britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 16,295
- 33,994
Najaribu kuwaza pia Mtu ambaye anashawishiwa na M/K "at individual capacity" kwa ahadi ya kutafutiwa kazi Nje ya Nchi, ili aachane na maamuzi yake, akikubali kufanya hivyo, uhuru wake utakuwaje ndani ya Chama!!.
Hii inatakiwa kuitafakari bila Muhemko
Wala matusi
Bado najiuliza pia anayetoa offer ya kupatia Watu kazi kutoka kwenye Ubunge, linapofika suala la Wabunge kununuliwa na kuahidiwa vyeo kama ambavyo madai yaliyokuwepo unyoofu wa maelezo hayo unahitaji kutafakari kidogo hasa likija jambo la kuwanyooshea vidole wengine.
Bado mtu bila kuogopa anataja hadharani kwamba nilimuita kumshawishi je kwanini asiseme chama kimewaita Au ninewaita Kwa niaba ya chama
Unasema umemlea mtu tokea chuo ili ashike nafasi ya chama inamaana chama hakina kamati kadhaa za kukaa na kuamua mpaka mtu mmoja?
Kwa kifupi tunasafari ndefu kidogo na Vyama vyetu, ukuaji na ushawishi wake dhidi ya watu waliomo kwenye Vyama hivyo na ukwasi wao.
Labda niazime mawazo ya wanaosema tujenge Taasisi siyo watu, maelezo ya Mwenyeketi na Ushawishi wake kuna Wakati unanijaza hofu juu ya Uhuru wa Wanachama dhidi yake.
Vyama vyetu bado vina kazi kubwa kujenga Taasisi kuliko kuhimiza nguvu ya mtu mmoja mmoja ndani ya chama
KATIBA za Vyama vyetu uwenda ndio ziko hivyo mbovu mbovu
Britanicca
Hii inatakiwa kuitafakari bila Muhemko
Wala matusi
Bado najiuliza pia anayetoa offer ya kupatia Watu kazi kutoka kwenye Ubunge, linapofika suala la Wabunge kununuliwa na kuahidiwa vyeo kama ambavyo madai yaliyokuwepo unyoofu wa maelezo hayo unahitaji kutafakari kidogo hasa likija jambo la kuwanyooshea vidole wengine.
Bado mtu bila kuogopa anataja hadharani kwamba nilimuita kumshawishi je kwanini asiseme chama kimewaita Au ninewaita Kwa niaba ya chama
Unasema umemlea mtu tokea chuo ili ashike nafasi ya chama inamaana chama hakina kamati kadhaa za kukaa na kuamua mpaka mtu mmoja?
Kwa kifupi tunasafari ndefu kidogo na Vyama vyetu, ukuaji na ushawishi wake dhidi ya watu waliomo kwenye Vyama hivyo na ukwasi wao.
Labda niazime mawazo ya wanaosema tujenge Taasisi siyo watu, maelezo ya Mwenyeketi na Ushawishi wake kuna Wakati unanijaza hofu juu ya Uhuru wa Wanachama dhidi yake.
Vyama vyetu bado vina kazi kubwa kujenga Taasisi kuliko kuhimiza nguvu ya mtu mmoja mmoja ndani ya chama
KATIBA za Vyama vyetu uwenda ndio ziko hivyo mbovu mbovu
Britanicca