Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabisa Huwa namshauri na kumuonya baadhi ya mambo anapokengeukaNi kawaida kwakweli
Huenda mna bond nzuri sana na yeye ni kawaida yake kuwa mtu wa kujali kuliko wewe
Kuna watu wako hivo wakimuamini mtu hua wanajali sana
Huenda pia kunavitu vidogovidogo Huwa unamshauri kwako vilikuwa vya kawaida ila kwake vikawa na maana sana so anakuona kama mtumuhmu kwake
Hunijui una haki ku comment mkuuMtu hatari unatongozewa demu unaharibu??
Unatolewa out unakubali na unakunywa Kvant mixer kuzima??
Unanunuliwa vizawadi unapokea??
Unapigiwa siku kila asubuhi kijana ajaue mtu hatari kaamkaje??
Stuka, UTASHONWA
huoni dogo mgonjwa anatakiwa tiba....au nawewe kijinga kibovuKwann mkuu
InshaalahSina mengi ya kusema zaidi ya kuwatakia kila la heri katika safari yenu ya urafiki mwema
View attachment 3150250
Men of colors mpo activeHabari za saivi wakubwa
Kuna dogo bhana wa kiume alitokea kunikubali Sana Tena sana nimemzidi miaka kama mi 3 ivi alianza kunizoea Mimi nikawa namchukulia kama dogo
Alikuja kuniambia siku moja Kuna dada ake angependa niwe shemeji yake dada ake alikuwa sio haba kweli tukazama mapenzini na dada yake kiasi dogo akawa anachekwa kitaa na nyumbani Wana muattack kuwa anamtafutia dada ake mabwana ikaenda Mimi nikawa nampotezea maana nilikuwa karibu Sana na dada yake one day dogo alinilalamikia Sana kuwa dada yake ni wa kupita tu Mimi na yeye ushikaji sio wa kupita alilalamika mno kuwa kumpotezea sio fair
Ikaenda Mimi na dada yake tukaachana dogo kahangaika mno kutuunganisha ila wapi dogo alikuwa karibu na Mimi Sana Iko kipindi akimlaumu dada yake
Imeenda nae mahusiano yake yakawa Yana haribika namjenga na kumtia moyo Hadi Leo hii dogo Huwa Kila siku lazima anipigie simu akiamka kunijulia Hali mwanzo nilikuwa naona usumbufu now akipiga lazima nipokee
Akija mkoa nilipo lazima alete zawadi kwangu akija lazima anitoe out na atake tukae nae mda wote tunapiga story sasa Huwa najiuliza Mimi Nina kitu Gani special kinachofanya anithamini ivyo?
Simba Hanyatiwi ila huyu keshanyatiwa na hajastuka.anakaribiwa kufikiwa maana huyo dogo ndio michezo yake.