KikulachoChako
JF-Expert Member
- Jul 21, 2013
- 19,185
- 37,239
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tulia wew...nani kawazaa??YESU SIO NABII ISA nimeshafanya comparison ya kuzaliwa kwa Yesu na Nabii Isa ni binadamu wawili tofauti
huyo jamaa nae kazidi mtume Muhammad (s.w) alifuga ndevu si sharubu kama hiyo picha ya uyo rasta ulo tuletea...kuna mambo yanahitaje moyo sana....just imagine .
Hivi mtu kama huyu anakula vipi..?
anapigaje mswaki...?
anakulaje denda kwa mfano...?
ana pigaje mwayo (yawning) ..?
ana nawaje mdomo kwa mfano..?
View attachment 530349
Sunnah maanayake mkuu ni mwenendo wa maisha ya mtume katika nyanja zote mf:- jinsi alivyo kula, alivyo vaa alivyo tembea. kwa mfano mtume alipo kuwa akitembea barabarani alikuwa anapendelea kupita upande wa kulia huku macho yake akiwa ameinamisha chini ko ni sunnah kwa waislamu wote wanapokuwa wakitembea barabarani wapite upande wakulia wa barabara huku wakiwa wameinamisha macho yao chini... hiyo ndio maana ya sunnah ya mtume (s.w) nadhani nimeeleweka mkuu...Nini maana ya SUNNAH mkuu??
View attachment 531829 hhhhhhh...[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hahaaaaaa just imagine siku ameumwa we ndo umepewa kazi ya kumnywesha uji,,,unaeza tafuta mdomo na ukaukosa[emoji23]kuna mambo yanahitaje moyo sana....just imagine .
Hivi mtu kama huyu anakula vipi..?
anapigaje mswaki...?
anakulaje denda kwa mfano...?
ana pigaje mwayo (yawning) ..?
ana nawaje mdomo kwa mfano..?
View attachment 530349
Juhudi ya kupata mbunye mjazo.72..[emoji4]
Namnyofoa ndevu zake asinisumbue mieHahaaaaaa just imagine siku ameumwa we ndo umepewa kazi ya kumnywesha uji,,,unaeza tafuta mdomo na ukaukosa[emoji23]
Namnyofoa ndevu zake asinisumbue mieHahaaaaaa just imagine siku ameumwa we ndo umepewa kazi ya kumnywesha uji,,,unaeza tafuta mdomo na ukaukosa[emoji23]
Namnyofoa ndevu zake asinisumbue mieHahaaaaaa just imagine siku ameumwa we ndo umepewa kazi ya kumnywesha uji,,,unaeza tafuta mdomo na ukaukosa[emoji23]
Ni sunnah tu nothing more kitu sunnah ukifanya unapata thawabu ukiacha hupati dhambi so mapendekezo ya mtu tu mwenyewSalam kwenu wakuu, kwa wale wenzetu waislam naona sikukuu yenu iko safi kabisa huku familia zikiendelea kujumuika vyema na maakuli ya hapa na pale.
Kuna hivi vitu vitatu kuhusu waislam (hasa wanaume):-
1. Kufuga ndevu nyingi
2. Kuvaa makobazi au sandals au open shoes (zilizo-over size)
3. Kuvaa kanzu
Nini uhusiano wa dini ya kiislam na hivyo vitu vitatu hapo juu?
Ukiwa muislam ni lazima ufuge ndevu kama Osama Bin Laden?
Ukiwa muisalm ni lazima kuvaa sandals au open shoes au makobazi muda wote?View attachment 530339View attachment 530340View attachment 530341View attachment 530343View attachment 530345
Sunnah Ndonini hiyo mkuuKufuga ndevu kwa Muislam ni Sunnah!
Salam kwenu wakuu, kwa wale wenzetu waislam naona sikukuu yenu iko safi kabisa huku familia zikiendelea kujumuika vyema na maakuli ya hapa na pale.
Kuna hivi vitu vitatu kuhusu waislam (hasa wanaume):-
1. Kufuga ndevu nyingi
2. Kuvaa makobazi au sandals au open shoes (zilizo-over size)
3. Kuvaa kanzu
Nini uhusiano wa dini ya kiislam na hivyo vitu vitatu hapo juu?
Ukiwa muislam ni lazima ufuge ndevu kama Osama Bin Laden?
Ukiwa muisalm ni lazima kuvaa sandals au open shoes au makobazi muda wote?View attachment 530339View attachment 530340View attachment 530341View attachment 530343View attachment 530345