Kiraka
JF-Expert Member
- Feb 1, 2010
- 4,285
- 4,074
Kwanini mama yao hakupendi?Yaani kwao ambae hanipendi ni mama Yao tu na Huwa wananiambia kabisa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanini mama yao hakupendi?Yaani kwao ambae hanipendi ni mama Yao tu na Huwa wananiambia kabisa
Basi usimchunguze vibaya amekuchukulia km brother tu ila ukileta habari za kumuona yeye km namna gani hapo utazingua wewe nenda nae hivyo hivyo km mdogo wa tumbo moja tuHuwa ananipa kuongea nao adi number alinipa wawili haikuchukua round mmoja akaanza kulalamika dogo ana mcheat na videmu vingine 🙌
Ulitaka kujua kwanini hakupendi? Huenda kuna source nzuri sana hapoYaani kwao ambae hanipendi ni mama Yao tu na Huwa wananiambia kabisa
Long time ago kuna mwamba mmoja alikuwa jirani yangu halafu mwana,unashangaa mmetoka kupiga stori home hlf baada ya mda anakuja tena,nikawa sielewi inakuwaje,lkn siku moja mtoto wa mama mdogo kabinti hivi,kakaniambia unajua kwanini mwenzio kila mara huja hapa? Ujue ananifukuzia mimi,dah ndio nikaelewa
Kwahiyo huyo mwamba sijui ana ajenda gani?s
Ni ngumu kujua ila sinaga ndugu wa kike karibu yanguLong time ago kuna mwamba mmoja alikuwa jirani yangu halafu mwana,unashangaa mmetoka kupiga stori home hlf baada ya mda anakuja tena,nikawa sielewi inakuwaje,lkn siku moja mtoto wa mama mdogo kabinti hivi,kakaniambia unajua kwanini mwenzio kila mara huja hapa? Ujue ananifukuzia mimi,dah ndio nikaelewa
Kwahiyo huyo mwamba sijui ana ajenda gani?
Hii kitu imeshawahi kunitokea na mara nyingi madogo kama hawa huwaga wa kishua na wala hakuwa shoga na alikuwa anapenda mademu balaa.Story iko hivi ,nilivyomaliza form six nilipata kibarua cha kufundisha QT.Sasa hapo nilipokuwa nafundisha wakaja wanafunzi wawili mtu na dada ake (Ndio hao ninao wazungumzia).Kwa sababu nilikuwa bado nipo Yank na yule dogo nae alikuwa Yank tulitokea kuelewana ,alikuwa anapenda sana kuniita Teacher.Sasa siku moja tumemaliza vipindi dogo akanifuata ,akasema teacher leo nataka nikutoe lunch.Nikasema poa tukaenda kula ,sasa wakati tunaendelea kula dogo akaanza story ,ujue teacher mi nakuelewa sana ,natamani uwe shemeji yangu kwa sister..na sister ake alikuwa kisu sio poa ,nikasema hii bahati gani hii lakini nikawa nina wasi wasi je sister wake atanikubali kweli mbona kisu sana.Nikamwambia dogo uko serious,akasema kweli teacher sikutanii,nikamuuliza je yeye mwenyewe atakubali ..akasema hilo niachie mimi.Kweli bwana dogo akafanya mambo tukawa wapenzi,na dogo alikuwa anafurahia sana uhusiano wetu.Bahati mbaya nilikuja kupotezana nao baada kama ya miaka miwili hivi maana baba yao aliwapeleka Nairobi kusoma. Toka siku hiyo nikaamini kumbe duniani kuna watu wana mioyo ya ajabu kama hii sikuwahi kuona.Kwa hiyo kisa cha jamaa inawezekana ni kweli kabisa.Hamna kabisa ana mademu kibao Huwa ananitambulisha
Kwakweli naenda nae ivyo ivyo nazani Huwa free kuongea maswala yake kwanguBasi usimchunguze vibaya amekuchukulia km brother tu ila ukileta habari za kumuona yeye km namna gani hapo utazingua wewe nenda nae hivyo hivyo km mdogo wa tumbo moja tu
Mtu wa kashikashi ndo yupoje?Hana elements za kisoga kabisa ukimuona tu unajua mtu wa kashikashi
Kuna watu Wana roho ya kipekee juzi kaja kanipigia simu niende tumepoa nae yaani watu wanatushangaa kula monde tuHii kitu imeshawahi kunitokea na mara nyingi madogo kama hawa huwaga wa kishua na wala hakuwa shoga na alikuwa anapenda mademu balaa.Story iko hivi ,nilivyomaliza form six nilipata kibarua cha kufundisha QT.Sasa hapo nilipokuwa nafundisha wakaja wanafunzi wawili mtu na dada ake (Ndio hao ninao wazungumzia).Kwa sababu nilikuwa bado nipo Yank na yule dogo nae alikuwa Yank tulitokea kuelewana ,alikuwa anapenda sana kuniita Teacher.Sasa siku moja tumemaliza vipindi dogo akanifuata ,akasema teacher leo nataka nikutoe lunch.Nikasema poa tukaenda kula ,sasa wakati tunaendelea kula dogo akaanza story ,ujue teacher mi nakuelewa sana ,natamani uwe shemeji yangu kwa sister..na sister ake alikuwa kisu sio poa ,nikasema hii bahati gani hii lakini nikawa nina wasi wasi je sister wake atanikubali kweli mbona kisu sana.Nikamwambia dogo uko serious,akasema kweli teacher sikutanii,nikamuuliza je yeye mwenyewe atakubali ..akasema hilo niachie mimi.Kweli bwana dogo akafanya mambo tukawa wapenzi,na dogo alikuwa anafurahia sana uhusiano wetu.Bahati mbaya nilikuja kupotezana nao baada kama ya miaka miwili hivi maana baba yao aliwapeleka Nairobi kusoma. Toka siku hiyo nikaamini kumbe duniani kuna watu wana mioyo ya ajabu kama hii sikuwahi kuona.Kwa hiyo kisa cha jamaa inawezekana ni kweli kabisa.
Aisee tunazidi kupata chimbuko zaidi hapaNi ngumu kujua ila sinaga ndugu wa kike karibu yangu
Ila dogo hujaribu kuunganisha familia yangu na yake Sana
Nyuma Uko dada angu now marehemu dogo alianza mshawishi bro wake amueoe nilibaki nashangaa tu
Ndio hivyo wewe ni mtu ambae amekuamini kwamba anaweza kuzungumza na wewe bila kumletea masuala negative in short ni km upande wake wa pili wa betri nna hakika km kuna changamoto anapitia hua anakushirikisha ili kuona una mawazo gani jichukulie km mentor wake tu unaempa mwelekeo hapa fanya hivi pale fanya vile nothing more wala usianze kumuwazia tofautiKwakweli naenda nae ivyo ivyo nazani Huwa free kuongea maswala yake kwangu
Unatolewa out na unatokaHabari za saivi wakubwa
Kuna dogo bhana wa kiume alitokea kunikubali Sana Tena sana nimemzidi miaka kama mi 3 ivi alianza kunizoea Mimi nikawa namchukulia kama dogo
Alikuja kuniambia siku moja Kuna dada ake angependa niwe shemeji yake dada ake alikuwa sio haba kweli tukazama mapenzini na dada yake kiasi dogo akawa anachekwa kitaa na nyumbani Wana muattack kuwa anamtafutia dada ake mabwana ikaenda Mimi nikawa nampotezea maana nilikuwa karibu Sana na dada yake one day dogo alinilalamikia Sana kuwa dada yake ni wa kupita tu Mimi na yeye ushikaji sio wa kupita alilalamika mno kuwa kumpotezea sio fair
Ikaenda Mimi na dada yake tukaachana dogo kahangaika mno kutuunganisha ila wapi dogo alikuwa karibu na Mimi Sana Iko kipindi akimlaumu dada yake
Imeenda nae mahusiano yake yakawa Yana haribika namjenga na kumtia moyo Hadi Leo hii dogo Huwa Kila siku lazima anipigie simu akiamka kunijulia Hali mwanzo nilikuwa naona usumbufu now akipiga lazima nipokee
Akija mkoa nilipo lazima alete zawadi kwangu akija lazima anitoe out na atake tukae nae mda wote tunapiga story sasa Huwa najiuliza Mimi Nina kitu Gani special kinachofanya anithamini ivyo?
Basi wewe utakua shoga afu hujujui. Chief Godlove anaita jicho la 3Siamini kama Kuna mcheza Mpira beki katili alafu shoga na mvuta Bangi alafu shoga
Sjui tu Huwa ananichukuliaje alafu kwao wote tu Huwa Wananipenda ila yeye amezidi
Sana yani..au wakati mwingine damu tu zinakuwa zinaendanaKuna watu Wana roho ya kipekee juzi kaja kanipigia simu niende tumepoa nae yaani watu wanatushangaa kula monde tu