Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo Palestina inazisaidia nini hizo nchi hadi kutaka serikali zao zipinduliwe kwa ajili ya Palestina? Tuorodheshee japo mchango mdogo wa Wapalestina kwa mataifa hayo.Kabla vita havijamalizika Israel imeshaweka tayari baadhi ya mipango yake ya siri dhidi ya ardhi za wapalestina, kwamba wanakusudia kuinyakua milele Gaza.
Uwezo wa kuinyakua Gaza umekwenda bila uzito mkubwa kutokana na kuwahadaa majirani na ndugu wote wa Palestina na wamekaa kimya katika muda muda wa kutoa msaada kwa wenzao hao.
Mara baada ya kuanza kwa mashambulizi ya ardhini ndani ya mji mkuu wa Gaza, Jeshi la IDF liliwataka wapalestina wanaoishi eneo hilo kuelekea kusini. Ni ukatili sana hata kufikiria watu milioni 2.3 ambao tayari walikuwa wanaishi eneo dogo sana halafu kuwataka wakaishi pamoja kwenye nusu ya eneo walipokuwa awali.
Pamoja na hilo sambamba na kuuliwa wa kaskazini wale waliotii amri kuelekea kusini nao wamekuwa wakiuliwa njiani. Zaidi ya hivyo Jeshi la Israel limesema wakimaliza kaskazini ya Gaza itakuwa ni zamu ya kusini.
Kabla ya kumaliza huko kaskazini kumekuwa na mashambulizi mengi maeneo ya kusini ambako wapalestina wamekuwa wakifa kiwango cha chini kidogo kuliko kaskazini.
Itakapokuja zamu ya kusini watatakiwa waende wapi tena na idadi gani wataendelea kuuliwa kabla Israel kusimamisha mauwaji hao.
Kwa mtazamo wa haraka mzunguko huo wa mauaji kusini na kaskazini ya Gaza. Mashariki na magharibi ya Jerusalem hautakoma mpaka ardhi zote za wapalestina zitakapokuwa zimenyakuliwa. Bila msaada wa nguvu za kijeshi wapalestina peke yao hawataweza na hawana nguvu za kujitetea.
Watetezi wakubwa wa Palestina katika kipindi kigumu wangekuwa ni wale ndugu zao walio nje ya Palestina na ambao wamekosa huruma na umoja wa kuwaokoa. Tatizo halisi la kukosekana nguvu hizo wala sio wananchi wa nchi hizo bali ni Serikali zinazotawala ambazo zimeingia mikataba ya hadaa na Israel na hatimae kuamua kukaa kimya au kutoa matamko mepesi na yasiyokuwa na athari kwa uonevu uanaoendelea.
Nchi tatu miongoni mwa nyingi ambazo zimeonekana kusaidia maangamizi hayo ya Palestina na kushindwa kututea masjid Aqswa ambao utakatifu wake uko kwenye Qur'an ni Saudi Arabia, Misri na Jordan.
Hivyo ukombozi halisi wa Palestina utapatikana kwa kuondoka madarakani kwa Serikali za nchi hizo tatu.
Hii Kali Sana.Kwa hiyo janjaweed,alshababu,iss, Bokhara mu wamebarikiwa?
Sent from my Infinix X663 using JamiiForums mobile app
Tatizo hata historia hamsomi ndio maana mnapigwa kila kukicha. Kama unaweza waulize wastaafu wa raisi wa Enzi hizo wa Misry Gamal Abdel Nasser. Huyu alipata support na nchi zote za kiarabu lakini aliangukia pua vibaya sana. Waarabu wa buza tulizeni mafuvu mfikirie njia bora kupigana. Hayo Mapinduzi yatanufaisha mnaoshindana nao kuliko ninyi.Kabla vita havijamalizika Israel imeshaweka tayari baadhi ya mipango yake ya siri dhidi ya ardhi za wapalestina, kwamba wanakusudia kuinyakua milele Gaza.
Uwezo wa kuinyakua Gaza umekwenda bila uzito mkubwa kutokana na kuwahadaa majirani na ndugu wote wa Palestina na wamekaa kimya katika muda muda wa kutoa msaada kwa wenzao hao.
Mara baada ya kuanza kwa mashambulizi ya ardhini ndani ya mji mkuu wa Gaza, Jeshi la IDF liliwataka wapalestina wanaoishi eneo hilo kuelekea kusini. Ni ukatili sana hata kufikiria watu milioni 2.3 ambao tayari walikuwa wanaishi eneo dogo sana halafu kuwataka wakaishi pamoja kwenye nusu ya eneo walipokuwa awali.
Pamoja na hilo sambamba na kuuliwa wa kaskazini wale waliotii amri kuelekea kusini nao wamekuwa wakiuliwa njiani. Zaidi ya hivyo Jeshi la Israel limesema wakimaliza kaskazini ya Gaza itakuwa ni zamu ya kusini.
Kabla ya kumaliza huko kaskazini kumekuwa na mashambulizi mengi maeneo ya kusini ambako wapalestina wamekuwa wakifa kiwango cha chini kidogo kuliko kaskazini.
Itakapokuja zamu ya kusini watatakiwa waende wapi tena na idadi gani wataendelea kuuliwa kabla Israel kusimamisha mauwaji hao.
Kwa mtazamo wa haraka mzunguko huo wa mauaji kusini na kaskazini ya Gaza. Mashariki na magharibi ya Jerusalem hautakoma mpaka ardhi zote za wapalestina zitakapokuwa zimenyakuliwa. Bila msaada wa nguvu za kijeshi wapalestina peke yao hawataweza na hawana nguvu za kujitetea.
Watetezi wakubwa wa Palestina katika kipindi kigumu wangekuwa ni wale ndugu zao walio nje ya Palestina na ambao wamekosa huruma na umoja wa kuwaokoa. Tatizo halisi la kukosekana nguvu hizo wala sio wananchi wa nchi hizo bali ni Serikali zinazotawala ambazo zimeingia mikataba ya hadaa na Israel na hatimae kuamua kukaa kimya au kutoa matamko mepesi na yasiyokuwa na athari kwa uonevu uanaoendelea.
Nchi tatu miongoni mwa nyingi ambazo zimeonekana kusaidia maangamizi hayo ya Palestina na kushindwa kututea masjid Aqswa ambao utakatifu wake uko kwenye Qur'an ni Saudi Arabia, Misri na Jordan.
Hivyo ukombozi halisi wa Palestina utapatikana kwa kuondoka madarakani kwa Serikali za nchi hizo tatu.
Akili zako ni za kimaada zaidi na kufikiria pesa.Wapalestina ni kama walinzi wa masjid aqswa na ambao ni sehemu muhimu kwa ajili ya maisha ya kudumu ya akhera ambayo ni bora zaidi kuliko kusaidiana pesa hapa dunianiHiyo Palestina inazisaidia nini hizo nchi hadi kutaka serikali zao zipinduliwe kwa ajili ya Palestina? Tuorodheshee japo mchango mdogo wa Wapalestina kwa mataifa hayo.
Hivi huwa mnawaza kwa kutumia akili zipi hadi mnafikia kuandika mataputapu na upumbavu kiasi hiki?
Sasa kama akhera ni bora mnacholinda hapa duniani ni cha nini? Kwa hiyo hizo Masjidi mlizo nazo huko mitaani kwenu zenyewe hazitawasaidia kwenda akhera? Kwamba hiyo misikiti ya mitaani kwenu ni matoy tu!? Hiyo Al Aqsa mbona inalindwa na Israel na akiamua kuifuta anaifuta ni vile tu miongoni mwa wa Israel kuna waislam pia na ndiyo maana ameuacha wala siyo sababu ya Wapalestina wala naniAkili zako ni za kimaada zaidi na kufikiria pesa.Wapalestina ni kama walinzi wa masjid aqswa na ambao ni sehemu muhimu kwa ajili ya maisha ya kudumu ya akhera ambayo ni bora zaidi kuliko kusaidiana pesa hapa duniani
Si rahisi kuifuta Alaqsa.Anaweza akawaua viongozi kadhaa watetezi wa msikiti huo lakini hilo la kuufuta haltatokea kamwe.Sasa kama akhera ni bora mnacholinda hapa duniani ni cha nini? Kwa hiyo hizo Masjidi mlizo nazo huko mitaani kwenu zenyewe hazitawasaidia kwenda akhera? Kwamba hiyo misikiti ya mitaani kwenu ni matoy tu!? Hiyo Al Aqsa mbona inalindwa na Israel na akiamua kuifuta anaifuta ni vile tu miongoni mwa wa Israel kuna waislam pia na ndiyo maana ameuacha wala siyo sababu ya Wapalestina wala nani
Hata kama matendo yake maovu?Kama umeusoma uislamu basi utajua kuwa misikiti ya mitaani kwetu si sawa na masjidul Aqswa.Kwani muislamu akipata fursa ya kuswali pele siku moja tu na baada ya hapo akafa basi ana nafdsi kubwa ya kuingia peponi na kuishi maisha mazuri ya milele.
Kwa hiyo Yahudi akibomoa huo msikiti wewe na wenzako mtamfanya nini?Si rahisi kuifuta Alaqsa.Anaweza akawaua viongozi kadhaa watetezi wa msikiti huo lakini hilo la kuufuta haltatokea kamwe.
The time has always come since 1980s , nini kimefanyika?Sure.
The time has come.
Ukiona hadi nchi zote Duniani zimekaa kimya ujue Shida inaweza kuwa hao Hamas wenyeweKabla vita havijamalizika Israel imeshaweka tayari baadhi ya mipango yake ya siri dhidi ya ardhi za wapalestina, kwamba wanakusudia kuinyakua milele Gaza.
Uwezo wa kuinyakua Gaza umekwenda bila uzito mkubwa kutokana na kuwahadaa majirani na ndugu wote wa Palestina na wamekaa kimya katika muda muda wa kutoa msaada kwa wenzao hao.
Mara baada ya kuanza kwa mashambulizi ya ardhini ndani ya mji mkuu wa Gaza, Jeshi la IDF liliwataka wapalestina wanaoishi eneo hilo kuelekea kusini. Ni ukatili sana hata kufikiria watu milioni 2.3 ambao tayari walikuwa wanaishi eneo dogo sana halafu kuwataka wakaishi pamoja kwenye nusu ya eneo walipokuwa awali.
Pamoja na hilo sambamba na kuuliwa wa kaskazini wale waliotii amri kuelekea kusini nao wamekuwa wakiuliwa njiani. Zaidi ya hivyo Jeshi la Israel limesema wakimaliza kaskazini ya Gaza itakuwa ni zamu ya kusini.
Kabla ya kumaliza huko kaskazini kumekuwa na mashambulizi mengi maeneo ya kusini ambako wapalestina wamekuwa wakifa kiwango cha chini kidogo kuliko kaskazini.
Itakapokuja zamu ya kusini watatakiwa waende wapi tena na idadi gani wataendelea kuuliwa kabla Israel kusimamisha mauwaji hao.
Kwa mtazamo wa haraka mzunguko huo wa mauaji kusini na kaskazini ya Gaza. Mashariki na magharibi ya Jerusalem hautakoma mpaka ardhi zote za wapalestina zitakapokuwa zimenyakuliwa. Bila msaada wa nguvu za kijeshi wapalestina peke yao hawataweza na hawana nguvu za kujitetea.
Watetezi wakubwa wa Palestina katika kipindi kigumu wangekuwa ni wale ndugu zao walio nje ya Palestina na ambao wamekosa huruma na umoja wa kuwaokoa. Tatizo halisi la kukosekana nguvu hizo wala sio wananchi wa nchi hizo bali ni Serikali zinazotawala ambazo zimeingia mikataba ya hadaa na Israel na hatimae kuamua kukaa kimya au kutoa matamko mepesi na yasiyokuwa na athari kwa uonevu uanaoendelea.
Nchi tatu miongoni mwa nyingi ambazo zimeonekana kusaidia maangamizi hayo ya Palestina na kushindwa kututea masjid Aqswa ambao utakatifu wake uko kwenye Qur'an ni Saudi Arabia, Misri na Jordan.
Hivyo ukombozi halisi wa Palestina utapatikana kwa kuondoka madarakani kwa Serikali za nchi hizo tatu.
Aisee!!! Kuna ujinga mwingi kwenye dini.Kama umeusoma uislamu basi utajua kuwa misikiti ya mitaani kwetu si sawa na masjidul Aqswa.Kwani muislamu akipata fursa ya kuswali pele siku moja tu na baada ya hapo akafa basi ana nafdsi kubwa ya kuingia peponi na kuishi maisha mazuri ya milele.
Kwani dunia inaongozwa na nani.Iwapo shetani amiliki akili za watu wengi basi tatizo linaweza kuanza hapo.Ukiona hadi nchi zote Duniani zimekaa kimya ujue Shida inaweza kuwa hao Hamas wenyewe