Uhuru wa Palestina hautapatikana bila kupinduliwa kwa Misri, Jordan na Saudi Arabia

Uhuru wa Palestina hautapatikana bila kupinduliwa kwa Misri, Jordan na Saudi Arabia

Umejaribuj kukanusha halafu umekuja pale pale.Kama ni rangi Albashir na wenzake ni weusi.Fikra ya uarabu kama alikuwa nayo ni moyoni kwake.
Ndipo hapo mwisho ukasema wasudan weusi.Na Albashiri pia ni msudan mweusi.
Fitna zenu tu hizo mnapotaka kufanikisha mipango yenu.Hata waethiopia weusi pia mumewaita ni wayahudi.Wakipigana mitaa ya Telaviv ni waafrika ovyo warudishwe kwao.
🤔
 
Kabla vita havijamalizika Israel imeshaweka tayari baadhi ya mipango yake ya siri dhidi ya ardhi za wapalestina, kwamba wanakusudia kuinyakua milele Gaza.

Uwezo wa kuinyakua Gaza umekwenda bila uzito mkubwa kutokana na kuwahadaa majirani na ndugu wote wa Palestina na wamekaa kimya katika muda muda wa kutoa msaada kwa wenzao hao.

Mara baada ya kuanza kwa mashambulizi ya ardhini ndani ya mji mkuu wa Gaza, Jeshi la IDF liliwataka wapalestina wanaoishi eneo hilo kuelekea kusini. Ni ukatili sana hata kufikiria watu milioni 2.3 ambao tayari walikuwa wanaishi eneo dogo sana halafu kuwataka wakaishi pamoja kwenye nusu ya eneo walipokuwa awali.

Pamoja na hilo sambamba na kuuliwa wa kaskazini wale waliotii amri kuelekea kusini nao wamekuwa wakiuliwa njiani. Zaidi ya hivyo Jeshi la Israel limesema wakimaliza kaskazini ya Gaza itakuwa ni zamu ya kusini.
Kabla ya kumaliza huko kaskazini kumekuwa na mashambulizi mengi maeneo ya kusini ambako wapalestina wamekuwa wakifa kiwango cha chini kidogo kuliko kaskazini.

Itakapokuja zamu ya kusini watatakiwa waende wapi tena na idadi gani wataendelea kuuliwa kabla Israel kusimamisha mauwaji hao.

Kwa mtazamo wa haraka mzunguko huo wa mauaji kusini na kaskazini ya Gaza. Mashariki na magharibi ya Jerusalem hautakoma mpaka ardhi zote za wapalestina zitakapokuwa zimenyakuliwa. Bila msaada wa nguvu za kijeshi wapalestina peke yao hawataweza na hawana nguvu za kujitetea.

Watetezi wakubwa wa Palestina katika kipindi kigumu wangekuwa ni wale ndugu zao walio nje ya Palestina na ambao wamekosa huruma na umoja wa kuwaokoa. Tatizo halisi la kukosekana nguvu hizo wala sio wananchi wa nchi hizo bali ni Serikali zinazotawala ambazo zimeingia mikataba ya hadaa na Israel na hatimae kuamua kukaa kimya au kutoa matamko mepesi na yasiyokuwa na athari kwa uonevu uanaoendelea.

Nchi tatu miongoni mwa nyingi ambazo zimeonekana kusaidia maangamizi hayo ya Palestina na kushindwa kututea masjid Aqswa ambao utakatifu wake uko kwenye Qur'an ni Saudi Arabia, Misri na Jordan.

Hivyo ukombozi halisi wa Palestina utapatikana kwa kuondoka madarakani kwa Serikali za nchi hizo tatu.
Huwezi kuukamata ardhi ya adui kama Hamas ,kisha ukaiachia within a month. Hapo utakaluwa hadi hata miezi sita au zaidi
 
Kabla vita havijamalizika Israel imeshaweka tayari baadhi ya mipango yake ya siri dhidi ya ardhi za wapalestina, kwamba wanakusudia kuinyakua milele Gaza.

Uwezo wa kuinyakua Gaza umekwenda bila uzito mkubwa kutokana na kuwahadaa majirani na ndugu wote wa Palestina na wamekaa kimya katika muda muda wa kutoa msaada kwa wenzao hao.

Mara baada ya kuanza kwa mashambulizi ya ardhini ndani ya mji mkuu wa Gaza, Jeshi la IDF liliwataka wapalestina wanaoishi eneo hilo kuelekea kusini. Ni ukatili sana hata kufikiria watu milioni 2.3 ambao tayari walikuwa wanaishi eneo dogo sana halafu kuwataka wakaishi pamoja kwenye nusu ya eneo walipokuwa awali.

Pamoja na hilo sambamba na kuuliwa wa kaskazini wale waliotii amri kuelekea kusini nao wamekuwa wakiuliwa njiani. Zaidi ya hivyo Jeshi la Israel limesema wakimaliza kaskazini ya Gaza itakuwa ni zamu ya kusini.
Kabla ya kumaliza huko kaskazini kumekuwa na mashambulizi mengi maeneo ya kusini ambako wapalestina wamekuwa wakifa kiwango cha chini kidogo kuliko kaskazini.

Itakapokuja zamu ya kusini watatakiwa waende wapi tena na idadi gani wataendelea kuuliwa kabla Israel kusimamisha mauwaji hao.

Kwa mtazamo wa haraka mzunguko huo wa mauaji kusini na kaskazini ya Gaza. Mashariki na magharibi ya Jerusalem hautakoma mpaka ardhi zote za wapalestina zitakapokuwa zimenyakuliwa. Bila msaada wa nguvu za kijeshi wapalestina peke yao hawataweza na hawana nguvu za kujitetea.

Watetezi wakubwa wa Palestina katika kipindi kigumu wangekuwa ni wale ndugu zao walio nje ya Palestina na ambao wamekosa huruma na umoja wa kuwaokoa. Tatizo halisi la kukosekana nguvu hizo wala sio wananchi wa nchi hizo bali ni Serikali zinazotawala ambazo zimeingia mikataba ya hadaa na Israel na hatimae kuamua kukaa kimya au kutoa matamko mepesi na yasiyokuwa na athari kwa uonevu uanaoendelea.

Nchi tatu miongoni mwa nyingi ambazo zimeonekana kusaidia maangamizi hayo ya Palestina na kushindwa kututea masjid Aqswa ambao utakatifu wake uko kwenye Qur'an ni Saudi Arabia, Misri na Jordan.

Hivyo ukombozi halisi wa Palestina utapatikana kwa kuondoka madarakani kwa Serikali za nchi hizo tatu.
Dini ya amani

Kuna watu wanamwabudu shetani bila kujua
 
Kila jambo lina ukomo wake.Nguvu kubwa ya Israel imedumu mpaka mwaka huu 2023.Kuanzia sasa ni kudidimia tu.
unayo taarifa kuwa Israel inataka inunue Iron dome zake 2 ilizoziuza kwa US kutoka na mahitaji kuongezeka.Huyo ni Hamas tu asiyekuwa na ndege wala silaha za kutosha.Itakuwaje kama hao majirani watatu kila mmoja atarusha jiwe lake.
Upo sahihi Israel hell [emoji1134] mapigano ya mwezi mmoja tu nawagambo tayari bajet yake imeyumba anaomba omba msaada ila hao uliowataja niwanafiq wakubwa hilo angeliweza almarhum mursi ila uliona walichomfanyia
 
Tutaongea maneno mengi Sana. Hivi hao Hamas wasingevamia Israel nini kingetokea?. Watu walikuwa wananaishi kwa amani, bila kusumbuana. Tungeanzia hapo, sio kulaumu.
Palestine na wapalestine hawajawahi kua na amani tokea mwaka 1948 baada ya kuundwa tu utawala haramu wa israhell [emoji1664]
 
Kama kawaida yenu wanaharakati kuchochea fitna na uharibifu zaidi katika nchi za kiislam huku nyinyi mkiwa mmekaa kwenye makochi yenu. Na baadhi ya wakubwa zenu wakiwa nchi za magharibi wakichochea vurugu na mapinduzi katika nchi za kiislam bila ya kujali umwagikaji wa damu na uharibifu utakaotokea huku wao wakiwa wametulia tu kwenye makochi yao.

Masjid Al Aqsa itakombolewa na Waislam, sio lazima wawe waarabu Salahuddin alikuwa ni Mkurdi na jeshi lake lilikuwa waislam waarabu na wasio waarabu, waliosimama sawa, wanaofuata Qur'an na Sunnah juu ya ufahamu wa wema waliotangulia. Sio mashia, wala ma ikhwaan wala mahizbu tahrir wala khawaarij kwa ujumla wao wala wanaopigania uarabu.

Cha msingi ni kuwaombea ndugu zetu Allah awanusuru na kuwapelekea misaada ya kibinaadamu kama chakula na matibabu kwa wenye uwezo na sisi tufuate njia ya wema waliotangulia na kurekebisha itikadi zetu ziwe sahihi na tushikamane na Tawhid na Sunnah na kuachana na Shirki na Bidaa. Soma Qur'an 24:55.

Huwa hatuangalii vyanzo vya matatizo yetu tunatafuta tu wa kuwalaumu na kuwashushia lawama. Haya yanatukuta kwa sababu ya kupuuzia dini yetu. Tulikuwa tuna nguvu kwa sababu ya kushikamana na dini yetu, kisha tukapata udhaifu baada ya kupuuza dini.

Hao mayahudi wenyewe miongoni mwao wanajua hili. Kuwa watakaowatoa pale ni waislam waliosimama sawa sawa. Na wanaogopa sana Waislam kushikamana na dini yao kiukweli hasa. Wala hawawaogopi wanaharakati wenye jazba za kijinga, bali huenda wanafurahi hasa mnapohamasisha kuzichoma moto nchi za kiislam na kuzitia kwenye machafuko ya kisiasa, ili kuzirudisha nyuma zaidi.


Hivyo, suluhisho ni tubadilike, ili tubadilishiwe hali yetu, soma Qur'an 13:11.

Maandamano ambayo nayo yana maovu mengi, jazba jazba hazisaidii bali huenda zikazidisha matatizo, Allah atunusuru.

Acheni kuendekeza jazba. Hamuoni yaliyotokea kwenye mapinduzi ya miaka ya karibuni katika nchi za kiislam? Hayakuongeza ila uharibifu na hayakupunguza ila zile kheri zilizokuwepo na amani.

Hamfikirii nyinyi wanaharakati?
Kumbe hii vita ni ya kukomboa msikiti?
 
Pamoja na kasoro zao zote mashia kwanza hawako pamoja na mayahudi na kwa waislamu mayahudi na Amerika si bora kuliko mashia.
Nakubaliana na wewe kuna kasoro kwenye mafunzo ya kishia lakini wakichanganywa na waislamu wengine wanakaa sawa kirahisi kwa sababu wote wanaongozwa na shahada moja.Kinyume na mayahudi na wamarekani ukaribu na waislamu hauwezi kuwepo mpaka mwisho wa dunia.
Ingekuwa Iran eti wana lengo moja na Israel basi wala asingekubali Ismail Haniye kuleta watu wake nchini mwake wasome teknolojia za kupigana na Israel
Unajua mzandiki kwa lugha ya kiislamu?
 
Misri na saudi arabia ni madola makubwa nani atayapindua? Kina morsi wenyewe walikuja na siasa zao kali za kiislam wakala za uso. Huko saudia ndio hawatajaribu kabisa. Hayo madola ya kiarabu hayataki fujo na israel katika kuitetea palestina.
 
Walahi nakuapia, hakuna wa kumtoa Israel eneo lile la mashariki ya Kati, Tena wakiungana na kushambulia Israel vita haitachikua muda mrefu ni mwezi mmoja nchi za Kiarabu zitakuwa haziwezi kurusha ndege, usicheze na air force ya Israel hawa ni hatari, nchi Gani ya kiarabu inaweza kuzuia air force ya Israel? Usalama wa wapalestina siyo kushambulia Israel, Bali niv kukubaliana waishi kwa aman pamoja, Kwa DAI la warabu eti Israel aachie ardhi na kuondoke hapo wanajichimbia kaburi lao wenyewe, watateketea na hicho kitu hakitawezekana, kama Syria imeshindwa kurejesha milima ya Golan kweli warabu mtaweza kumuondoa myahudi pale mashariki ya kati?
Wajinga mlikuwa mnafikiri kwamba Israel haipigiki.lakini wanapigwa na wanamgambo.hao hawawezi nchi kama Iran.
 
Kwahiyo kifupi uislam ni sawa na madawa ya kulevya.

Ikikuingia kichwani unachanganyikiwa, dini inakufanya uwe gaidi, muwulaji na mbaguzi.
 
SAUDI ARABIA NA JORDAN, WATUNGUA MAKOMBORA YALIYOVYATULIWA YEMEN KUELEKEA ISRAEL

Saudia Arabia moja ya nchi ya kiarabu kusaini makubaliano ya Abraham Accord (normalisation) na Taifa la Israel. Hivyo Saudia walivyoona makombora yanakatiza anga lao toka kwa wa Houthi wa Yemen , wakafanya wajibu wao kuyatungua ingawa yalikuwa amelengwa kuipiga nchi ya Israel. Jordan nayo watungua makombora yaliyokatiza nchini kwao kuelekea Israel toka kwa vikaragosi wa Iran waliopo kama mgambo ktk nchi za Iraq na Syria.

Pia manowari za Marekani katika bahari Nyekundu Red Sea watungua makombora yaliyofyatuliwa Yemen kuelekezwa Israel. Marekani ni rafiki wa kweli wa Saudia, Jordan, UAE na mmoja ya wadau waliofanikisha Abraham Accord kuleta utulivu na amani Mashariki ya Kati.

Mataifa ya Egypt, Jordan na Saudia Arabia ni nchi za mfano zilizo wauungwana kusimamia makubaliano ya Abraham Accord bila kusukumwa na viongozi wa magaidi wa HAMAS wanaotumbua maisha ya kifahari ktk hoteli za Qatar. kuendekeza jazba, mihemuko au imani kupitia shindikizo la magaidi wavunje makubaliano haya ya kihistoria.

Tanzania nayo haitakiwi kukurupuka kufuata mkumbo wa wahafidhina wenye chuki, mihemuko, kukosa kufikiri kwa kina na kulaani haki ya taifa la Israel kujilinda uwepo wake na usalama wa maisha raia wake.

The Times of Israel
https://www.timesofisrael.com › mis...
Missile from Yemen downed over Saudi Arabia -- report

5 days ago — The interception allegedly occurs in the northwest of the country, near its border with Jordan. Yemen's Houthi rebels have
U.S. Department of State (.gov)
www.state.gov
At the One Year Anniversary of the Abraham Accords: Normalization ...

17 Sept 2021 — Normalization leads to greater stability, more cooperation, mutual progress – all things the region and the world need very badly right now ...
 
Kumbe hii vita ni ya kukomboa msikiti?
Ule msikiti tumekabidhiwa na muumba wa ulimwengu na ni sehemu ya maajabu makubwa ambayo hakuna dini hata iliyoyawazia.Pale Mtume rehma na amani zimshukie alikwenda kwa kuruka kutoka Makka kwa kasi ya ajabu halafu akapaa angani kutoka pale mpaka mbingu ya saba alikokabidhiwa sala 5 tunazozisali mpaka leo.
Waislamu hawatokubali kuwaachia mayahudi wakapafisidi na hawatokuwa na maisha bila kuidhibiti Palestina na masjid al aqsa
 
Wajinga mlikuwa mnafikiri kwamba Israel haipigiki.lakini wanapigwa na wanamgambo.hao hawawezi nchi kama Iran.

Yale ni mapigano sio Vita. Ndio maana Israel alipoamrisha raia wa Gaza wahame wakahama. Wewe unadhani ni Jambo dogo kufata amri ya adui?. Ujinga wa Hamas Gaza imeanguka kwenye utawala wa ISRAEL na wao kufumuliwa.
 
Tutaongea maneno mengi Sana. Hivi hao Hamas wasingevamia Israel nini kingetokea?. Watu walikuwa wananaishi kwa amani, bila kusumbuana. Tungeanzia hapo, sio kulaumu.
kwan hukuona video mwaka jana?israel walhingia msikitin kupga watu?
 
Hayo mataifa unayoyataka mapinduzi yafanyike yameshaupdate syllabus ya madrasa hawaendeshwi na mihemko ya kidini
kwani kubadilisha syllabuses ndio kutafanya wasipinduliwe? uwezo wa kubadilisha Quran wala Hadith hawana kwa hiyo suala la kupinduliwa ni la muda tu
 
Ni kweli kabisa,hao vibaraka walio jirani ndio kikwazo kikubwa Cha kukombolewa Baytul Muqadas na kuondoshwa kwao ni mwanzo wa ukombozi wa filistin
kina Abu Musab Zarqawi na Abubakar al Baghdad walianza na naamini kwa idhini ya Allah Kuna "masimba" wengine watakaoleta nusra kamili
 
Kabla vita havijamalizika Israel imeshaweka tayari baadhi ya mipango yake ya siri dhidi ya ardhi za wapalestina, kwamba wanakusudia kuinyakua milele Gaza.

Uwezo wa kuinyakua Gaza umekwenda bila uzito mkubwa kutokana na kuwahadaa majirani na ndugu wote wa Palestina na wamekaa kimya katika muda muda wa kutoa msaada kwa wenzao hao.

Mara baada ya kuanza kwa mashambulizi ya ardhini ndani ya mji mkuu wa Gaza, Jeshi la IDF liliwataka wapalestina wanaoishi eneo hilo kuelekea kusini. Ni ukatili sana hata kufikiria watu milioni 2.3 ambao tayari walikuwa wanaishi eneo dogo sana halafu kuwataka wakaishi pamoja kwenye nusu ya eneo walipokuwa awali.

Pamoja na hilo sambamba na kuuliwa wa kaskazini wale waliotii amri kuelekea kusini nao wamekuwa wakiuliwa njiani. Zaidi ya hivyo Jeshi la Israel limesema wakimaliza kaskazini ya Gaza itakuwa ni zamu ya kusini.
Kabla ya kumaliza huko kaskazini kumekuwa na mashambulizi mengi maeneo ya kusini ambako wapalestina wamekuwa wakifa kiwango cha chini kidogo kuliko kaskazini.

Itakapokuja zamu ya kusini watatakiwa waende wapi tena na idadi gani wataendelea kuuliwa kabla Israel kusimamisha mauwaji hao.

Kwa mtazamo wa haraka mzunguko huo wa mauaji kusini na kaskazini ya Gaza. Mashariki na magharibi ya Jerusalem hautakoma mpaka ardhi zote za wapalestina zitakapokuwa zimenyakuliwa. Bila msaada wa nguvu za kijeshi wapalestina peke yao hawataweza na hawana nguvu za kujitetea.

Watetezi wakubwa wa Palestina katika kipindi kigumu wangekuwa ni wale ndugu zao walio nje ya Palestina na ambao wamekosa huruma na umoja wa kuwaokoa. Tatizo halisi la kukosekana nguvu hizo wala sio wananchi wa nchi hizo bali ni Serikali zinazotawala ambazo zimeingia mikataba ya hadaa na Israel na hatimae kuamua kukaa kimya au kutoa matamko mepesi na yasiyokuwa na athari kwa uonevu uanaoendelea.

Nchi tatu miongoni mwa nyingi ambazo zimeonekana kusaidia maangamizi hayo ya Palestina na kushindwa kututea masjid Aqswa ambao utakatifu wake uko kwenye Qur'an ni Saudi Arabia, Misri na Jordan.

Hivyo ukombozi halisi wa Palestina utapatikana kwa kuondoka madarakani kwa Serikali za nchi hizo tatu.
Yaani we ukafanye ujinga wako huko ukitaraji jirani atatumia rasilimali zake kukuhurumia.
 
Acha hofu zako hizo.Hamdouk nimekwambia ni kibaraka na zaidi ni mnafiki.Wanafiki kwetu ni wabaya kuliko hata mayahudi na wakristo.
Mayahudi ni watu waliolaaniwa hivyo hatuna njia kujikaribisha nao lakini wakristo wa kweli wameitwa wamepotea tu lakini ni watu wa karibu yetu.Kama si fitna za mayahudi basi utagundua kila sehemu huwa tunaishi na wakristo kwa amanni.
Unamkumbuka Hanana Ashrawi kule Palestina ni mipganaaji pamoja na waislamu.Shireen Abu Aqil mwandishi wa habari mahiri sana ni mkristo tena wa Gaza lakini aliuliwa kwa kuitetea Palestina katika kazi zake.
Wafuasi wa mudi ni wajinga na mataahira aisee!
 
Back
Top Bottom