Uhuru wa Palestina hautapatikana bila kupinduliwa kwa Misri, Jordan na Saudi Arabia

Sikulazimishi ili najaribu kukuzindua kuwa ukristo huujui.umetekwa nyara na mayahudi.hiyo misamiati ya kumuita Mungu Yehova wala si ya kikristo.
MUNGU WA WAKRSTO NA WAYAHUDI NI MUNGU WA KIYAHUDI YEHOVA.
HUYO ALLAH WA KIARABU HAWAMTAMBUI NI MUNGU WA MAARABU.
 
Sikulazimishi ili najaribu kukuzindua kuwa ukristo huujui.umetekwa nyara na mayahudi.hiyo misamiati ya kumuita Mungu Yehova wala si ya kikristo.
Mkuu unanilazimisha niamini mapokeo ya waarabu.
Mm naamini mapokeo ya wayahudi
 
Jibu swali,,hamas wanaua kondoo na mbuzi na kuku???
Nilikuamini kama mtu mwenye akili za kujadili mambo mazito hapa JF kumbe hamna kitu.Na kwa kurudia kwako swali hilo nimeelewa jinsia yako kuwa ni ya kike.
Jibu lake ni rahisi ungepaswa kulijua tangu mwanzo.Kuwa wayahudi ni binadamu kama wapalestina.
 
Nilikuamini kama mtu mwenye akili za kujadili mambo mazito hapa JF kumbe hamna kitu.Na kwa kurudia kwako swali hilo nimeelewa jinsia yako kuwa ni ya kike.
Jibu lake ni rahisi ungepaswa kulijua tangu mwanzo.Kuwa wayahudi ni binadamu kama wapalestina.
Mkuu mbona matusi tena,, wewe si unasema hamas wazuri na hawaui watu!!!
Na kwa mujibu wa imani yako maarabu tu ndio binadamu na sio mayahudi.
 
Nilikuamini kama mtu mwenye akili za kujadili mambo mazito hapa JF kumbe hamna kitu.Na kwa kurudia kwako swali hilo nimeelewa jinsia yako kuwa ni ya kike.
Jibu lake ni rahisi ungepaswa kulijua tangu mwanzo.Kuwa wayahudi ni binadamu kama wapalestina.
Mambo mazito Alwaz ARABIZATION???
 
Hata hapo juu nimesema wote ni binadamu.Mwenyezi Mungu tu ndiye aliyewaita mayahudi waliolaaniwa.Mimi siwezi kubadilisha kitu.
 
Tukimalizana na gaza,tunapanda hapo lebanon,huku tukisikilizia iran ajichanganye,
ambaye ni kaka wa magaidi,akifyekwa dunia inatulia
Takbir.
 
Kama kuuwa ni jambo baya.Nashangaa ulivyo kipofu.
Nani ameuwa watu wengi zaidi kati ya Israel na Hamas na kati ya Marekani na Taliban
Na nani muuwaji mbaya kuliko yule anayeua watoto na wagonjwa.
Wote wanaua. endeleeni kupeleka wagonjwa kwenye hospital ilizo juu ya maandaki. Hamas walishaona raia Ni Kinga yao.
 
Tukimalizana na gaza,tunapanda hapo lebanon,huku tukisikilizia iran ajichanganye,
ambaye ni kaka wa magaidi,akifyekwa dunia inatulia
Takbir.
ndoto za mtu aliyepandwa na kibri ndivyo zilivyo
Kwa hiyo janjaweed,alshababu,iss, Bokhara mu wamebarikiwa?

Sent from my Infinix X663 using JamiiForums mobile app
Kwenye hayo majina huwa sijihusishi sana.Najua ni madude ya kutengenezwa na Marekani na Israel ili kuendeleza ajenda zao.Huwa wanakwenda nayo halafu wanayaua wenyewe.
Vitu vya kweli ni kama Taleban,Hamas na Hizbolah.Wakitaka kuvifuta vinawapa shida sana.
 
Mapendekezo ya juzi ya Misri waliyoyaita ya kumaliza vita ilikuwa ni njama za kuipa nguvu Israel na kuimaliza Palestina.
Alsisi anazidi kuzionesha rangi zake za kiyahudi.
 
You have a point.

Hamas n wanaume.

Sio rahisi kwa kawaida kusimama mbele ya Israel hadi leo bado wamo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…