Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngedere mkuuTumia akili yako angalau mara moja kwa mwaka uiepushe isioze. Hoja haba sio nani mwingine anafuga ndevu, hoja ni kuishabihisha na imani.
Upo uwezekano mkubwa Yesu alikuwa na madevu, kama ilivyo desturi ya watu wa jamii yake. Kwa hiyo hiyo sio hoja. Hoja ni mimi mkristo Mjaluo wa Tarime nalazimika kufuga midevu kama Yesu? Na mimi nivae kandambili hata kama hakuna joto la jangwani huku Nyamongo? Na mimi nikalie mikeka hata kama miti ya kukata kutengeneza fanicha ipo?
Acha kutoka povu, itazame hoja ya msingi.
Inawezekana kwa akili yako fupi.Kulogwa nako ni suna maana mtume mudi alilogwa
Unaota uko msitu wa kibiti eeh unakula pilau makinikia eeh [emoji47] [emoji4]umekuwa kama mwizi , unajificha ficha ukiandika upumbavu tu
Jesus of Nazareth..and his lovely wife.
View attachment 531336
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kweli Nyani haoni kundu lake.
Mbona hao jamaa wamefuga ndevu kwani na wao ni waislamu?
Sawa .kaka ..kaa na mungu wako nami na mungu wangu .Unachanganya mada sasa, hapo kuna huyo mtu unamuita Issa, waislamu mnaforce kwa nguvu ya ajabu sana kusema issa wenu ndo YESU KRISTO, najua mnafanha hivi ili kuwahadaa watu tu.....Ila sishangai maana hata YESU KRISTO alishatabiri kuna watu matapeli watajifananisha na yeye
Zile suluari fupi nazo ni utamaduni wa Waarabu ?Kwa maoni yangu, ndevu hazina uhusiano na imani ya dini, ila Waislamu wanafuata utamaduni wa kiarabu. Kuvaa kiffuga ndevu, lugha na kila kitu. Kuna michanganyo tu. (I'm standing to be corrected)
Sent from my TECNO-J7 using JamiiForums mobile app
Unaota uko msitu wa kibiti eeh unakula pilau makinikia eeh [emoji47] [emoji4]
Kulogwa nako ni suna maana mtume mudi alilogwa
Wewe unaota uko sauna ya Roma unanyolewa nywele zote ???
Huyo uliyemfanya mungu wako mdogo wake James amechukua kifaa hiki
Jesus of Nazareth..and his lovely wife
View attachment 531606
Bado sijakupata shekhe sunnah maana yake nn?Kufuga ndevu kwa Muislam ni Sunnah!
Huyu mwenye baba wawili alifanywa kitu gani ???
View attachment 531610
View attachment 531613
View attachment 531614
Hata abdul qathem alisema kila umma tumewajaalia sharia zao na kawaida ya ibada..[emoji4]Hapo watakuambia wanatumia agano jipya.
View attachment 531834 punguzaga shirki kibuzi..[emoji125] [emoji12]
Jibu lako liko post namba 14. Lilikuja suali kama lako kwahivyo rejea hapo!Bado sijakupata shekhe sunnah maana yake nn?
Siwashangai kuongea pumba kwakuwa ccm iliwanyimeni elimu hili ndilo Tatizo la wajinga je hata kutembea hamtembei?labda niwafahamisheni kitu kwa ufupi tu tokeni kwenye mashimo yenu Tanzania nendeni kwa majerani zenu south Africa nauli All most laki tatu na ushee kwa ndege fast jet na bus kama 170000 kupitia zimbabwe so tembeeni maana nikiwaambia fikeni mbele huku hamtoweza poor manSalam kwenu wakuu, kwa wale wenzetu waislam naona sikukuu yenu iko safi kabisa huku familia zikiendelea kujumuika vyema na maakuli ya hapa na pale.
Kuna hivi vitu vitatu kuhusu waislam (hasa wanaume):-
1. Kufuga ndevu nyingi
2. Kuvaa makobazi au sandals au open shoes (zilizo-over size)
3. Kuvaa kanzu
Nini uhusiano wa dini ya kiislam na hivyo vitu vitatu hapo juu?
Ukiwa muislam ni lazima ufuge ndevu kama Osama Bin Laden?
Ukiwa muisalm ni lazima kuvaa sandals au open shoes au makobazi muda wote?View attachment 530339View attachment 530340View attachment 530341View attachment 530343View attachment 530345
Wakwanza kuwa mchafu Basi alikua yesu halafu tukafata sisi waislamuhuo ni uchafu tu hata kama mtakuja kutokwa povu hapa,kutwa kututapisha!