Kwani kuna wakristo na wasabai wanaomuamini Allah mpaka wasiwe na hofu ?Kumbe naongea na kafir sio muumin [emoji12] abdul qathem amesema Wakristo, wasabai, na wanao mwamini Mwenyezi Mungu na siku ya mwisho Wasihofu [emoji123] [emoji4] ref; suratul baqara:62 wee unazoboka eti Wakristo wanafuata ya Paulo [emoji15] [emoji9] wapi abdul qathem kamtaja Paulo...[emoji47] ashki majunun eeh..
anaye ongea hapo hiyo habari ni allah ambaye aliapia kwa aliye umba dhakari na Ku****%am ref; Qur'an 92:3[emoji4] anasewa [emoji117] wanao mwamini MWENYEZI MUNGU jee yeye ni Mwenyezi Mungu..[emoji47] wazimu ni fani eeh [emoji15] [emoji9]Kwani kuna wakristo na wasabai wanaomuamini Allah mpaka wasiwe na hofu ?
Wewe huoni kama unakejeliwa hapo ?
Enzi za yesu kunyoa ilikuwa ni zoezi zito sana haikuwa fasheni.Alie igiza picha ya Yesu nae muislam...?
anaye ongea hapo hiyo habari ni allah ambaye aliapia kwa aliye umba dhakari na Ku****%am ref; Qur'an 92:3[emoji4] anasewa [emoji117] wanao mwamini MWENYEZI MUNGU jee yeye ni Mwenyezi Mungu..[emoji47] wazimu ni fani eeh [emoji15] [emoji9]
Acha ukafir dogo jibu swali..[emoji12]
Kufuga ndevu kwa Muislam ni Sunnah!
Mtume alioa wanawake kumi na tatu na kubaka katoto kadogo ikiwa pamoja na kuolewa na bibi khadija kwahiyo nawe ukifanya hivyo ndo sunah siyo?
kufuga ndevu ni ukichaa, kama ni suna mbona huoi mtoto wa miaka 8 kama yule jamaa yenu.Mwanaume unaanzaje kutoa ndevu zote ...? Yaani kidevu kama goti la mtoto...
YESU SIO NABII ISA nimeshafanya comparison ya kuzaliwa kwa Yesu na Nabii Isa ni binadamu wawili tofautiSasa hebu tuangalie Nabii Isa ambaye wakristo wamemchukua kuwa mungu. Tuangalie mavazi yake na mwenyewe kuhusu ndevu.
Kwa kifupi hata wakristo kitabu Chao kinase ma kuhusu kufunga ndevu. Na kina wafiki. Muhimu soma. Kuvaa kanzu pia Nabii issa (yesu) amevaa..
Na lazima.unuwe tofauti kati ya ndevu za waislam na mayahudi na singa singa .muislam hafugi sharubu na ndevu zake hasizibi mdomo. .wayahudi wanafuga ndevu na sharubu. Singa singa ndevu na sharubu.
Kuhusu viatu sioni u baya wake ila naona faida yake kubwa kuvaa viatu vilivyo wazi .
Uzuri wa Waislam wanafuata mwenendo wa mtume wetu mpenzi .na ilikuwa rahisi kwani maisha yake yote yalikuwa kitabu kilicho funguliwa A (open book)
Hakuna mtume yoyote mwengine alokuwa na record ya maisha yake .
In short waislam waumini wanafuata mwenendo wa mtume. Waislam wa jina tu wanafuata yao na ya wazungu .wakristo wanafuata paulo si yesu ..wayahudi kwa kiasi wanafuata ya musa lakini kw a kiasi kidogo sana .
Hongera kwa mchango mzuriNi dhahiri huujui ukristo kabisa.
Tofauti kubwa ya Uislam na ukristo ni kwamba ukristo unashughulika zaidi na roho wakati uislam unashughulika zaidi na mwili.
Agano la kale katika ukristo, kama ilivyo uislam, lilishughulika zaidi na mwili. Na Yesu, ambaye katika Biblia anaitwa NENO ( NENO alikuwako kwa Mungu, NENO alikuwa ni Mungu, aliyekuja kwa wanadamu wakashindwa kumtambua, wakashindwa kumpokea lakini waliompokea aliwapa uwezo wa kuwa wana wa MUNGU) alipokuja Duniani aliwafunulia wanadamu juu ya nini kilikuwa muhimu katika ufalme wa Mungu, ambacho ni ROHO na siyo MWILI.
Yesu hakuongelea ndevu, hakuongelea kubasi au kanzu kwa sababu alijua kabisa kuwa vitu hivyo ni vya kimwili na vinategemea mazingira ya mahali na wakati.
Kuvaa kanzu kwa wakati ule lilikuwa ni jambo la kawaida maana ndiyo lilikuwa vazi la wakati huo lililoendana na tamaduni za wakati huo. Ni vazi lililovaliwa hata na watu wasiomjua Mungu. Hakuna uthibitisho kuwa kulikuwa na mavazi mengine ya tofauti kwa wakati huo katika jamii husika.
Viatu vya wazi kwa sehemu za joto kama nchi za kiarabu inaeleweka. Lakini pia kutokana na teknolojia ya wakati huo, haionekani kulikuwa na viatu vya namna nyingine. Ni uwendawazimu mtu aishiye sehemu za baridi kali kuvaa kubasi eti tu kwa sababu mtume au Yesu alivaa kubasi.
Kwa enzi za Yesu na mtume, teknolojia na mazingira hayakuwa kama ya sasa, hata mashine au shaving foams na after shave havikuwepo. Hata nyembe hatuna uhakika kama vilikuwepo. Hakukuwa na sababu mtu anyoe kwa kisu butu halafu atokwe na upele. Busara ilikuwa kutokunyoa, ni busara ya kawaida. Lazima watu watofautishe nini ni mahitaji ya kawaida na nini ni mahitaji ya kiimani.
Wanaotaka kufuata maisha ya mtume, wasipande magari, wala ndege au engine boats maana mtume hakuwahi kusafiri kwa kutumia vyombo hivyo. Pia wasitumie hata laptop maana mtume hakuwa na computer wala simu ya mkononi.
WATU WANGU WANAANGAMIA KWA KUKOSA MAARIFA.
Vazi kama kanzu kwa shekhe au kasisi ni vazi rasmi kwa kadiri ya taasisi zinazohusika zilivyoamua, sawa kabisa na sare za jeshi, majoho ya vyuo au jezi za wachezaji, lakini muundo wa mavazi hauna mchango katika core faith.
Kufuga ndevu hakuna mchango wowote katika wokovu wetu ndiyo maana hakuna maagizo kutoka kwa Mungu. Kuna watu waliokuwa wametoa maoni yao lakini Mungu hajatoa maelekezo kuhusu ndevu kwa sababu aliijua Dunia kabla haijaiumba, aliyajua mabadiliko ya Dunia na watu wake. Alitambua wanajme ambao hawatakuwa na ndevu. Maelekezo yake ya moja kwa moja ni kwa vitu vya kiimani, visivyobadilika. Alisema watu wasiibe. Wizi utaendelea kuwepo, utaendelea kuwaudhi na kuwaumiza wanadamu wakati wote japo vitu vitakavyoibiwa vitabadilika kutokana na wakati na mazingira ya mahali. Zwmani watu waliiba zaidi ng'ombe na mbuzi lakini leo watu wanaiba zaidi simu, laptops na fedha. Tanzania watu wanaiba zaidi simu lakini uarabuni watu huiba zaidi rasilimali za kuzalishia.
Duhkuna mambo yanahitaje moyo sana....just imagine .
Hivi mtu kama huyu anakula vipi..?
anapigaje mswaki...?
anakulaje denda kwa mfano...?
ana pigaje mwayo (yawning) ..?
ana nawaje mdomo kwa mfano..?
View attachment 530349
Kajambe ulale we kipwinto.Acha ukafir dogo jibu swali..[emoji12]
Nini ulicho andika [emoji15] [emoji9] miratul abdul qathem eeh [emoji47] [emoji12]Kajambe ulale we kipwinto.