chimbuko la maafa.
Hivi kuna mtu ana lugha ya kuudhi hapa jukwaani kama Faiza Foxy?
 
Watetezi wote wa DP word, nilijua tu hamna hoja na zaidi sana mtaishia kwenye hiki mnachokishauri

Ni upumbavu kukosa hoja then ukadhani ulichoandika ndicho kitalinda hoja zenu dhaifu

Bado tuko palepale! Hatutaki mkataba wa milele na DPword

Ndoa zinavunjika sembuse mkataba?
 
Lugha iliyokatumika ni kusema nchi amepewa mshamba
Tukumbushe kidogo tuone lugha walizotumia kufikisha ujumbe wao.

Hao wote unaowataja mimi nafahamu kuwa ni watu wa system. Waarabu wa pemba wajuana kwa vilemba.
 
Watetezi wote wa DP word, nilijua tu hamna hoja na zaidi sana mtaishia kwenye hiki mnachokishauri

Ni upumbavu kukosa hoja then ukadhani ulichoandika ndicho kitalinda hoja zenu dhaifu

Bado tuko palepale! Hatutaki mkataba wa milele na DPword

Ndoa zinavunjika sembuse mkataba?
hatuna hoja kabisa, tumeishiwa na hoja.,. Sasa vitendo tu.

Wewe kama una hija ungana na wenzako waliokwenda mahakamani.
 
Mimi nikiwa moderator, kwanza watu hawatokula ban, ntakuwa nabadili lugha tu, nafuta post za matusi na zenye uchochezi wa kijinga, ikiwa mtu hasikii baada ya kumuonya matra tatu, hapo ndipo ban itafatia.

Mbona hata mimi nimeshapigwa ban sana JF mpaka nikaitwa JF ban #!. Mimi nishafungiwa maisha kuchangia JGF akaja kuniombea Obama alivyokuja Tanzania. Kumbe alikuwa ananisoma kabla hajaja Tanzania.

Unaandika kuwa wewe ukiwa mod watu hawatakula ban,halafu unakuja kuandika tena kuwa ikiwa mtu hasikii baada ya kumuonya "matra" tatu,hapo ndipo ban itafuata!!
Unauona ukigeugeu wako!!??
Hivi ukigeugeu kama huu,unaweza kupata wapi uhalali wa kushauri chochote kwa moderators!!??
 
..kila mtu anastahili heshima.

..pia viongozi wakifanya madudu wasitarajie kuambiwa kwa lugha za kubembelezwa.

..viongozi wawe na vifua vya kusikia ukweli na hisia za wananchi.

..hiki ambacho Samia anakiona ni matusi ndio hisia za wananchi kuhusu mkataba wa bandari.

..badala ya kuwalaumu wakosoaji Samia awashukie wasaidizi wake waliomuingiza ktk mkenge wa kusaini mkataba wa hovyo na DP World.

..pia Samia awakataze wahuni kama Steve Nyerere, Zembwela, Haji Manara, Sheikh Mwaipopo, Baba Levo,kuwa wasemaji wake kuhusu mkataba wa bandari.
Mbona wenyewe wanasema sio Mkataba ni Makubaliano tu Mkataba wenyewe bado
 
Kwanini bandari za zanzibar hazijajumuishwa kwenye mauzo kwa waarabu?
Kwanini zimeuzwa za Tanganyika tuu?
Za zanzibar hazimo kwa sababu wanasema kila mmoja anasimamia bandari zake
 
Nyie wazanzibar hamna haki yeyote kwenye bandari ya Dar kama mna haki kwanini bandari zetu hamkuziuza mazima nyie waunguja?
Bandari za zanzibar hazimo kwa sababu wanasema kila mmoja anasimamia bandari zake
 
Mkileta ucenge wenu tutawaua kweli, hamuwezi kutukana mamlaka mchelewe
Tutaanza lukufilimba wewe na familia yako kabla hujaleta upumbavu wako!

Usilete upumbavu kwenye maslahi ya taifa kabisa.

Simbilisi we
 
Kila mtu ana jambo lake ki maslahi, likiguswa atalalamika.

Jambo la DP World lina maslahi pande tofauti. Kila upande usikilizwe.

Hakuna kuona hawa ni hawa, wale ni wale...
Kwa hiyo maslahi ya walio kwenye nafasi yameguswana,kelele zote hizi maslahi ya walafi yameguswa?. Kwa hiyo sio kelele kwa maslahi ya nchi,sio kwa ajili ya wananchi?. Bali maslahi ya walafi yameguswa?. Hii nchi kweli ni ya kuionea huruma

Naona kabisa chanzo cha yote haya,tatizo kubwa ni katiba mbovu
 
Tundu Lissu akiongea na waandishi wa habari amesema haya...

Kwenye mamlaka ya moja kwa moja waliyonayo kama Wazanzibar kwenye huu MKATABA kwa makusudi kabisa hawajajumuisha bandari ya kwao Zanzibar ilhali ni jambo la MUUNGANO.

Hawa WAZANZIBAR wameuza mali yetu Watanganyika kwa MKATABA wa milele. Namaanisha hadi bahari itapokauka!"

Mimi ninao huo MKATABA lakini sijaona wapi pameandikwa tutapata hizo hela zinazosemwa na wapambe waliohongwa."

Ni wazi wao kuanzia Samia, Mbarawa na Katibu mkuu wa wizara husika ni WAZANZIBAR na kwa makusudi wameuza mali ya Tanganyika kwa sababu haiwahusu!"

Wengi wenu mnafikiri ni bandari pekee imeuzwa na hao WAZANZIBAR mnajidanganya! Kwa mjibu wa MKATABA hiyo reli ya Magufuli na mabarabara ni ya waarabu hadi maeneo yote maalum ya kibiashara yanakuwa yao."

Bandari kavu kwa mfano ile ya Isaka na zingine zote zinakuwa za waarabu wameuziwa na Samia ambaye ni Mzanzibar."

DPW wamehonga karibia kila awaye na ushawishi. Waandishi zaidi ya 40 walipelekwa kula raha na miongoni mwao yupo mmoja amenieleza kwa siku tatu alizokaa kule alirejea na hongo ya mililioni 6!"

Kama kweli huo mkataba una manufaa na faida kwanini hao WAZANZIBAR ( Samia na Mbarawa ) wameziacha bandari zao?!"

HATUPO TAYARI RASILIMALI ZETU WATANGANYIKA ZIUZWE HOVYO NA WAZANZIBAR - HATUPO TAYARI NASEMA!"

Hili suala halitaisha leo wala kesho na lazima Samia atambue. Huu MKATABA haufai na mbovu kuliko ubovu wenyewe!"

Lissu.
Bandari za zanzibar hazimo kwa sababu wanasema kila mmoja anasimamia bandari zake
 
Mbona wenyewe wanasema sio Mkataba ni Makubaliano tu Mkataba wenyewe bado

.." makubaliano " yaliyopitishwa na bunge na vigogo wa serikali wakaanguka saini sio mkataba huo?

..nadhani watu wanaoisemea serikali ktk suala hili hawafai.

..kwa kweli wanamchafua na kuharibu sifa nzuri za Raisi Samia na Ofisi yake kwa ujumla.

..Aliyeshauriwa mkataba utetewe na wachekeshaji kama Steve Nyerere, Baba Levo, Zembwela,...ni nani?
 
Back
Top Bottom