Uhusiano kati ya mwanamke kunuka na kuachwa kimapenzi.

Uhusiano kati ya mwanamke kunuka na kuachwa kimapenzi.

Hujawahii kutanaa na harufu ya ilee manenoo usiongee mkuu.
 
Mkuu naona kama unaongelea kwakuwa hayajakukuta.

Binafsi nina dogo wangu flani alikatongoza katoto flani kadogo tu kama 19yrs of age, basi akaomba mechi akakubaliwa dogo akaingia ground kupiga mechi, yani ile kuanza tu anakuambia aliishiwa nguvu na hakupiga hata goli moja akasingizia maza kamwita home kuna emergency.

Alichofanya nikuondoka na alipitia dukani akanunua magadi yakutosha kisha alipofika nyumbani akiwa amenuna sana akachemsha maji akatia magadi akaogea ndoo kubwa tatu. Na hiyo dozi iliendelea kama wiki hivi. Aliyokutana nayo yalimtisha.
 
d7b331adc7a31bf5fa7e40bd34f836ba.jpg

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mkuu naona kama unaongelea kwakuwa hayajakukuta.

Binafsi nina dogo wangu flani alikatongoza katoto flani kadogo tu kama 19yrs of age, basi akaomba mechi akakubaliwa dogo akaingia ground kupiga mechi, yani ile kuanza tu anakuambia aliishiwa nguvu na hakupiga hata goli moja akasingizia maza kamwita home kuna emergency.

Alichofanya nikuondoka na alipitia dukani akanunua magadi yakutosha kisha alipofika nyumbani akiwa amenuna sana akachemsha maji akatia magadi akaogea ndoo kubwa tatu. Na hiyo dozi iliendelea kama wiki hivi. Aliyokutana nayo yalimtisha.
alikutana na nini
 
Umeongea kwa kweli.
Wengi hujisahau. Utashangaa wanawake wengine wanavaa nguo za milioni. Makeup za malaki. Mawigi ya malaki. Lkn ukija kwenye suali la usafi wa ndani zero.
Hata kama mtu una tatizo, dawa zipo.
Ila nafkiri na kufanywa fanywa sana na visiki tofauti tofauti pia kunachangia.

Kufanywa fanywa sana kunachangia kivipi, yaani mdada anajisahau kufanya usafi au anaona poa tu kunuka?
 
Back
Top Bottom