Uhusiano kati ya Uislamu na kufuga ndevu nyingi

Uhusiano kati ya Uislamu na kufuga ndevu nyingi

Sunnah Ndonini hiyo mkuu
Ni matendo ambayo Mtume Muhammad S.A.W aliyafanya au alipendekeza kufanywa ambayo mtu akifanya anapata thawabu asipofanya hupati thawabu wala dhambi mfano kufunga jumatatu na Alhamis ni sunna tu sio lazima kusali sala nje ya zile sala 5 sala tano ni faradhi ( wajibu/ lazima ) na sala nyengine zilizobaki ni sunna km sala za usiku wanaita witri tahajjudi kula daku ni sunna sio lazima kufunga cku 6 baada ya ramadhan ni sunna sio lazima anaetaka anafanya asietaka anaacha
 
Jesus of Nazareth..and his lovely wife


View attachment 531966
downloadfile.jpeg
Uko anga ya kibiti kibuzi [emoji4]
 

Attachments

  • caterpillars1.jpg
    caterpillars1.jpg
    34.3 KB · Views: 36
Ni matendo ambayo Mtume Muhammad S.A.W aliyafanya au alipendekeza kufanywa ambayo mtu akifanya anapata thawabu asipofanya hupati thawabu wala dhambi mfano kufunga jumatatu na Alhamis ni sunna tu sio lazima kusali sala nje ya zile sala 5 sala tano ni faradhi ( wajibu/ lazima ) na sala nyengine zilizobaki ni sunna km sala za usiku wanaita witri tahajjudi kula daku ni sunna sio lazima kufunga cku 6 baada ya ramadhan ni sunna sio lazima anaetaka anafanya asietaka anaacha
Ok, ahsante kwa elimu.
 
alafu walioshika dini wengi vinywele pilipili kichwani vindevu vibayaaa makobaz mabayaaa na wengi wamepasuka miguu ivi ni kwamba hawasafishagi miguu au?
 
Kufuga ndevu kwa Muislam ni Sunnah!
Sunnah ni nini mkuu? Mbona kuna baadhi ya wanaume ambao hawafugi? Halafu vp kuhusu kuvaa suruari fupi zinazoishia kwenye ugoko, nayo ni sunnah?
 
Sunnah ni nini mkuu? Mbona kuna baadhi ya wanaume ambao hawafugi? Halafu vp kuhusu kuvaa suruari fupi zinazoishia kwenye ugoko, nayo ni sunnah?
Mkuu jibu liko kwenye post namba 14 ili kufahamu rejea katika thread hii.
 
kuna mambo yanahitaje moyo sana....just imagine .
Hivi mtu kama huyu anakula vipi..?
anapigaje mswaki...?
anakulaje denda kwa mfano...?
ana pigaje mwayo (yawning) ..?
ana nawaje mdomo kwa mfano..?

View attachment 530349
Hata akiamua kuficha madawa ya kulevya ndani ya hizo mdevu hakuna mtu atakayemgundua wala mbwa atakayeweza kumnusa.....hii hatari sana aisee!
 
Kwa kawaida dini huakisi utamaduni wa walioanzisha hiyo dini. Ufugaji wa ndevu, uvaaji wa makobazi na viatu open ni utamaduni wa watu wa mashariki ya kati uislamu ulikochipua.
Du kumbe UISLAMU=UTAMADUNI WA KIARABU.
 
Nyerere alikuwa na uthubutu wa ajabu sana. Kuna audio ya hotuba yake akiwa Pemba anahutubia, kwakweli alinishangaza sana. Aliwaponda wapemba wanaofuga ndevu na kuzipaka rangi akidai ni kasumba za ukoloni wa waarabu, eti wanaofuga ndevu wanatamni kuwa kama waarabu waliowatawala.

Nikilinganisha na jinsi viongozi wa bara wanavyowaogopa waZanzibar, wakiongozwa na Mizengo Pinda, nalazimika kutambua kuwa Nyerere alikuwa sio mtu wa mchezo mchezo.
 
Kwa maoni yangu, ndevu hazina uhusiano na imani ya dini, ila Waislamu wanafuata utamaduni wa kiarabu. Kuvaa kiffuga ndevu, lugha na kila kitu. Kuna michanganyo tu. (I'm standing to be corrected)

Sent from my TECNO-J7 using JamiiForums mobile app
Kweli kabisa mkuu. Kuongea kiarabu (maana wanapenda sana kuongea kiarabu) waliamrishwa na mtume pia?
 
Hao ni wasioelewa maana yake. Sunnah ni jambo alilolifanya mtume au alilopendekeza mtume. Ukilifanya unapata kheri na usipolifanya hupati dhambi. Hiyo ndio sunna ya mtume na pia sunna sahihi zipo katika vitabu na zinatambulika kisheria.
Kwa hiyo ~sunnah~ kumbe ni suala la hiari mkuu?
 
Halafu kuna jambo nilikuwa nimesahau. Hivi kwanini waislamu wanapenda kutumia maspika misikitini kwa kukumbushana wakati wanaenda kuswali? Kwanini mtu usiweke alamu na uamke mwenyewe kwenda msikitini badala ya kuwapigia watu kelele kwa maspika kila alfajiri? Je, hili nalo liliamrishwa na mtume? Kwani enzi za mtume kulikuwa na maspika?
 
Kuna watu humu ni wazungumzaji wazuri kwenye vijiwe vya kahawa
 
Back
Top Bottom