Uhuru's 5th trip to Beijing

Uhuru's 5th trip to Beijing

Hivi, Geza hawa jamaa mbona huwa hawachangii hizi facts, wanapenda uandike habari za kuwasifia tuu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Bora wao wanakopa hela inaonekana inafanya nini, bora wao wanakopa nchi inasonga sisi madeni tunayoyo tunafanya nini na mikopo yetu zaidi ya kurudia chaguzi ndogo.

Safi sana Uhuru tafutia Kenya soko la Matunda na mboga mboga sisi tutawaletea nyie packing vizuri uzeni ng'ambo.
 
Bora wao wanakopa hela inaonekana inafanya nini, bora wao wanakopa nchi inasonga sisi madeni tunayoyo tunafanya nini na mikopo yetu zaidi ya kurudia chaguzi ndogo.

Safi sana Uhuru tafutia Kenya soko la Matunda na mboga mboga sisi tutawaletea nyie packing vizuri uzeni ng'ambo.
Unaeza ukawa na point mkuu, Madeni tunayoyo! Hapa una maanisha nini?
Unajua procedures zinazofuatwa za serikali kuomba mkopo na monitoring ya matumizi ya hiyo mikopo zilivyo?
Unasema Kenya inasonga, unaeze tupa takwimu tuzilinganishe na Tz. Nitashukuru sana ukinijibu MTO CHORO.
 
Bora wao wanakopa hela inaonekana inafanya nini, bora wao wanakopa nchi inasonga sisi madeni tunayoyo tunafanya nini na mikopo yetu zaidi ya kurudia chaguzi ndogo.

Safi sana Uhuru tafutia Kenya soko la Matunda na mboga mboga sisi tutawaletea nyie packing vizuri uzeni ng'ambo.
Ukweli mtupu.
Halafu msisahau kulima kwa bidii sie tufanye biashara.
Tz agri
Kenya bizna
 
Unaeza ukawa na point mkuu, Madeni tunayoyo! Hapa una maanisha nini?
Unajua procedures zinazofuatwa za serikali kuomba mkopo na monitoring ya matumizi ya hiyo mikopo zilivyo?
Unasema Kenya inasonga, unaeze tupa takwimu tuzilinganishe na Tz. Nitashukuru sana ukinijibu MTO CHORO.
Nadhani kuna vitu vingine inafaa kuona kwa macho pia inasaidia na nitaangalia huko zaidi.Kuliko hizi Propaganda pamoja na majarida ya theory ya kiuchumi ambayo tunamezeshwa Watanzania kuaminishwa kwamba tunasonga.
Kenya wana kila kitu ambacho Tanzania tunajaribu kuwa nacho kwa sasa. Miundo mbinu ya Kenya Kuanzia Nairobi na miji mingine ni ndoto kwetu ya miaka 20. Mambo ya Ndege kwao Bandari na usafiri wa Umma sisi tunafuata.
Viwanda Kenya sio swala jipya wakati sisi tunafikiria Cherehani nne kama kiwanda. Biashara ya Kimataifa kuhusu Export nadhani unajua sisi tunachofanya hapa ni hakuna.
Kilimo Kenya mtu akilima au akifuga anaona kabisa maisha yakibadilika hapa tunaishia bei elekezi na kuzuia yasitoke.
Makaazi ya watu kuanzia Isibania mpaka Lunga Lunga au Namanga mpaka Isiolo ni tofauti na kwetu .
Elimu yetu wakati vitabu vinasema kazi ya kichwa ni kubeba mizigo huwezi kulinganisha ufahamu wa Darasa la nane Kenya na Form six wetu.
 
Unaeza ukawa na point mkuu, Madeni tunayoyo! Hapa una maanisha nini?
Unajua procedures zinazofuatwa za serikali kuomba mkopo na monitoring ya matumizi ya hiyo mikopo zilivyo?
Unasema Kenya inasonga, unaeze tupa takwimu tuzilinganishe na Tz. Nitashukuru sana ukinijibu MTO CHORO.
Tanzania moja the most heavily indebted poor countries zilizo samehewa deni na G8 counties + world bank. Tz ni Mchezo tu! Baada ya Kusahemewa deni ya over $ 5billion dollars, What have you done with all that debt?.
46738E67-3033-481D-AAF8-4DEF940B49CF.jpeg
 
Na bado wamekopa more than $2 billion.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Magu hajawahi kutoa mguu wake kuvuka Africa akiwa Rais.. ila wanaleta wenyewe..

Hatutumii zaidi ya 50% ya makusanyo yetu kulipa mikopo.. nasikia Kenya mmefikia 52%.. nacheka zaidi eti mnakopa ili kulipa madeni..

Halafu viongozi wenu wanajenga Malls [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Tanzania moja the most heavily indebted poor countries zilizo samehewa deni na G8 counties + world bank. Tz ni Mchezo tu! Baada ya Kusahemewa deni ya over $ 5billion dollars, What have you done with all that debt?.
View attachment 917524
HIPC ilikuwa enzi za Mkapa zaidi ya 10 years ago...

Sasa hivi Kenya ni HIPC maana mna madeni mpaka mnatia huruma..
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Magu hajawahi kutoa mguu wake kuvuka Africa akiwa Rais.. ila wanaleta wenyewe..

Hatutumii zaidi ya 50% ya makusanyo yetu kulipa mikopo.. nasikia Kenya mmefikia 52%.. nacheka zaidi eti mnakopa ili kulipa madeni..

Halafu viongozi wenu wanajenga Malls [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
ze ze ze ze zinamzuia kutoka nje inabidi amuombe Zuma pesa.
QUOTE="much know, post: 29010739, member: 460487"]Acha kuropokwa unadhani tz ni uhuruto wa high speed railway[/QUOTE]
Tz niView attachment 917558
 
[
QUOTE="much know, post: 29010739, member: 460487"]Acha kuropokwa unadhani tz ni uhuruto wa high speed railway[/QUOTE]
Tz ni
1541050831290.png
 
Tanzania moja the most heavily indebted poor countries zilizo samehewa deni na G8 counties + world bank. Tz ni Mchezo tu! Baada ya Kusahemewa deni ya over $ 5billion dollars, What have you done with all that debt?.
View attachment 917524

Baada ya kusamehewa, they still lead in extreme poverty.
Hii ndio huitwa gone case.
 
Tanzania moja the most heavily indebted poor countries zilizo samehewa deni na G8 counties + world bank. Tz ni Mchezo tu! Baada ya Kusahemewa deni ya over $ 5billion dollars, What have you done with all that debt?.
View attachment 917524

Umechukia sana kusamehewa deni tz!!!


Nyie lipeni,na mtalipa sana,si ni nchi tajiri[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nadhani kuna vitu vingine inafaa kuona kwa macho pia inasaidia na nitaangalia huko zaidi.Kuliko hizi Propaganda pamoja na majarida ya theory ya kiuchumi ambayo tunamezeshwa Watanzania kuaminishwa kwamba tunasonga.
Kenya wana kila kitu ambacho Tanzania tunajaribu kuwa nacho kwa sasa. Miundo mbinu ya Kenya Kuanzia Nairobi na miji mingine ni ndoto kwetu ya miaka 20. Mambo ya Ndege kwao Bandari na usafiri wa Umma sisi tunafuata.
Viwanda Kenya sio swala jipya wakati sisi tunafikiria Cherehani nne kama kiwanda. Biashara ya Kimataifa kuhusu Export nadhani unajua sisi tunachofanya hapa ni hakuna.
Kilimo Kenya mtu akilima au akifuga anaona kabisa maisha yakibadilika hapa tunaishia bei elekezi na kuzuia yasitoke.
Makaazi ya watu kuanzia Isibania mpaka Lunga Lunga au Namanga mpaka Isiolo ni tofauti na kwetu .
Elimu yetu wakati vitabu vinasema kazi ya kichwa ni kubeba mizigo huwezi kulinganisha ufahamu wa Darasa la nane Kenya na Form six wetu.
Nliskia mnafunzwa kwa kiswahili masomo yote.
 
Nadhani kuna vitu vingine inafaa kuona kwa macho pia inasaidia na nitaangalia huko zaidi.Kuliko hizi Propaganda pamoja na majarida ya theory ya kiuchumi ambayo tunamezeshwa Watanzania kuaminishwa kwamba tunasonga.
Kenya wana kila kitu ambacho Tanzania tunajaribu kuwa nacho kwa sasa. Miundo mbinu ya Kenya Kuanzia Nairobi na miji mingine ni ndoto kwetu ya miaka 20. Mambo ya Ndege kwao Bandari na usafiri wa Umma sisi tunafuata.
Viwanda Kenya sio swala jipya wakati sisi tunafikiria Cherehani nne kama kiwanda. Biashara ya Kimataifa kuhusu Export nadhani unajua sisi tunachofanya hapa ni hakuna.
Kilimo Kenya mtu akilima au akifuga anaona kabisa maisha yakibadilika hapa tunaishia bei elekezi na kuzuia yasitoke.
Makaazi ya watu kuanzia Isibania mpaka Lunga Lunga au Namanga mpaka Isiolo ni tofauti na kwetu .
Elimu yetu wakati vitabu vinasema kazi ya kichwa ni kubeba mizigo huwezi kulinganisha ufahamu wa Darasa la nane Kenya na Form six wetu.
Ulivyo anza kwa kusema Kenya ina kila kitu ambacho Tz haina ukanichosha kuanza kuku jibu! Ila ngoja nijitahidi, Unaposema usafiri wa umma wakenya uko vizuri unathibitisha hujawahi kufika Nairobi, ata huko mashinani hamna utaratibu wa kueleweka. Tz kila mkoa unajengwa stand za bus zenye huduma zote za msingi kwa abiria,
 
Back
Top Bottom