CHANANJA DYNASTY
JF-Expert Member
- Sep 14, 2024
- 772
- 1,121
huenda huyo dogo ni versalite, ni swala la muda tu utaleta mrejesho.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aah anakutoa out na unakubali?? "aaah sawaHabari za saivi wakubwa
Kuna dogo bhana wa kiume alitokea kunikubali Sana Tena sana nimemzidi miaka kama mi 3 ivi alianza kunizoea Mimi nikawa namchukulia kama dogo
Alikuja kuniambia siku moja Kuna dada ake angependa niwe shemeji yake dada ake alikuwa sio haba kweli tukazama mapenzini na dada yake kiasi dogo akawa anachekwa kitaa na nyumbani Wana muattack kuwa anamtafutia dada ake mabwana ikaenda Mimi nikawa nampotezea maana nilikuwa karibu Sana na dada yake one day dogo alinilalamikia Sana kuwa dada yake ni wa kupita tu Mimi na yeye ushikaji sio wa kupita alilalamika mno kuwa kumpotezea sio fair
Ikaenda Mimi na dada yake tukaachana dogo kahangaika mno kutuunganisha ila wapi dogo alikuwa karibu na Mimi Sana Iko kipindi akimlaumu dada yake
Imeenda nae mahusiano yake yakawa Yana haribika namjenga na kumtia moyo Hadi Leo hii dogo Huwa Kila siku lazima anipigie simu akiamka kunijulia Hali mwanzo nilikuwa naona usumbufu now akipiga lazima nipokee
Akija mkoa nilipo lazima alete zawadi kwangu akija lazima anitoe out na atake tukae nae mda wote tunapiga story sasa Huwa najiuliza Mimi Nina kitu Gani special kinachofanya anithamini ivyo?
Saa nyingine ni kua jamaa anakukubali tu, anatamani kua kama wewe, wenye ajenda zao huchelewi kuwajua.Long time ago kuna mwamba mmoja alikuwa jirani yangu halafu mwana,unashangaa mmetoka kupiga stori home hlf baada ya mda anakuja tena,nikawa sielewi inakuwaje,lkn siku moja mtoto wa mama mdogo kabinti hivi,kakaniambia unajua kwanini mwenzio kila mara huja hapa? Ujue ananifukuzia mimi,dah ndio nikaelewa
Kwahiyo huyo mwamba sijui ana ajenda gani?
Sio vizuri kuwazia mtu mabayahuenda huyo dogo ni versalite, ni swala la muda tu utaleta mrejesho.
hapo kuna shetani. mwanaume mwenzangu akionyesha kunijali huwa namkwepa, akionyesha ukaribu kama huo wako na huyo dogo ningeshamblock na kumfukuza na kumpa makavu. urafiki wa wanaume huwa ni urafiki wa interest tu, aidha biashara, kazi basi, ila sio urafiki wa kutembeleana as if ni soulmates? mwanaume kama haji kwangu kwa ajili ya biashara au mambo ya kazi kutafuta pesa ndio kituunganishe, kwangu mimi anatafuta nini? hata wale niliozaliwa nao tumbo moja huwa tunaishi kama wanajeshi, sembuse wa kuja? piga vibao huyo dogo, mwambie awe mwanaume aache mambo ya kike.Habari za saivi wakubwa
Kuna dogo bhana wa kiume alitokea kunikubali Sana Tena sana nimemzidi miaka kama mi 3 ivi alianza kunizoea Mimi nikawa namchukulia kama dogo
Alikuja kuniambia siku moja Kuna dada ake angependa niwe shemeji yake dada ake alikuwa sio haba kweli tukazama mapenzini na dada yake kiasi dogo akawa anachekwa kitaa na nyumbani Wana muattack kuwa anamtafutia dada ake mabwana ikaenda Mimi nikawa nampotezea maana nilikuwa karibu Sana na dada yake one day dogo alinilalamikia Sana kuwa dada yake ni wa kupita tu Mimi na yeye ushikaji sio wa kupita alilalamika mno kuwa kumpotezea sio fair
Ikaenda Mimi na dada yake tukaachana dogo kahangaika mno kutuunganisha ila wapi dogo alikuwa karibu na Mimi Sana Iko kipindi akimlaumu dada yake
Imeenda nae mahusiano yake yakawa Yana haribika namjenga na kumtia moyo Hadi Leo hii dogo Huwa Kila siku lazima anipigie simu akiamka kunijulia Hali mwanzo nilikuwa naona usumbufu now akipiga lazima nipokee
Akija mkoa nilipo lazima alete zawadi kwangu akija lazima anitoe out na atake tukae nae mda wote tunapiga story sasa Huwa najiuliza Mimi Nina kitu Gani special kinachofanya anithamini ivyo?
Yaah wapo mkuu, kuna rafiki yangu alikua na mchizi kama huyo ila walipotezana kwa chuki kubwa maana rafiki yangu hakumuelewa huyo rafiki yake.Huwa ananisema kabisa na Mimi atleast per week mara mbili humjulia Hali ili ni balance mzani Kila kitu au Kila hatua anayopiga kwenye maisha must aniambie
Godammit son 😂😂😂
Soulmate wa jinsia moja, hii ipo mkuu?Huyo ndo soul mate wako kama hana elements za kishoga lakini,Kama ni soul mate wako huyo ameletwa ili akusadie
Sol Campbel, Michael Essien + Puyol wote mangapu na list kubwa inakuja soon.Siamini kama Kuna mcheza Mpira beki katili alafu shoga na mvuta Bangi alafu shoga
Sjui tu Huwa ananichukuliaje alafu kwao wote tu Huwa Wananipenda ila yeye amezidi
Dogo upinde huyo
Muda sio mrefu wataanza kung'oana bikoni.Dogo upinde huyo
anakaribiwa kufikiwa maana huyo dogo ndio michezo yake.Muda sio mrefu wataanza kung'oana bikoni.
Mimi nadhani anakuchukulia kama kaka yake pengine kutokana na jinsi ulivyo.Habari za saivi wakubwa
Kuna dogo bhana wa kiume alitokea kunikubali Sana Tena sana nimemzidi miaka kama mi 3 ivi alianza kunizoea Mimi nikawa namchukulia kama dogo
Alikuja kuniambia siku moja Kuna dada ake angependa niwe shemeji yake dada ake alikuwa sio haba kweli tukazama mapenzini na dada yake kiasi dogo akawa anachekwa kitaa na nyumbani Wana muattack kuwa anamtafutia dada ake mabwana ikaenda Mimi nikawa nampotezea maana nilikuwa karibu Sana na dada yake one day dogo alinilalamikia Sana kuwa dada yake ni wa kupita tu Mimi na yeye ushikaji sio wa kupita alilalamika mno kuwa kumpotezea sio fair
Ikaenda Mimi na dada yake tukaachana dogo kahangaika mno kutuunganisha ila wapi dogo alikuwa karibu na Mimi Sana Iko kipindi akimlaumu dada yake
Imeenda nae mahusiano yake yakawa Yana haribika namjenga na kumtia moyo Hadi Leo hii dogo Huwa Kila siku lazima anipigie simu akiamka kunijulia Hali mwanzo nilikuwa naona usumbufu now akipiga lazima nipokee
Akija mkoa nilipo lazima alete zawadi kwangu akija lazima anitoe out na atake tukae nae mda wote tunapiga story sasa Huwa najiuliza Mimi Nina kitu Gani special kinachofanya anithamini ivyo?