Uhuru wa Palestina hautapatikana bila kupinduliwa kwa Misri, Jordan na Saudi Arabia

Uhuru wa Palestina hautapatikana bila kupinduliwa kwa Misri, Jordan na Saudi Arabia

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
Kabla vita havijamalizika Israel imeshaweka tayari baadhi ya mipango yake ya siri dhidi ya ardhi za wapalestina, kwamba wanakusudia kuinyakua milele Gaza.

Uwezo wa kuinyakua Gaza umekwenda bila uzito mkubwa kutokana na kuwahadaa majirani na ndugu wote wa Palestina na wamekaa kimya katika muda muda wa kutoa msaada kwa wenzao hao.

Mara baada ya kuanza kwa mashambulizi ya ardhini ndani ya mji mkuu wa Gaza, Jeshi la IDF liliwataka wapalestina wanaoishi eneo hilo kuelekea kusini. Ni ukatili sana hata kufikiria watu milioni 2.3 ambao tayari walikuwa wanaishi eneo dogo sana halafu kuwataka wakaishi pamoja kwenye nusu ya eneo walipokuwa awali.

Pamoja na hilo sambamba na kuuliwa wa kaskazini wale waliotii amri kuelekea kusini nao wamekuwa wakiuliwa njiani. Zaidi ya hivyo Jeshi la Israel limesema wakimaliza kaskazini ya Gaza itakuwa ni zamu ya kusini.
Kabla ya kumaliza huko kaskazini kumekuwa na mashambulizi mengi maeneo ya kusini ambako wapalestina wamekuwa wakifa kiwango cha chini kidogo kuliko kaskazini.

Itakapokuja zamu ya kusini watatakiwa waende wapi tena na idadi gani wataendelea kuuliwa kabla Israel kusimamisha mauwaji hao.

Kwa mtazamo wa haraka mzunguko huo wa mauaji kusini na kaskazini ya Gaza. Mashariki na magharibi ya Jerusalem hautakoma mpaka ardhi zote za wapalestina zitakapokuwa zimenyakuliwa. Bila msaada wa nguvu za kijeshi wapalestina peke yao hawataweza na hawana nguvu za kujitetea.

Watetezi wakubwa wa Palestina katika kipindi kigumu wangekuwa ni wale ndugu zao walio nje ya Palestina na ambao wamekosa huruma na umoja wa kuwaokoa. Tatizo halisi la kukosekana nguvu hizo wala sio wananchi wa nchi hizo bali ni Serikali zinazotawala ambazo zimeingia mikataba ya hadaa na Israel na hatimae kuamua kukaa kimya au kutoa matamko mepesi na yasiyokuwa na athari kwa uonevu uanaoendelea.

Nchi tatu miongoni mwa nyingi ambazo zimeonekana kusaidia maangamizi hayo ya Palestina na kushindwa kututea masjid Aqswa ambao utakatifu wake uko kwenye Qur'an ni Saudi Arabia, Misri na Jordan.

Hivyo ukombozi halisi wa Palestina utapatikana kwa kuondoka madarakani kwa Serikali za nchi hizo tatu.
 
Hayo ni mataifa ya waarabu walioamua kutumia akili na maarifa badala ya hisia na mihemko ya kidini kuunga mkono maharamia na magaidi ya Hamas.

Kuna ndugu zenu wengine katika imani wa Sudani wameuawa kwa kuchinjwa, idadi yao ni zaidi ya 700 hivyo naomba na wao uwasemee ktk harakati za kutetea uhai wao. Wauaji ni Janjaweed washirika wa Hamas na Hezbollah.

Hongereni Egypt, Saudia na Jordan.
 
Kabla vita havijamalizika Israel imeshaweka tayari baadhi ya mipango yake ya siri dhidi ya ardhi za wapalestina,kwamba wanakusudia kuinyakua milele Gaza.
Uwezo wa kuinyakua Gaza umekwenda bila uzito mkubwa kutokana na kuwahadaa majirani na ndugu wote wa Palestina na wamekaa kimya katika muda muda wa kutoa msaada kwa wenzao hao.
Mara baada ya kuanza kwa mashambulizi ya ardhini ndani ya mji mkuu wa Gaza,jeshi la IDF liliwataka wapalestina wanaoishi eneo hilo kuelekea kusini.NI ukatili sana hata kufikiria watu milioni 2.3 ambao tayari walikuwa wanaishi eneo dogo sana halafu kuwataka wakaishi pamoja kwenye nusu ya eneo walipokuwa awali.
Pamoja na hilo sambamba na kuuliwa wa kaskazini wale waliotii amri kuelekea kusini nao wamekuwa wakiuliwa njiani.Zaidi ya hivyo jeshi la Israel limesema wakimaliza kaskazini ya Gaza itakuwa ni zamu ya kusini.
Kabla ya kumaliza huko kaskazini kumekuwa na mashambulizi mengi maeneo ya kusini ambako wapalestina wamekuwa wakifa kiwango cha chini kidogo kuliko kaskazini.Itakapokuja zamu ya kusini watatakiwa waende wapi tena na idadi gani wataendelea kuuliwa kabla Israel kusimamisha mauwaji hao.
Kwa mtazamo wa haraka mzunguko huo wa mauwaji kusini na kaskazini ya Gaza.Mashariki na magharibi ya Jerusalem hautakoma mpaka ardhi zote za wapalestina zitakapokuwa zimenyakuliwa.Bila msaada wa nguvu za kijeshi wapalestina peke yao hawataweza na hawana nguvu za kujitetea.
Watetezi wakubwa wa Palestina katika kipindi kigumu wangekuwa ni wale ndugu zao walio nje ya Palestina na ambao wamekosa huruma na umoja wa kuwaokoa.Tatizo halisi la kukosekana nguvu hizo wala sio wananchi wa nchi hizo bali ni serikali zinazotawala ambazo zimeingia mikataba ya hadaa na Israel na hatimae kuamua kukaa kimya au kutoa matamko mepesi na yasiyokuwa na athari kwa uonevu uanaoendelea.
Nchi tatu miongoni mwa nyingi ambazo zimeonekana kusaidia maangamizi hayo ya Palestina na kushindwa kututea masjid Aqswa ambao utakatifu wake uko kwenye Qur'an ni Saudi Arabia,Misri na Jordan.
Hivyo ukombozi halisi wa Palestina utapatikana kwa kuondoka madarakani kwa serikali za nchi hizo tatu.
Janjaweed wanaua watu darfur, makundi yanayohusishwa na hamas na hezbola,unalizungumziaje hili mpalestina wa buza?
 
Hayo ni mataifa ya waarabu walioamua kutumia akili na maarifa badala ya hisia na mihemko ya kidini kuunga mkono maharamia na magaidi ya Hamas.

Kuna ndugu zenu wengine katika imani wa Sudani wameuawa kwa kuchinjwa, idadi yao ni zaidi ya 700 hivyo naomba na wao uwasemee ktk harakati za kutetea uhai wao. Wauaji ni Janjaweed washirika wa Hamas na Hezbollah.

Hongereni Egypt, Saudia na Jordan.
Vita vya kuuwana watu wa Sudan havikuanza mpaka pale wazee wa fitna walipoingia Sudan.Pale kibaraka wao Hamdouk alipoingia madarakani halafu akafanya mkataba wa kurudisha uhusiano na Israel.
 
Kabla vita havijamalizika Israel imeshaweka tayari baadhi ya mipango yake ya siri dhidi ya ardhi za wapalestina, kwamba wanakusudia kuinyakua milele Gaza.

Uwezo wa kuinyakua Gaza umekwenda bila uzito mkubwa kutokana na kuwahadaa majirani na ndugu wote wa Palestina na wamekaa kimya katika muda muda wa kutoa msaada kwa wenzao hao.

Mara baada ya kuanza kwa mashambulizi ya ardhini ndani ya mji mkuu wa Gaza, Jeshi la IDF liliwataka wapalestina wanaoishi eneo hilo kuelekea kusini. Ni ukatili sana hata kufikiria watu milioni 2.3 ambao tayari walikuwa wanaishi eneo dogo sana halafu kuwataka wakaishi pamoja kwenye nusu ya eneo walipokuwa awali.

Pamoja na hilo sambamba na kuuliwa wa kaskazini wale waliotii amri kuelekea kusini nao wamekuwa wakiuliwa njiani. Zaidi ya hivyo Jeshi la Israel limesema wakimaliza kaskazini ya Gaza itakuwa ni zamu ya kusini.
Kabla ya kumaliza huko kaskazini kumekuwa na mashambulizi mengi maeneo ya kusini ambako wapalestina wamekuwa wakifa kiwango cha chini kidogo kuliko kaskazini.

Itakapokuja zamu ya kusini watatakiwa waende wapi tena na idadi gani wataendelea kuuliwa kabla Israel kusimamisha mauwaji hao.

Kwa mtazamo wa haraka mzunguko huo wa mauaji kusini na kaskazini ya Gaza. Mashariki na magharibi ya Jerusalem hautakoma mpaka ardhi zote za wapalestina zitakapokuwa zimenyakuliwa. Bila msaada wa nguvu za kijeshi wapalestina peke yao hawataweza na hawana nguvu za kujitetea.

Watetezi wakubwa wa Palestina katika kipindi kigumu wangekuwa ni wale ndugu zao walio nje ya Palestina na ambao wamekosa huruma na umoja wa kuwaokoa. Tatizo halisi la kukosekana nguvu hizo wala sio wananchi wa nchi hizo bali ni Serikali zinazotawala ambazo zimeingia mikataba ya hadaa na Israel na hatimae kuamua kukaa kimya au kutoa matamko mepesi na yasiyokuwa na athari kwa uonevu uanaoendelea.

Nchi tatu miongoni mwa nyingi ambazo zimeonekana kusaidia maangamizi hayo ya Palestina na kushindwa kututea masjid Aqswa ambao utakatifu wake uko kwenye Qur'an ni Saudi Arabia, Misri na Jordan.
Hivyo ukombozi halisi wa Palestina utapatikana kwa kuondoka madarakani kwa Serikali za nchi hizo tatu.
Hasiri ya nini shehe embu pata kikombe cha Gahawa kwanza huu mchezo Hamas walianzisha October 7 mkasherekea mkasema leo Allah amewasaidia

Sent from my Infinix X663 using JamiiForums mobile app
 
Vita vya kuuwana watu wa Sudan havikuanza mpaka pale wazee wa fitna walipoingia Sudan.Pale kibaraka wao Hamdouk alipoingia madarakani halafu akafanya mkataba wa kurudisha uhusiano na Israel.
Basi ninyi waislamu ni wajinga wa kutupwa mnakubali vipi kuchonganishwa na wazungu kwa mantiki hiyo ninyi akili ya kuchanganua mambo hamna bali mnaendeshwa na mihemko ya kidini tu
 
Kabla vita havijamalizika Israel imeshaweka tayari baadhi ya mipango yake ya siri dhidi ya ardhi za wapalestina, kwamba wanakusudia kuinyakua milele Gaza.

Uwezo wa kuinyakua Gaza umekwenda bila uzito mkubwa kutokana na kuwahadaa majirani na ndugu wote wa Palestina na wamekaa kimya katika muda muda wa kutoa msaada kwa wenzao hao.

Mara baada ya kuanza kwa mashambulizi ya ardhini ndani ya mji mkuu wa Gaza, Jeshi la IDF liliwataka wapalestina wanaoishi eneo hilo kuelekea kusini. Ni ukatili sana hata kufikiria watu milioni 2.3 ambao tayari walikuwa wanaishi eneo dogo sana halafu kuwataka wakaishi pamoja kwenye nusu ya eneo walipokuwa awali.

Pamoja na hilo sambamba na kuuliwa wa kaskazini wale waliotii amri kuelekea kusini nao wamekuwa wakiuliwa njiani. Zaidi ya hivyo Jeshi la Israel limesema wakimaliza kaskazini ya Gaza itakuwa ni zamu ya kusini.
Kabla ya kumaliza huko kaskazini kumekuwa na mashambulizi mengi maeneo ya kusini ambako wapalestina wamekuwa wakifa kiwango cha chini kidogo kuliko kaskazini.

Itakapokuja zamu ya kusini watatakiwa waende wapi tena na idadi gani wataendelea kuuliwa kabla Israel kusimamisha mauwaji hao.

Kwa mtazamo wa haraka mzunguko huo wa mauaji kusini na kaskazini ya Gaza. Mashariki na magharibi ya Jerusalem hautakoma mpaka ardhi zote za wapalestina zitakapokuwa zimenyakuliwa. Bila msaada wa nguvu za kijeshi wapalestina peke yao hawataweza na hawana nguvu za kujitetea.

Watetezi wakubwa wa Palestina katika kipindi kigumu wangekuwa ni wale ndugu zao walio nje ya Palestina na ambao wamekosa huruma na umoja wa kuwaokoa. Tatizo halisi la kukosekana nguvu hizo wala sio wananchi wa nchi hizo bali ni Serikali zinazotawala ambazo zimeingia mikataba ya hadaa na Israel na hatimae kuamua kukaa kimya au kutoa matamko mepesi na yasiyokuwa na athari kwa uonevu uanaoendelea.

Nchi tatu miongoni mwa nyingi ambazo zimeonekana kusaidia maangamizi hayo ya Palestina na kushindwa kututea masjid Aqswa ambao utakatifu wake uko kwenye Qur'an ni Saudi Arabia, Misri na Jordan.
Hivyo ukombozi halisi wa Palestina utapatikana kwa kuondoka madarakani kwa Serikali za nchi hizo tatu.
Kwaiyo ulikuwa unasemaje
 
Walahi nakuapia, hakuna wa kumtoa Israel eneo lile la mashariki ya Kati, Tena wakiungana na kushambulia Israel vita haitachikua muda mrefu ni mwezi mmoja nchi za Kiarabu zitakuwa haziwezi kurusha ndege, usicheze na air force ya Israel hawa ni hatari, nchi Gani ya kiarabu inaweza kuzuia air force ya Israel? Usalama wa wapalestina siyo kushambulia Israel, Bali niv kukubaliana waishi kwa aman pamoja, Kwa DAI la warabu eti Israel aachie ardhi na kuondoke hapo wanajichimbia kaburi lao wenyewe, watateketea na hicho kitu hakitawezekana, kama Syria imeshindwa kurejesha milima ya Golan kweli warabu mtaweza kumuondoa myahudi pale mashariki ya kati?
 
Hayo mataifa unayoyataka mapinduzi yafanyike yameshaupdate syllabus ya madrasa hawaendeshwi na mihemko ya kidini
Najua hilo.Ndio maana wanakuja na Tanzania kwa nia hiyo hiyo.Ujanja wa kubadili dini watu kupitia shule tumeshaushtukia.Kenya walianza mwanzo wakaona wamefanikiwa kumbe na Kenya nako wameshtuka na vitabu vyao vya IRE.
Firauni alipoinua mguu kutaka kuwamaliza kwa kuwakanyaga waislamu Allah akamkanyaga yeye na kumuangamiza.Hilo ndilo tunaloshuhudia kwa mayahudi kuanzia mwaka huu.
 
Vita vya kuuwana watu wa Sudan havikuanza mpaka pale wazee wa fitna walipoingia Sudan.Pale kibaraka wao Hamdouk alipoingia madarakani halafu akafanya mkataba wa kurudisha uhusiano na Israel.
Rejea mauaji ya kimbari (genocide) huko Darfur, Sudan dhidi ya Waislamu wasio “waarabu” (Waislamu weusi) yaliyokuwa yakifanywa na serikali ya Sudan kwa kutumia wapiganaji wa janjaweed kuanzia mwaka 2003 hadi kusainiwa kwa mkataba wa amani wa Juba 2020. Kipindi hicho Hamdouk hakuwepo madarakani wala hao unaowaita “wazee wa fitna” hawakuhusika. Ile iikuwa ni jeuri ya “waarabu” dhidi ya weusi tu. El Bashir alifikishwa ICJ kwa ile genocide.

Kama poetic justice wale janjaweed walioendekezwa na serikali enzi zile leo ndio hao RSF wanaolisotesha jeshi ya Sudan katika vita ya wenyewe kwa wenyewe.

Pamoja na kusikitikia yanayoendelea Gaza, ukweli kuhusu maovu yanayofanywa na makundi ya waarabu dhidi ya jamii (races) zingine lazima pia uwekwe wazi na kukosolewa.

Darfur suala halikuwa dini bali ubaguzi wa rangi (racial discrimination), period. Na kinachoshangaza sana ni hao machotara wa karne na karne huko Sudan kujifanya “waarabu” sana na kudharau hata kuchukia waliochanganya nao damu.
 
Walahi nakuapia, hakuna wa kumtoa Israel eneo lile la mashariki ya Kati, Tena wakiungana na kushambulia Israel vita haitachikua muda mrefu ni mwezi mmoja nchi za Kiarabu zitakuwa haziwezi kurusha ndege, usicheze na air force ya Israel hawa ni hatari, nchi Gani ya kiarabu inaweza kuzuia air force ya Israel? Usalama wa wapalestina siyo kushambulia Israel, Bali niv kukubaliana waishi kwa aman pamoja, Kwa DAI la warabu eti Israel aachie ardhi na kuondoke hapo wanajichimbia kaburi lao wenyewe, watateketea na hicho kitu hakitawezekana, kama Syria imeshindwa kurejesha milima ya Golan kweli warabu mtaweza kumuondoa myahudi pale mashariki ya kati?
Kila jambo lina ukomo wake.Nguvu kubwa ya Israel imedumu mpaka mwaka huu 2023.Kuanzia sasa ni kudidimia tu.
unayo taarifa kuwa Israel inataka inunue Iron dome zake 2 ilizoziuza kwa US kutoka na mahitaji kuongezeka.Huyo ni Hamas tu asiyekuwa na ndege wala silaha za kutosha.Itakuwaje kama hao majirani watatu kila mmoja atarusha jiwe lake.
 
Rejea mauaji ya kimbari (genocide) huko Darfur, Sudan dhidi ya Waislamu wasio “waarabu” (Waislamu weusi) yaliyokuwa yakifanywa na serikali ya Sudan kwa kutumia wapiganaji wa janjaweed kuanzia mwaka 2003 hadi kusainiwa kwa mkataba wa amani wa Juba 2020. Kipindi hicho Hamdouk hakuwepo madarakani wala hao unaowaita “wazee wa fitna” hawakuhusika. Ile iikuwa ni jeuri ya “waarabu” dhidi ya weusi tu. El Bashir alifikishwa ICJ kwa ile genocide.

Kama poetic justice wale janjaweed walioendekezwa na serikali enzi zile leo ndio hao RSF wanaolisotesha jeshi ya Sudan katika vita ya wenyewe kwa wenyewe.

Pamoja na kusikitikia yanayoendelea Gaza, ukweli kuhusu maovu yanayofanywa na makundi ya waarabu dhidi ya jamii (races) zingine lazima pia uwekwe wazi na kukosolewa.

Darfur suala halikuwa dini bali ubaguzi wa rangi (racial discrimination), period. Na kinachoshangaza sana ni hao machotara wa karne na karne huko Sudan kujifanya “waarabu” sana na kudharau hata kuchukia waliochanganya nao damu.
Fitna tunazosema ni hizo.Zimefanyika kabla na baada ya Hamdouk.
Omar Albashir na baraza lake lote la mawaziri karibu wote ni watu weusi na waafrika.Hilo neno waarabu kwa weusi sijui lilitokea wapi kwengine isipokuwa kwa wazee wa fitna.
 
Vita vya kuuwana watu wa Sudan havikuanza mpaka pale wazee wa fitna walipoingia Sudan.Pale kibaraka wao Hamdouk alipoingia madarakani halafu akafanya mkataba wa kurudisha uhusiano na Israel.
Kwahiyo kuua hao rais wasio na hatiq ndo suluhisho???

Huoni kama ni upuuzi huo wanaofanya hao magaidi?

Israel ikiwamaliza hao magaidi palestina, ije na sudan kuwateketeza mbuzi hao.
 
Back
Top Bottom