Uhusiano uliopo kati ya kesi ya Ugaidi dhidi ya Mbowe na tukio la jambazi

Hakuna mwenye nguvu/uthubutu wa kumkamata, labda kukamata Mbowe hotelini. nani angelimsogelea? Kwanini wamemuua, wangelimshoot miguu wakapata information nyingi toka kwake.. sasa wameogopa kumsogelea kwa karibu kumshoot miguuni

dogo una kipaji sana cha kubwabwaja kuhusu mbowe,haya mengine kitulize.

yule jamaa akili imemruka pale,ukipiga mguu alachuchumaa,anaanza kutupa risasi hovyo,ungekua wa kwanza kulaumu polisi walichofanya.

halafu mtu aliyetoka kuua na kuona damu za mtu,sio sawa na kamanda aliyetoka kumpokea lissu airport.
 
Sasa Sirro aseme na bajeti ya ugaidi wa huyu bwana ili tulinganishe na bajeti ya ugaidi wa laki 6 (USD 270)....!!
 
 
Bro nenda kajaribu kumtuma mtu kama huyo. Hebu acheni upuuzi wa kutufanya sisi mazezeta.
 
Watalewa tu muda ni mwalimu mzuri sana.
Wanajeshi tuliopeleka mpakani, MAGAIDI yamekasirikia Serikali na yataua sana Dar na mikoani, acha walete siasa zao za kupambana na Mbowe.
Wakimuachia mbowe magaidi hayatokuja?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…