Uhusiano kati ya mwaka 7000BC na wewe unae soma Uzi huu

Uhusiano kati ya mwaka 7000BC na wewe unae soma Uzi huu

LIKUD

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2012
Posts
18,037
Reaction score
33,681
Miaka elfu 7 iliyopita wewe hukuwepo lakini alikuwepo mtu mmoja ambae alikuwa anaishi juu ya ardhi ya uso wa dunia precisely Africa..

Mtu huyo si mwingine ila ni ancestor wako.

Wewe ni mifupa katika mifupa yake. Wewe ni nyama katika nyama zake.

Wewe ni damu yake. Taarifa za mtu huyo zinaishi ndani yako kupitia D.N.A yako. This is to say yeye anaishi ndani yako na wewe unaishi ndani yake.

Mtu huyo ( mwanaume) alimzaa mwanaume ambae nae alimzaa mwanaume ambae nae pia alimzaa mwanaume mwingine ikaendelea hivyo hivyo mpaka akaja kuzaliwa babu yako kizaa baba ako ambae nae akamzaa baba ako kisha baba ako akakuzaa wewe na wewe umemzaa kijana wako wa kiume......to infinity.

Kutoka mwaka 7000 BC mpaka sasa hivi ni miaka elfu 9 imepita.

Kwenye bloodline yenu kuanzia kwa huyo ancestor wako aliekuwa anaishi huo mwaka 7000 mpaka wewe kama kila ancestor angekuwa anampata ancestor wa chini yake akiwa na wastani wa umri wa miaka 25 basi maana yake ni kwamba kutoka kwa ancestor wako alie ishi mwaka 7000 bc mpaka kwako kuna mababu 360.

what about miaka elfu 90 iliyo pita ? How many ancestors? 👉 3600 ancestors.


What about miaka laki 9 iliyopita? How many ancestors? 👉 36,000 ancestors.


But sayansi imethibitisha kwamba binadamu wa kwanza walianza kuishi duniani miaka milioni 6 iliyopita.

So kwa hesabu ya milioni 6 tukienda kwa ratio ya miaka 25 then kuanzia miaka milioni 6 iliyopita mpaka sasa hivi utakuwa na ancestors Laki 2 na elfu 40.( Hawa ni kwa upande mmoja tu wa baba peke yake yani kuanzia ancestor wako kwanza 👉mtoto wake wa kiume 👉 mjukuu wake wa kiume mpaka akazaliwa babu yako, baba ako mpaka wewe mwenyewe. Ukijumlisha na wake zao kwa pande zote mbili wanaweza kufika milioni)

This is to say that miaka milioni 6 iliyo pita kulikuwa na mtu hapa duniani ambae ni ancestor wako. Ambae kupitia viuno vyake walizaliwa ancestors wako wengine mpaka ukaja kuzaliwa wewe.

Ancestors wetu kama wasingekuwa smart kama tunavyo aminishwa na wazungu basi huenda hata leo hii wewe usinge kuwepo. Kwa sababu kwa mfano kama wangekuwa wanazaliana ndugu kwa ndugu basi vizazi vingeisha na kuteketea tangu enzi za Pontyo wa Pilato..

Itoshe kusema kwamba ancestors wetu walikuwa watu wazuri na wema sana.

Just like my ancestors, your ancestors were the good men and women.

Haya sasa tumia jukwaa hili kusema neno moja zuri au mawili kwa ancestors wako waliowahi kuishi hapa duniani kuanzia wale walio ishi katika kipindi ambacho na wewe unaishi mpaka wale walio ishi kuanzia miaka mia, elfu hadi milioni Sita iliyo pita.


Mimi ninasema ancestors wangu wote wa pande zote mbili ninawapenda sana na Mwenyezi Mungu awabariki huko mlipo.

# I am not teaching you ancestral veneration ila Nina kukumbusha tu umuhimu wa kuwa honour ancestors wako kama unavyo waheshimu biblical ancestors like Moses and Abraham.


I love you my ancestors.

God bless you my ancestors.

I bless you my ancestors

For any mistake that you did while on earth, May the Lord God forgive you and may all the information about any kind of a mistake that you did while on earth be deleted from both the universe and divine memory.

Thank you my ancestors.


Haya twende kazi 👇

Say something good to your ancestors
 
Miaka elfu 7 iliyopita wewe hukuwepo lakini alikuwepo mtu mmoja ambae alikuwa anaishi juu ya ardhi ya uso wa dunia precisely Africa..

Mtu huyo si mwingine ila ni ancestor wako.

Wewe ni mifupa katika mifupa yake. Wewe ni nyama katika nyama zake.

Wewe ni damu yake. Taarifa za mtu huyo zinaishi ndani yako kupitia D.N.A yako. This is to say yeye anaishi ndani yako na wewe unaishi ndani yake.

Mtu huyo ( mwanaume) alimzaa mwanaume ambae nae alimzaa mwanaume ambae nae pia alimzaa mwanaume mwingine ikaendelea hivyo hivyo mpaka akaja kuzaliwa babu yako kizaa baba ako ambae nae akamzaa baba ako kisha baba ako akakuzaa wewe na wewe umemzaa kijana wako wa kiume......to infinity.

Kutoka mwaka 7000 BC mpaka sasa hivi ni miaka elfu 9 imepita.

Kwenye bloodline yenu kuanzia kwa huyo ancestor wako aliekuwa anaishi huo mwaka 7000 mpaka wewe kama kila ancestor angekuwa anampata ancestor wa chini yake akiwa na wastani wa umri wa miaka 25 basi maana yake ni kwamba kutoka kwa ancestor wako alie ishi mwaka 7000 bc mpaka kwako kuna mababu 360.

what about miaka elfu 90 iliyo pita ? How many ancestors? 👉 3600 ancestors.


What about miaka laki 9 iliyopita? How many ancestors? 👉 36,000 ancestors.


But sayansi imethibitisha kwamba binadamu wa kwanza walianza kuishi duniani miaka milioni 6 iliyopita.

So kwa hesabu ya milioni 6 tukienda kwa ratio ya miaka 25 then kuanzia miaka milioni 6 iliyopita mpaka sasa hivi utakuwa na ancestors Laki 2 na elfu 40.( Hawa ni kwa upande mmoja tu wa baba peke yake yani kuanzia ancestor wako kwanza 👉mtoto wake wa kiume 👉 mjukuu wake wa kiume mpaka akazaliwa babu yako, baba ako mpaka wewe mwenyewe. Ukijumlisha na wake zao kwa pande zote mbili wanaweza kufika milioni)

This is to say that miaka milioni 6 iliyo pita kulikuwa na mtu hapa duniani ambae ni ancestor wako. Ambae kupitia viuno vyake walizaliwa ancestors wako wengine mpaka ukaja kuzaliwa wewe.

Ancestors wetu kama wasingekuwa smart kama tunavyo aminishwa na wazungu basi huenda hata leo hii wewe usinge kuwepo. Kwa sababu kwa mfano kama wangekuwa wanazaliana ndugu kwa ndugu basi vizazi vingeisha na kuteketea tangu enzi za Pontyo wa Pilato..

Itoshe kusema kwamba ancestors wetu walikuwa watu wazuri na wema sana.

Just like my ancestors, your ancestors were the good men and women.

Haya sasa tumia jukwaa hili kusema neno moja zuri au mawili kwa ancestors wako waliowahi kuishi hapa duniani kuanzia wale walio ishi katika kipindi ambacho na wewe unaishi mpaka wale walio ishi kuanzia miaka mia, elfu hadi milioni Sita iliyo pita.


Mimi ninasema ancestors wangu wote wa pande zote mbili ninawapenda sana na Mwenyezi Mungu awabariki huko mlipo.

# I am not teaching you ancestral veneration ila Nina kukumbusha tu umuhimu wa kuwa honour ancestors wako kama unavyo waheshimu biblical ancestors like Moses and Abraham.


I love you my ancestors.

God bless you my ancestors.

I bless you my ancestors

For any mistake that you did while on earth, May the Lord God forgive you and may all the information about any kind of a mistake that you did while on earth be deleted from both the universe and divine memory.

Thank you my ancestors.


Haya twende kazi 👇

Say something good to your ancestors
Kuna wengine walizaa na miaka 90. Wengineo miaka 300
 
Kuna wengine walizaa na miaka 90. Wengineo miaka 300

1. Ndio maana nimetumia neno wastani.

2. Kuzaa ukiwa na miaka 90 haimaanishi kwamba hakuzaa akiwa na miaka 20. Mfano Mimi mtoto wangu wa kwanza amezaliwa nikiwa na miaka 16 na ambae wa mwisho lakini sio mwisho kabisa amezaliwa nikiwa na miaka 32.

3. Mkuu usichanganye our ancestors na biblical ancestors . Hao unao wazungumzia wewe ni biblical ancestors kama Mzee Ibrahim ambae alipata mtoto akiwa na umri mkubwa kwa sababu kwao kulikuwa na tatizo la uzazi ambalo walirithi kwa baba yao mzazi mzee Terah wote yeye na mkewe Sarah baba yao alikuwa mmoja katoro mama ndo walikuwa tofauti.

But all in all you have to honour your ancestors
 
Miaka elfu 7 iliyopita wewe hukuwepo lakini alikuwepo mtu mmoja ambae alikuwa anaishi juu ya ardhi ya uso wa dunia precisely Africa..

Mtu huyo si mwingine ila ni ancestor wako.

Wewe ni mifupa katika mifupa yake. Wewe ni nyama katika nyama zake.

Wewe ni damu yake. Taarifa za mtu huyo zinaishi ndani yako kupitia D.N.A yako. This is to say yeye anaishi ndani yako na wewe unaishi ndani yake.

Mtu huyo ( mwanaume) alimzaa mwanaume ambae nae alimzaa mwanaume ambae nae pia alimzaa mwanaume mwingine ikaendelea hivyo hivyo mpaka akaja kuzaliwa babu yako kizaa baba ako ambae nae akamzaa baba ako kisha baba ako akakuzaa wewe na wewe umemzaa kijana wako wa kiume......to infinity.

Kutoka mwaka 7000 BC mpaka sasa hivi ni miaka elfu 9 imepita.

Kwenye bloodline yenu kuanzia kwa huyo ancestor wako aliekuwa anaishi huo mwaka 7000 mpaka wewe kama kila ancestor angekuwa anampata ancestor wa chini yake akiwa na wastani wa umri wa miaka 25 basi maana yake ni kwamba kutoka kwa ancestor wako alie ishi mwaka 7000 bc mpaka kwako kuna mababu 360.

what about miaka elfu 90 iliyo pita ? How many ancestors? 👉 3600 ancestors.


What about miaka laki 9 iliyopita? How many ancestors? 👉 36,000 ancestors.


But sayansi imethibitisha kwamba binadamu wa kwanza walianza kuishi duniani miaka milioni 6 iliyopita.

So kwa hesabu ya milioni 6 tukienda kwa ratio ya miaka 25 then kuanzia miaka milioni 6 iliyopita mpaka sasa hivi utakuwa na ancestors Laki 2 na elfu 40.( Hawa ni kwa upande mmoja tu wa baba peke yake yani kuanzia ancestor wako kwanza 👉mtoto wake wa kiume 👉 mjukuu wake wa kiume mpaka akazaliwa babu yako, baba ako mpaka wewe mwenyewe. Ukijumlisha na wake zao kwa pande zote mbili wanaweza kufika milioni)

This is to say that miaka milioni 6 iliyo pita kulikuwa na mtu hapa duniani ambae ni ancestor wako. Ambae kupitia viuno vyake walizaliwa ancestors wako wengine mpaka ukaja kuzaliwa wewe.

Ancestors wetu kama wasingekuwa smart kama tunavyo aminishwa na wazungu basi huenda hata leo hii wewe usinge kuwepo. Kwa sababu kwa mfano kama wangekuwa wanazaliana ndugu kwa ndugu basi vizazi vingeisha na kuteketea tangu enzi za Pontyo wa Pilato..

Itoshe kusema kwamba ancestors wetu walikuwa watu wazuri na wema sana.

Just like my ancestors, your ancestors were the good men and women.

Haya sasa tumia jukwaa hili kusema neno moja zuri au mawili kwa ancestors wako waliowahi kuishi hapa duniani kuanzia wale walio ishi katika kipindi ambacho na wewe unaishi mpaka wale walio ishi kuanzia miaka mia, elfu hadi milioni Sita iliyo pita.


Mimi ninasema ancestors wangu wote wa pande zote mbili ninawapenda sana na Mwenyezi Mungu awabariki huko mlipo.

# I am not teaching you ancestral veneration ila Nina kukumbusha tu umuhimu wa kuwa honour ancestors wako kama unavyo waheshimu biblical ancestors like Moses and Abraham.


I love you my ancestors.

God bless you my ancestors.

I bless you my ancestors

For any mistake that you did while on earth, May the Lord God forgive you and may all the information about any kind of a mistake that you did while on earth be deleted from both the universe and divine memory.

Thank you my ancestors.


Haya twende kazi 👇

Say something good to your ancestors
Mwaka 7000 BC hakujawahi kuwa na binadamu kwa mujibu wa Dini..
Adamu Kaumbwa mwaka 6006 iliyolita
 
Mwaka 7000 BC hakujawahi kuwa na binadamu kwa mujibu wa Dini..
Adamu Kaumbwa mwaka 6006 iliyolita
Sio kweli kwanza lazima ujue Adam sio binadamu wa kwanza..

Dunia haikuanza na mwanaume mmoja na mwanamke mmoja.

There was a ten of thousands of couples. Hawa ndio ancestors wetu ambao ndio tunapaswa kuwa honour
 
Sio kweli kwanza lazima ujue Adam sio binadamu wa kwanza..

Dunia haikuanza na mwanaume mmoja na.mwanamke mmoja.

There was a ten of thousands of couples. Hawa ndio ancestors wetu ambao ndio tunapaswa kuwa honour
hapa umeongea kweli sana Na wapo wengi watakupinga Hvyo huo ndo ukweli kabla ya hao Adam na hawa ni watu wa Juzi tu
 
Miaka elfu 7 iliyopita wewe hukuwepo lakini alikuwepo mtu mmoja ambae alikuwa anaishi juu ya ardhi ya uso wa dunia precisely Africa..

Mtu huyo si mwingine ila ni ancestor wako.

Wewe ni mifupa katika mifupa yake. Wewe ni nyama katika nyama zake.

Wewe ni damu yake. Taarifa za mtu huyo zinaishi ndani yako kupitia D.N.A yako. This is to say yeye anaishi ndani yako na wewe unaishi ndani yake.

Mtu huyo ( mwanaume) alimzaa mwanaume ambae nae alimzaa mwanaume ambae nae pia alimzaa mwanaume mwingine ikaendelea hivyo hivyo mpaka akaja kuzaliwa babu yako kizaa baba ako ambae nae akamzaa baba ako kisha baba ako akakuzaa wewe na wewe umemzaa kijana wako wa kiume......to infinity.

Kutoka mwaka 7000 BC mpaka sasa hivi ni miaka elfu 9 imepita.

Kwenye bloodline yenu kuanzia kwa huyo ancestor wako aliekuwa anaishi huo mwaka 7000 mpaka wewe kama kila ancestor angekuwa anampata ancestor wa chini yake akiwa na wastani wa umri wa miaka 25 basi maana yake ni kwamba kutoka kwa ancestor wako alie ishi mwaka 7000 bc mpaka kwako kuna mababu 360.

what about miaka elfu 90 iliyo pita ? How many ancestors? 👉 3600 ancestors.


What about miaka laki 9 iliyopita? How many ancestors? 👉 36,000 ancestors.


But sayansi imethibitisha kwamba binadamu wa kwanza walianza kuishi duniani miaka milioni 6 iliyopita.

So kwa hesabu ya milioni 6 tukienda kwa ratio ya miaka 25 then kuanzia miaka milioni 6 iliyopita mpaka sasa hivi utakuwa na ancestors Laki 2 na elfu 40.( Hawa ni kwa upande mmoja tu wa baba peke yake yani kuanzia ancestor wako kwanza 👉mtoto wake wa kiume 👉 mjukuu wake wa kiume mpaka akazaliwa babu yako, baba ako mpaka wewe mwenyewe. Ukijumlisha na wake zao kwa pande zote mbili wanaweza kufika milioni)

This is to say that miaka milioni 6 iliyo pita kulikuwa na mtu hapa duniani ambae ni ancestor wako. Ambae kupitia viuno vyake walizaliwa ancestors wako wengine mpaka ukaja kuzaliwa wewe.

Ancestors wetu kama wasingekuwa smart kama tunavyo aminishwa na wazungu basi huenda hata leo hii wewe usinge kuwepo. Kwa sababu kwa mfano kama wangekuwa wanazaliana ndugu kwa ndugu basi vizazi vingeisha na kuteketea tangu enzi za Pontyo wa Pilato..

Itoshe kusema kwamba ancestors wetu walikuwa watu wazuri na wema sana.

Just like my ancestors, your ancestors were the good men and women.

Haya sasa tumia jukwaa hili kusema neno moja zuri au mawili kwa ancestors wako waliowahi kuishi hapa duniani kuanzia wale walio ishi katika kipindi ambacho na wewe unaishi mpaka wale walio ishi kuanzia miaka mia, elfu hadi milioni Sita iliyo pita.


Mimi ninasema ancestors wangu wote wa pande zote mbili ninawapenda sana na Mwenyezi Mungu awabariki huko mlipo.

# I am not teaching you ancestral veneration ila Nina kukumbusha tu umuhimu wa kuwa honour ancestors wako kama unavyo waheshimu biblical ancestors like Moses and Abraham.


I love you my ancestors.

God bless you my ancestors.

I bless you my ancestors

For any mistake that you did while on earth, May the Lord God forgive you and may all the information about any kind of a mistake that you did while on earth be deleted from both the universe and divine memory.

Thank you my ancestors.


Haya twende kazi 👇

Say something good to your ancestors
Halafu tunaaminishwa kuwa kulikuwa na Noah's ark ambayo ilibeba kila aina ya mnyama duniani kwa pair, like seriously do we really have people wenye akili timamu wanaoamini hii kitu mpaka leo hii kwenye dunia ya utandawazi? I have seen Noah's ark na ukifikiria kuwa wanyama wote duniani waliishi mle kwa kweli utastahajabika na kujichukia kuamini upuuzi wa Wayahudi na propaganda zao. Timeline ya hizi dini za maboti (Ukristu na Uislam) ni miaka 6,000 tu hapa duniani, sisi ni zaidi ya miaka 250 elfu....so who the https://jamii.app/JFUserGuide is fooling who here? Waafrika tuamke na turudi tulikotoka, it's never too late. Unakuta mpuuzi anajisifia kabisa eti mimi dini yangu ni Muislam au Mkristu when you are an African, ni ujinga mtupu. Hizi dini za watu zisizo na mashiko kwetu ndizo zinatufanya tubaguane sisi kwa sisi kama wanavyobaguana wenyewe Waarab na Wayahudi. To hell na hizi dini.
 
hapa umeongea kweli sana Na wapo wengi watakupinga Hvyo huo ndo ukweli kabla ya hao Adam na hawa ni watu wa Juzi tu
Adam na Hawa ni fabrication tu za hizi dini za maboti (Uislam na Ukristu)......Waafrika hatujazaliwa na hawa watu, sisi tuko hapa duniani miaka 250 elfu kabla ya ujio wa hawa wasanii wa Kiyahudi na Kiarab.
 
Wakati wa Yesu hazikuwepo motokari. Siku hizi tunapanda gari.
Civilization yoyote haidumu muda mrefu;watu wanaishi katika mapango,au juu ya miti,they invent gunpowder,they invent the nuclear bomb,they blow up the world,halafu civilisation inaanza upya.
Mambo yote haya yanatokea katika kipindi cha miaka 10,000 mpaka 15,000.
Civilisation ikianza upya,watu wapya wanakuja. Hauna ancestor hapa from one million BC,ingawa watu walikuwepo hapa one million BC wanafanya intergalactic travel.
Lakini wapo wanyama kama vile mamba na nyoka waliopo duniani sasa hivi,walikuwepo from the beginning.
Hawa wanyama,they are characterised by lack of emotion.
Hao wanyama ndio wenye ancestors wengi kama unavyosema.
 
Back
Top Bottom