Subira Ingekuwa ibada hamas wasingerusha maroketi. Ili watimize ibada ya Subira. Alafu kwako unaona hamas ndiyo Uislamu. Kwa wenye uelewa Hamas na makundi yote ya kigaidi yanauchafua Uislam tu.Subira kwetu ni ibada na haina kikomo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Subira Ingekuwa ibada hamas wasingerusha maroketi. Ili watimize ibada ya Subira. Alafu kwako unaona hamas ndiyo Uislamu. Kwa wenye uelewa Hamas na makundi yote ya kigaidi yanauchafua Uislam tu.Subira kwetu ni ibada na haina kikomo.
Tangu tarehe 7 oktoba nimekuwa nikiswali Ijumaa kwenye misikiti ya madhehebu mbali mbali .Hakuna aliyewasema vibaya Hamas.Na misikiti mingi Ijumaa ya juzi ilisoma dua kuwaombea wapalestina.Unadhani Allah hazisikii dua hizo.Subira Ingekuwa ibada hamas wasingerusha maroketi. Ili watimize ibada ya Subira. Alafu kwako unaona hamas ndiyo Uislamu. Kwa wenye uelewa Hamas na makundi yote ya kigaidi yanauchafua Uislam tu.
Utamsemaje vibaya Hamas mtu ambaye unamuunga mkono? Na unaona ni sehemu ya dini. kwake hata akiua unaona anafanya kitu kilicho sahihi.Tangu tarehe 7 oktoba nimekuwa nikiswali Ijumaa kwenye misikiti ya madhehebu mbali mbali .Hakuna aliyewasema vibaya Hamas.Na misikiti mingi Ijumaa ya juzi ilisoma dua kuwaombea wapalestina.Unadhani Allah hazisikii dua hizo.
Mbele ya Madaraka bora Ndugu zao waislam wafutwe lakini sio kumuudhi anaye waweka madarakani.Nchi tatu miongoni mwa nyingi ambazo zimeonekana kusaidia maangamizi hayo ya Palestina na kushindwa kututea masjid Aqswa ambao utakatifu wake uko kwenye Qur'an ni Saudi Arabia, Misri na Jordan.
Kama kuuwa ni jambo baya.Nashangaa ulivyo kipofu.Utamsemaje vibaya Hamas mtu ambaye unamuunga mkono? Na unaona ni sehemu ya dini. kwake hata akiua unaona anafanya kitu kilicho sahihi.
Mbona unapenda kutuingiza wakrsto kwenye ugomvi wenu wa Maarabu na Wayahudi🤣🤣🤣Acha hofu zako hizo.Hamdouk nimekwambia ni kibaraka na zaidi ni mnafiki.Wanafiki kwetu ni wabaya kuliko hata mayahudi na wakristo.
Mayahudi ni watu waliolaaniwa hivyo hatuna njia kujikaribisha nao lakini wakristo wa kweli wameitwa wamepotea tu lakini ni watu wa karibu yetu.Kama si fitna za mayahudi basi utagundua kila sehemu huwa tunaishi na wakristo kwa amanni.
Unamkumbuka Hanana Ashrawi kule Palestina ni mipganaaji pamoja na waislamu.Shireen Abu Aqil mwandishi wa habari mahiri sana ni mkristo tena wa Gaza lakini aliuliwa kwa kuitetea Palestina katika kazi zake.
Kwahiyo hamas watu wazuri wanaua kondoo tu??Kama kuuwa ni jambo baya.Nashangaa ulivyo kipofu.
Nani ameuwa watu wengi zaidi kati ya Israel na Hamas na kati ya Marekani na Taliban
Na nani muuwaji mbaya kuliko yule anayeua watoto na wagonjwa.
ARABIZATION WITHIN MUSLIM FAITHERKabla vita havijamalizika Israel imeshaweka tayari baadhi ya mipango yake ya siri dhidi ya ardhi za wapalestina, kwamba wanakusudia kuinyakua milele Gaza.
Uwezo wa kuinyakua Gaza umekwenda bila uzito mkubwa kutokana na kuwahadaa majirani na ndugu wote wa Palestina na wamekaa kimya katika muda muda wa kutoa msaada kwa wenzao hao.
Mara baada ya kuanza kwa mashambulizi ya ardhini ndani ya mji mkuu wa Gaza, Jeshi la IDF liliwataka wapalestina wanaoishi eneo hilo kuelekea kusini. Ni ukatili sana hata kufikiria watu milioni 2.3 ambao tayari walikuwa wanaishi eneo dogo sana halafu kuwataka wakaishi pamoja kwenye nusu ya eneo walipokuwa awali.
Pamoja na hilo sambamba na kuuliwa wa kaskazini wale waliotii amri kuelekea kusini nao wamekuwa wakiuliwa njiani. Zaidi ya hivyo Jeshi la Israel limesema wakimaliza kaskazini ya Gaza itakuwa ni zamu ya kusini.
Kabla ya kumaliza huko kaskazini kumekuwa na mashambulizi mengi maeneo ya kusini ambako wapalestina wamekuwa wakifa kiwango cha chini kidogo kuliko kaskazini.
Itakapokuja zamu ya kusini watatakiwa waende wapi tena na idadi gani wataendelea kuuliwa kabla Israel kusimamisha mauwaji hao.
Kwa mtazamo wa haraka mzunguko huo wa mauaji kusini na kaskazini ya Gaza. Mashariki na magharibi ya Jerusalem hautakoma mpaka ardhi zote za wapalestina zitakapokuwa zimenyakuliwa. Bila msaada wa nguvu za kijeshi wapalestina peke yao hawataweza na hawana nguvu za kujitetea.
Watetezi wakubwa wa Palestina katika kipindi kigumu wangekuwa ni wale ndugu zao walio nje ya Palestina na ambao wamekosa huruma na umoja wa kuwaokoa. Tatizo halisi la kukosekana nguvu hizo wala sio wananchi wa nchi hizo bali ni Serikali zinazotawala ambazo zimeingia mikataba ya hadaa na Israel na hatimae kuamua kukaa kimya au kutoa matamko mepesi na yasiyokuwa na athari kwa uonevu uanaoendelea.
Nchi tatu miongoni mwa nyingi ambazo zimeonekana kusaidia maangamizi hayo ya Palestina na kushindwa kututea masjid Aqswa ambao utakatifu wake uko kwenye Qur'an ni Saudi Arabia, Misri na Jordan.
Hivyo ukombozi halisi wa Palestina utapatikana kwa kuondoka madarakani kwa Serikali za nchi hizo tatu.
Unasema propaganda wewe kweli uislam wako ni wa choooni ...........jambo liko wazi kabisa mpaka kipofu kaona kuwa waarabu poli wanawaua watu wenu yaani waislam wenzenu kule darfur sasa wewe muuza kahawa wa Kawe ukwamani unapinga ........hivi ukoje wewepropaganda ambazo hazifanyi kazi tena.Zilifanya kazi enzi zile za kuigawa Sudan.Iko siku wataunganisha tena nchi yao.
Wewe thubutu,,,tuwe karibu na watu wanaomwabudu shetani(Allah).Wakristo halisi huwa daima wanakuwa karibu na waislamu.Ukiona mtu anajitenga ujuwe ni myahudi wa mchongo kama wewe
Kwahiyo janja weed hawaui watupropaganda ambazo hazifanyi kazi tena.Zilifanya kazi enzi zile za kuigawa Sudan.Iko siku wataunganisha tena nchi yao.
Unamjua Hanana Al ashrawi na Shirin Abu Aqeel na wengine wa kule Palestina.Wewe utakuwa unajuwa ukiristo kweli kuliko wao.Mbona wamepigana na mayahudi wengine mpaka mwisho wa maisha yao.Wewe thubutu,,,tuwe karibu na watu wanaomwabudu shetani(Allah).
Na nabii wa uongo (Mudi).
Wakrsto wanamuabudu mungu wa wayahudi YEHOVA MKUU NA MWANAE YESU.
Umejaribuj kukanusha halafu umekuja pale pale.Kama ni rangi Albashir na wenzake ni weusi.Fikra ya uarabu kama alikuwa nayo ni moyoni kwake.
Ndipo hapo mwisho ukasema wasudan weusi.
Al bashir ni mweusi????![]()
Fitna zenu tu hizo mnapotaka kufanikisha mipango yenu.Hata waethiopia weusi pia mumewaita ni wayahudi.Wakipigana mitaa ya Telaviv ni waafrika ovyo warudishwe kwao.
Wangapi wameuliwa na Hamas.Mbona idadi kila siku inabadilishwa.Kwahiyo hamas watu wazuri wanaua kondoo tu??
Mbona mkuu unalazimisha wafuasi ya YEHOVA kuunga mkono ujinga wa allah na waarabu????Unamjua Hanana Al ashrawi na Shirin Abu Aqeel na wengine wa kule Palestina.Wewe utakuwa unajuwa ukiristo kweli kuliko wao.Mbona wamepigana na mayahudi wengine mpaka mwisho wa maisha yao.
Au wewe unaujuwa ukristo kuliko mapadre wa Chile na Latin America.
Mkuu nimekuuliza kwahiyo hamas wanaua kondoo na mbuzi na kuku na vifaranga vya bata???Wangapi wameuliwa na Hamas.Mbona idadi kila siku inabadilishwa.
Waliouliwa na Israel kila siku idadi inapanda na kila mtu anaona.Tena wanaua na watoto wachanga mpaka wakuu wa nchi wanalijua hilo
Canada’s Justin Trudeau tells Israel to end ‘killing of babies’
Sikulazimishi ili najaribu kukuzindua kuwa ukristo huujui.umetekwa nyara na mayahudi.hiyo misamiati ya kumuita Mungu Yehova wala si ya kikristo.Mbona mkuu unalazimisha wafuasi ya YEHOVA kuunga mkono ujinga wa allah na waarabu????
Unalazimisha wafuasi wa biblia kuunga mkono upuuzi wa quran na waarabu.
Hizo dini Africa hazituhusuAcha hofu zako hizo.Hamdouk nimekwambia ni kibaraka na zaidi ni mnafiki.Wanafiki kwetu ni wabaya kuliko hata mayahudi na wakristo.
Mayahudi ni watu waliolaaniwa hivyo hatuna njia kujikaribisha nao lakini wakristo wa kweli wameitwa wamepotea tu lakini ni watu wa karibu yetu.Kama si fitna za mayahudi basi utagundua kila sehemu huwa tunaishi na wakristo kwa amanni.
Unamkumbuka Hanana Ashrawi kule Palestina ni mipganaaji pamoja na waislamu.Shireen Abu Aqil mwandishi wa habari mahiri sana ni mkristo tena wa Gaza lakini aliuliwa kwa kuitetea Palestina katika kazi zake.