Uhusiano kati ya Uislamu na kufuga ndevu nyingi

Uhusiano kati ya Uislamu na kufuga ndevu nyingi

Ndevu bila swala ni uchafu tu
.
.
Sheik Kipoozeo kasema
 
Ndevu bila swala ni uchafu tu
.
.
Sheik Kipoozeo kasema
 
Hivi unaweza kujiita mwanaume bila ndevu....nyie ndio kina kaoge nyinyi hadi kivuzi cha nyuma mnatoa...ujinga kabisa
 
kuna mambo yanahitaje moyo sana....just imagine .
Hivi mtu kama huyu anakula vipi..?
anapigaje mswaki...?
anakulaje denda kwa mfano...?
ana pigaje mwayo (yawning) ..?
ana nawaje mdomo kwa mfano..?

View attachment 530349
huyo jamaa nae kazidi mtume Muhammad (s.w) alifuga ndevu si sharubu kama hiyo picha ya uyo rasta ulo tuletea...
 
Kanzu na ndevu ni sunnah, kuhusu makobaz ni uamuz wa mtu na wanaovaa kanzu alaf chin makobaz ni ktk kumatch and confortability pia haikatazw kuvaa chochote mguuni uwapo na kanzu
 
Nini maana ya SUNNAH mkuu??
Sunnah maanayake mkuu ni mwenendo wa maisha ya mtume katika nyanja zote mf:- jinsi alivyo kula, alivyo vaa alivyo tembea. kwa mfano mtume alipo kuwa akitembea barabarani alikuwa anapendelea kupita upande wa kulia huku macho yake akiwa ameinamisha chini ko ni sunnah kwa waislamu wote wanapokuwa wakitembea barabarani wapite upande wakulia wa barabara huku wakiwa wameinamisha macho yao chini... hiyo ndio maana ya sunnah ya mtume (s.w) nadhani nimeeleweka mkuu...
 
View attachment 531829 hhhhhhh...[emoji23] [emoji23] [emoji23]


Jesus of Nazareth..and his lovely wife


upload_2017-6-28_13-13-38.jpeg
 
kuna mambo yanahitaje moyo sana....just imagine .
Hivi mtu kama huyu anakula vipi..?
anapigaje mswaki...?
anakulaje denda kwa mfano...?
ana pigaje mwayo (yawning) ..?
ana nawaje mdomo kwa mfano..?

View attachment 530349
Hahaaaaaa just imagine siku ameumwa we ndo umepewa kazi ya kumnywesha uji,,,unaeza tafuta mdomo na ukaukosa[emoji23]
 
Salam kwenu wakuu, kwa wale wenzetu waislam naona sikukuu yenu iko safi kabisa huku familia zikiendelea kujumuika vyema na maakuli ya hapa na pale.

Kuna hivi vitu vitatu kuhusu waislam (hasa wanaume):-

1. Kufuga ndevu nyingi

2. Kuvaa makobazi au sandals au open shoes (zilizo-over size)

3. Kuvaa kanzu

Nini uhusiano wa dini ya kiislam na hivyo vitu vitatu hapo juu?

Ukiwa muislam ni lazima ufuge ndevu kama Osama Bin Laden?

Ukiwa muisalm ni lazima kuvaa sandals au open shoes au makobazi muda wote?View attachment 530339View attachment 530340View attachment 530341View attachment 530343View attachment 530345
Ni sunnah tu nothing more kitu sunnah ukifanya unapata thawabu ukiacha hupati dhambi so mapendekezo ya mtu tu mwenyew
 
Mbona siku hizi wazungu mbali mbali katika nchi mbali mbali za Wazungu duniani nao hufuga madevu mengi tu? Imekaaje hii!?

Salam kwenu wakuu, kwa wale wenzetu waislam naona sikukuu yenu iko safi kabisa huku familia zikiendelea kujumuika vyema na maakuli ya hapa na pale.

Kuna hivi vitu vitatu kuhusu waislam (hasa wanaume):-

1. Kufuga ndevu nyingi

2. Kuvaa makobazi au sandals au open shoes (zilizo-over size)

3. Kuvaa kanzu

Nini uhusiano wa dini ya kiislam na hivyo vitu vitatu hapo juu?

Ukiwa muislam ni lazima ufuge ndevu kama Osama Bin Laden?

Ukiwa muisalm ni lazima kuvaa sandals au open shoes au makobazi muda wote?View attachment 530339View attachment 530340View attachment 530341View attachment 530343View attachment 530345
 
Back
Top Bottom