Uhusiano Huu na Huyu Mshikaji Unanipa Mshangao Mkubwa Sana

Uhusiano Huu na Huyu Mshikaji Unanipa Mshangao Mkubwa Sana

Kama mtu hana marafiki wengi, sio mtu wa kutoka sana lakini pia ana moyo mzuri. Siku zote hutengeneza bond kali sana na watu anaowapenda kwa sababu anakuwa real sana

Kipindi cha High school nilimpokea dogo wa form 5 ambaye baadae alikuwa kama mdogo wangu na tulivyofananana kutokana na kuwa na asili moja, watu hawakubisha hata nilipowadanganya kuwa tumeshea damu

Kwa ufupi jamaa ni loyal sana na hata nikiwa na shida hajawahi nitupa. Kwa hiyo hata kama nina marafiki wengine na ninaowachukulia kwa uzito kuliko yeye. Lakini nikihitaji mtu wa kumuamini kwa jambo lolote, yupo katika top 3 yangu daima

Ni sawa kuwa na mashaka lakini kama hajawahi kukuoneshea dalili zote mbaya. Usimshuku kwa sababu niamini, siku akijua na akikubadilikia utaimiss hiyo bond yake kwa sababu dunia ya sasa hakuna urafiki zaidi ya watu kuwa karibu yako kwa manufaa yao wenyewe. Kwa hiyo ukipata mtu anaekujali wewe kama binadamu pasipo kutaraji chochote toka kwako. Mshikilie na usimuumize maana upendo mkubwa siku zote hugeuka kuwa chuki kubwa. All the best
Hana tabia zozote mbaya na mara nyingi Huwa tunaongea kuhusu michongo na kipi tufanye kuanzisha ata biashara nk
 
Habari za saivi wakubwa
Kuna dogo bhana wa kiume alitokea kunikubali Sana Tena sana nimemzidi miaka kama mi 3 ivi alianza kunizoea Mimi nikawa namchukulia kama dogo

Alikuja kuniambia siku moja Kuna dada ake angependa niwe shemeji yake dada ake alikuwa sio haba kweli tukazama mapenzini na dada yake kiasi dogo akawa anachekwa kitaa na nyumbani Wana muattack kuwa anamtafutia dada ake mabwana ikaenda Mimi nikawa nampotezea maana nilikuwa karibu Sana na dada yake one day dogo alinilalamikia Sana kuwa dada yake ni wa kupita tu Mimi na yeye ushikaji sio wa kupita alilalamika mno kuwa kumpotezea sio fair

Ikaenda Mimi na dada yake tukaachana dogo kahangaika mno kutuunganisha ila wapi dogo alikuwa karibu na Mimi Sana Iko kipindi akimlaumu dada yake

Imeenda nae mahusiano yake yakawa Yana haribika namjenga na kumtia moyo Hadi Leo hii dogo Huwa Kila siku lazima anipigie simu akiamka kunijulia Hali mwanzo nilikuwa naona usumbufu now akipiga lazima nipokee

Akija mkoa nilipo lazima alete zawadi kwangu akija lazima anitoe out na atake tukae nae mda wote tunapiga story sasa Huwa najiuliza Mimi Nina kitu Gani special kinachofanya anithamini ivyo?
Mtafutie demu
 
Hana tabia zozote mbaya na mara nyingi Huwa tunaongea kuhusu michongo na kipi tufanye kuanzisha ata biashara nk

Nachokiona kwako sio kwamba unamuhisi vibaya Ila unamtafsiri kupitia references za maisha ya wengine lakini pia insecurities zao.

Mfano Kuhusu lunch or dinner nadhani wengi wameweka kama ni date kichwani na wakati ni watu wengi tu wanaitwa bar kununuliwa bear na nyama choma na rafiki zao na waona ni sawa.

Kwa hiyo nadhani watu wengi especially sisi wanaume hatujazoea kuona ule upendo halisi. Kupendwa bila mtu kuweka maslahi ya kibiashara au hobby ndio maana wengi wanachanganyikiwa pale life linapoenda mrama.maana anakuwa na watu anaofahamiana na si marafiki wa kusimama nae..

Wewe umepata mtu yupo real kwako kwa hiyo ni sawa kuwa na mashaka na hayatakiwi kwisha kama akili yako inafanya kazi. Lakini usimtengenezee mtu ubaya kama hajakuonesha hata dalili moja

Niamini, Leo huyo dogo akajua unavyomuwazia, naamini atasepa na akiondoka ipo saa utakaa na kuanza kumiss usumbufu wake mkuu kwa sababu dunia ya leo. Watu wanakuwa karibu na watu kwa maslahi tu
 
Wewe aidha umetunga story ya ushoga au umekuja kutuchezea tu akili.

Mwanaume kamili asie shoga hawezi kuwa na tabia zenu ww na huyo dogo
 
Nachokiona kwako sio kwamba unamuhisi vibaya Ila unamtafsiri kupitia references za maisha ya wengine lakini pia insecurities zao.

Mfano Kuhusu lunch or dinner nadhani wengi wameweka kama ni date kichwani na wakati ni watu wengi tu wanaitwa bar kununuliwa bear na nyama choma na rafiki zao na waona ni sawa.

Kwa hiyo nadhani watu wengi especially sisi wanaume hatujazoea kuona ule upendo halisi. Kupendwa bila mtu kuweka maslahi ya kibiashara au hobby ndio maana wengi wanachanganyikiwa pale life linapoenda mrama.maana anakuwa na watu anaofahamiana na si marafiki wa kusimama nae..

Wewe umepata mtu yupo real kwako kwa hiyo ni sawa kuwa na mashaka na hayatakiwi kwisha kama akili yako inafanya kazi. Lakini usimtengenezee mtu ubaya kama hajakuonesha hata dalili moja

Niamini, Leo huyo dogo akajua unavyomuwazia, naamini atasepa na akiondoka ipo saa utakaa na kuanza kumiss usumbufu wake mkuu kwa sababu dunia ya leo. Watu wanakuwa karibu na watu kwa maslahi tu
Simu waziii vibaya najua hayupo umu ndiyo maana
 
Wewe aidha umetunga story ya ushoga au umekuja kutuchezea tu akili.

Mwanaume kamili asie shoga hawezi kuwa na tabia zenu ww na huyo dogo
Mtaani kwenu inaonekana Kuna mashoga sana
 
Mtaani kwenu inaonekana Kuna mashoga sana
Wewe ni shoga pumbavu ww.

Unaleta mada humu eti dogo dogo dogo.

Nyie mashoga tu mnataka kuongelewa, kupata attention za kipuuzi, na wanaokushauri hapa ni wajinga tu maana wameingia king kwenye lengo lako la kupata attention choko ww usie na linda hata robo
 
Simu waziii vibaya najua hayupo umu ndiyo maana

Hakuna mtu mwenye mashaka sehemu palipo sawa ama tulivu. Kukosa kwako uelewa wa uhusiano baina yenu ni wazi kuna masaala unayaona sio ya kawaida kwa wanaume.

Hivyo, kama humuwazii mabaya ni sawa pia
 
Habari za saivi wakubwa
Kuna dogo bhana wa kiume alitokea kunikubali Sana Tena sana nimemzidi miaka kama mi 3 ivi alianza kunizoea Mimi nikawa namchukulia kama dogo

Alikuja kuniambia siku moja Kuna dada ake angependa niwe shemeji yake dada ake alikuwa sio haba kweli tukazama mapenzini na dada yake kiasi dogo akawa anachekwa kitaa na nyumbani Wana muattack kuwa anamtafutia dada ake mabwana ikaenda Mimi nikawa nampotezea maana nilikuwa karibu Sana na dada yake one day dogo alinilalamikia Sana kuwa dada yake ni wa kupita tu Mimi na yeye ushikaji sio wa kupita alilalamika mno kuwa kumpotezea sio fair

Ikaenda Mimi na dada yake tukaachana dogo kahangaika mno kutuunganisha ila wapi dogo alikuwa karibu na Mimi Sana Iko kipindi akimlaumu dada yake

Imeenda nae mahusiano yake yakawa Yana haribika namjenga na kumtia moyo Hadi Leo hii dogo Huwa Kila siku lazima anipigie simu akiamka kunijulia Hali mwanzo nilikuwa naona usumbufu now akipiga lazima nipokee

Akija mkoa nilipo lazima alete zawadi kwangu akija lazima anitoe out na atake tukae nae mda wote tunapiga story sasa Huwa najiuliza Mimi Nina kitu Gani special kinachofanya anithamini ivyo?
Kwenye kusoma niliwahi kuwa na rafiki wa dizaini hiyo. Kwanza yeye alikuja na kikaratasi kakiandika kuwa “ naomba niwe rafiki yako”, amechora na vi maua 😆😆aiseee. Nilimchukulia namna gani sana. Sema nini niliyasoma madhaifu yake na tukawa marafiki akanikubali sana na mimi nikichokifanya nikamtafutia demu.
 
Kwenye kusoma niliwahi kuwa na rafiki wa dizaini hiyo. Kwanza yeye alikuja na kikaratasi kakiandika kuwa “ naomba niwe rafiki yako”, amechora na vi maua 😆😆aiseee. Nilimchukulia namna gani sana. Sema nini niliyasoma madhaifu yake na tukawa marafiki akanikubali sana na mimi nikichokifanya nikamtafutia demu.
Uyo alizidi
 
Wewe ni shoga pumbavu ww.

Unaleta mada humu eti dogo dogo dogo.

Nyie mashoga tu mnataka kuongelewa, kupata attention za kipuuzi, na wanaokushauri hapa ni wajinga tu maana wameingia king kwenye lengo lako la kupata attention choko ww usie na linda hata robo
Nyie mnaojifanya kupinga vitu hadharani sirini mnavipenda na kuvifanya
 
Back
Top Bottom