Kenya anapesa ipi wakati yeye masikini wakutupwa๐๐๐Chakula anapewa cha msaada. Ajira Kenya watu hawana๐๐๐ Wanapesa gani yakununua chakula??Wewe unaijua Kenya ipi labda ukiulizwa?
Frustration tunazo maana tunalazimishwa na CCM kuwa Masikini wakati tuna Jirani kama Kenya angenunua mazao yetu
Huyu jamaa kakulupuka. Hawa mimi ndo watu nawataka๐๐๐Niachieni pleaseeeeeMzee Dar-Arusha nI zaidi ya 610km magna Dar-Moshi ni +500km!
Wamenikosa maake najua ukweli hawana nia nzuri na ndio maana sehemu yoyote ambayo ina watu wenye kutamani maendeleo hawaitakiWewe ndo umelogwa.[emoji23][emoji23][emoji23]
Hivi unaweza ludia kusoma ulicho andika??๐๐๐.Binafsi nimependa vile unavyoeleza mambo kinaga ubaga bila kusita jambo ambalo hata maripota wa bongo hawawezi kulifanya kwa sababu hawana Uhuru wowote .Ni dhahiri shairi kwamba nchi yenu inakabiliwana majanga mengi ambayo serikali hujaribu kuyaficha kwa kuhakikisha hayaripotiwi tofauti na Kenya, wanahabari wanaruhusiwa kuanika habari zozote watakavyo na ndio maana wengi humu huikebehi Kenya bila kujikumbusha hali ya nchi yao. Hayo yanayofichwa humo bongo yataendelea kufichuka na dunia itagundua huu unafiki wenu.
Kwanza wewe unamaendeleo gani?? Unategemea serikali ikuletee chakula mezani??๐๐๐ Hii ni serikali ya hapa kazi. Hatutaki kuwa tegemezi wa nchi nyingine. China pia wako na malengo yao pia wana masikini huko.. Kama unategemea serikali hapo sahau. Fanya Kazi. Hacha kuwa mtoto wa mama.๐๐Wamenikosa maake najua ukweli hawana nia nzuri na ndio maana sehemu yoyote ambayo ina watu wenye kutamani maendeleo hawaitaki
Mbona mmewanyima kuwauzia Mahindi wameyatoa Zambia na Brazil na wanakula Ugali bila shida au nyie mlijua watakufaKenya anapesa ipi wakati yeye masikini wakutupwa[emoji23][emoji23][emoji23]Chakula anapewa cha msaada. Ajira Kenya watu hawana[emoji23][emoji23][emoji23] Wanapesa gani yakununua chakula??
Your media is controlled by the government and so many vices are concealed. Yataibuka yote. Nchi ya wanafikiHivi unaweza ludia kusoma ulicho andika??๐๐๐
Hivi anachotakiwa mtu ni kufanya kazi kama kichaa au anatakiwa apate kipato?Kwanza wewe unamaendeleo gani?? Unategemea serikali ikuletee chakula mezani??[emoji23][emoji23][emoji23] Hii ni serikali ya hapa kazi. Hatutaki kuwa tegemezi wa nchi nyingine. China pia wako na malengo yao pia wana masikini huko.. Kama unategemea serikali hapo sahau. Fanya Kazi. Hacha kuwa mtoto wa mama.[emoji23][emoji23]
jiwe kasema pia 36% ya aridhi ya tz ni hifadhi za wanyama na misituAmesahau Kuwa Kenya+Uganda Bado Nafasi ipo kwa Tanzania kiukubwa
Tanzania ni nchi ya mateso kupoteza muda na kuuwa vipaji.
Tuanze kwenye Matatu kila mtu anakaa vizuri na mziki plus tv. Hapa Tanzania kuanzia Dar es Salaam, Arusha, Mwanza usafiri wa Daladala ni kama Jehanam mnashindiliwa kama mnapelekwa kwenye Concentration camp za wakazi wa Nazis.
Njoo kwenye mabasi Kenya mtu anashinda Kisumu usiku anasafiri Asubuhi anafanya biashara Nairobi jioni anaondoka anaokoa gharama za muda na Hoteli. Tanzania itakuchukua siku nzima toka Arushahadi Dar itakubidi ulale na ukimaliza shuhuli huwezi kurudi inabidi ulale tena.
Wewe ni nyumbu, alafu una kichaa.Wamekopa kutengeneza Reli au kununua Train ?Maana sisi tunajenga reli pia ambayo hatujui itapita ipi labda ya makaa ya mawe.
Bora kuwa kichaa unazunguka unaona kuliko mazezeta nyie mnaofungiwa ndani na kudanganywaWewe ni nyumbu, alafu una kichaa.
Asante kwa kusema ukweli ila chunga usivamiwe na wenzako wasiopenda ukweliNadhani kuna vitu vingine inafaa kuona kwa macho pia inasaidia na nitaangalia huko zaidi.Kuliko hizi Propaganda pamoja na majarida ya theory ya kiuchumi ambayo tunamezeshwa Watanzania kuaminishwa kwamba tunasonga.
Kenya wana kila kitu ambacho Tanzania tunajaribu kuwa nacho kwa sasa. Miundo mbinu ya Kenya Kuanzia Nairobi na miji mingine ni ndoto kwetu ya miaka 20. Mambo ya Ndege kwao Bandari na usafiri wa Umma sisi tunafuata.
Viwanda Kenya sio swala jipya wakati sisi tunafikiria Cherehani nne kama kiwanda. Biashara ya Kimataifa kuhusu Export nadhani unajua sisi tunachofanya hapa ni hakuna.
Kilimo Kenya mtu akilima au akifuga anaona kabisa maisha yakibadilika hapa tunaishia bei elekezi na kuzuia yasitoke.
Makaazi ya watu kuanzia Isibania mpaka Lunga Lunga au Namanga mpaka Isiolo ni tofauti na kwetu .
Elimu yetu wakati vitabu vinasema kazi ya kichwa ni kubeba mizigo huwezi kulinganisha ufahamu wa Darasa la nane Kenya na Form six wetu.
Wako Dar es Salaam huko wanasakanya mashoga ndio wanachoweza zaidi badala ya kuwaza uchumiAsante kwa kusema ukweli ila chunga usivamiwe na wenzako wasiopenda ukweli