Uhusiano Huu na Huyu Mshikaji Unanipa Mshangao Mkubwa Sana

Uhusiano Huu na Huyu Mshikaji Unanipa Mshangao Mkubwa Sana

Habari za saivi wakubwa
Kuna dogo bhana wa kiume alitokea kunikubali Sana Tena sana nimemzidi miaka kama mi 3 ivi alianza kunizoea Mimi nikawa namchukulia kama dogo

Alikuja kuniambia siku moja Kuna dada ake angependa niwe shemeji yake dada ake alikuwa sio haba kweli tukazama mapenzini na dada yake kiasi dogo akawa anachekwa kitaa na nyumbani Wana muattack kuwa anamtafutia dada ake mabwana ikaenda Mimi nikawa nampotezea maana nilikuwa karibu Sana na dada yake one day dogo alinilalamikia Sana kuwa dada yake ni wa kupita tu Mimi na yeye ushikaji sio wa kupita alilalamika mno kuwa kumpotezea sio fair

Ikaenda Mimi na dada yake tukaachana dogo kahangaika mno kutuunganisha ila wapi dogo alikuwa karibu na Mimi Sana Iko kipindi akimlaumu dada yake

Imeenda nae mahusiano yake yakawa Yana haribika namjenga na kumtia moyo Hadi Leo hii dogo Huwa Kila siku lazima anipigie simu akiamka kunijulia Hali mwanzo nilikuwa naona usumbufu now akipiga lazima nipokee

Akija mkoa nilipo lazima alete zawadi kwangu akija lazima anitoe out na atake tukae nae mda wote tunapiga story sasa Huwa najiuliza Mimi Nina kitu Gani special kinachofanya anithamini ivyo?
Aah anakutoa out na unakubali?? "aaah sawa
 
Long time ago kuna mwamba mmoja alikuwa jirani yangu halafu mwana,unashangaa mmetoka kupiga stori home hlf baada ya mda anakuja tena,nikawa sielewi inakuwaje,lkn siku moja mtoto wa mama mdogo kabinti hivi,kakaniambia unajua kwanini mwenzio kila mara huja hapa? Ujue ananifukuzia mimi,dah ndio nikaelewa

Kwahiyo huyo mwamba sijui ana ajenda gani?
Saa nyingine ni kua jamaa anakukubali tu, anatamani kua kama wewe, wenye ajenda zao huchelewi kuwajua.

Ila jamaa kama wa huyu mleta uzi inachukua muda kumuelewa na unaweza usimuelewe kabisa, ukamuwazia vibaya nk jinsi anakuheshimu na kukujibu kinyeyekevu ukahisi ni shoga kumbe hamna ni vile anakuelewa, anatamani awe na kaka kama wewe.
 
Habari za saivi wakubwa
Kuna dogo bhana wa kiume alitokea kunikubali Sana Tena sana nimemzidi miaka kama mi 3 ivi alianza kunizoea Mimi nikawa namchukulia kama dogo

Alikuja kuniambia siku moja Kuna dada ake angependa niwe shemeji yake dada ake alikuwa sio haba kweli tukazama mapenzini na dada yake kiasi dogo akawa anachekwa kitaa na nyumbani Wana muattack kuwa anamtafutia dada ake mabwana ikaenda Mimi nikawa nampotezea maana nilikuwa karibu Sana na dada yake one day dogo alinilalamikia Sana kuwa dada yake ni wa kupita tu Mimi na yeye ushikaji sio wa kupita alilalamika mno kuwa kumpotezea sio fair

Ikaenda Mimi na dada yake tukaachana dogo kahangaika mno kutuunganisha ila wapi dogo alikuwa karibu na Mimi Sana Iko kipindi akimlaumu dada yake

Imeenda nae mahusiano yake yakawa Yana haribika namjenga na kumtia moyo Hadi Leo hii dogo Huwa Kila siku lazima anipigie simu akiamka kunijulia Hali mwanzo nilikuwa naona usumbufu now akipiga lazima nipokee

Akija mkoa nilipo lazima alete zawadi kwangu akija lazima anitoe out na atake tukae nae mda wote tunapiga story sasa Huwa najiuliza Mimi Nina kitu Gani special kinachofanya anithamini ivyo?
hapo kuna shetani. mwanaume mwenzangu akionyesha kunijali huwa namkwepa, akionyesha ukaribu kama huo wako na huyo dogo ningeshamblock na kumfukuza na kumpa makavu. urafiki wa wanaume huwa ni urafiki wa interest tu, aidha biashara, kazi basi, ila sio urafiki wa kutembeleana as if ni soulmates? mwanaume kama haji kwangu kwa ajili ya biashara au mambo ya kazi kutafuta pesa ndio kituunganishe, kwangu mimi anatafuta nini? hata wale niliozaliwa nao tumbo moja huwa tunaishi kama wanajeshi, sembuse wa kuja? piga vibao huyo dogo, mwambie awe mwanaume aache mambo ya kike.
 
Huwa ananisema kabisa na Mimi atleast per week mara mbili humjulia Hali ili ni balance mzani Kila kitu au Kila hatua anayopiga kwenye maisha must aniambie
Yaah wapo mkuu, kuna rafiki yangu alikua na mchizi kama huyo ila walipotezana kwa chuki kubwa maana rafiki yangu hakumuelewa huyo rafiki yake.
 
Just a matter of time
20241112_103937.jpg
 
Ulitakiwa umuoe Dada yake muunge familia…, sidhani Kama Ana Nia mbaya
 
Siamini kama Kuna mcheza Mpira beki katili alafu shoga na mvuta Bangi alafu shoga

Sjui tu Huwa ananichukuliaje alafu kwao wote tu Huwa Wananipenda ila yeye amezidi
Sol Campbel, Michael Essien + Puyol wote mangapu na list kubwa inakuja soon.

Endelea na ukatiri kataa kupendwa bwana Njemba.
 
Habari za saivi wakubwa
Kuna dogo bhana wa kiume alitokea kunikubali Sana Tena sana nimemzidi miaka kama mi 3 ivi alianza kunizoea Mimi nikawa namchukulia kama dogo

Alikuja kuniambia siku moja Kuna dada ake angependa niwe shemeji yake dada ake alikuwa sio haba kweli tukazama mapenzini na dada yake kiasi dogo akawa anachekwa kitaa na nyumbani Wana muattack kuwa anamtafutia dada ake mabwana ikaenda Mimi nikawa nampotezea maana nilikuwa karibu Sana na dada yake one day dogo alinilalamikia Sana kuwa dada yake ni wa kupita tu Mimi na yeye ushikaji sio wa kupita alilalamika mno kuwa kumpotezea sio fair

Ikaenda Mimi na dada yake tukaachana dogo kahangaika mno kutuunganisha ila wapi dogo alikuwa karibu na Mimi Sana Iko kipindi akimlaumu dada yake

Imeenda nae mahusiano yake yakawa Yana haribika namjenga na kumtia moyo Hadi Leo hii dogo Huwa Kila siku lazima anipigie simu akiamka kunijulia Hali mwanzo nilikuwa naona usumbufu now akipiga lazima nipokee

Akija mkoa nilipo lazima alete zawadi kwangu akija lazima anitoe out na atake tukae nae mda wote tunapiga story sasa Huwa najiuliza Mimi Nina kitu Gani special kinachofanya anithamini ivyo?
Mimi nadhani anakuchukulia kama kaka yake pengine kutokana na jinsi ulivyo.

Ila mambo ya Ushoga yanasababisha watu wasipendane.
 
Ni kawaida kwakweli
Huenda mna bond nzuri sana na yeye ni kawaida yake kuwa mtu wa kujali kuliko wewe

Kuna watu wako hivo wakimuamini mtu hua wanajali sana
Huenda pia kunavitu vidogovidogo Huwa unamshauri kwako vilikuwa vya kawaida ila kwake vikawa na maana sana so anakuona kama mtumuhmu kwake
 
Hakuna baya,je wewe unawaza nini juu ya hilo suala?
 
Back
Top Bottom