Uhusiano uliopo kati ya wasukuma na wanyamwezi

Hakuna watu wavivu na roho mbaya kama Wanyamwezi, Msukuma ni mtu mchapakazi hodari na mkarimu sana..... Kwa muktadha huo sidhani kama kuna uhusiano wa moja kwa moja

Umekutana na huyo Mnyamwezi wako mmoja halafu una generalize kwa kabila zima. Huna haya wewe umekutana na myamwezi gani wewe, jiheshimu
 

Umekaa shuleni (MILAMBO SEC)hukukaa kwa wenyeji mjivuni we. Umekuwa unaiba nguo na kutembea na watto wa watu pale chemchem ulitaka wakuache tu
 
Hapo mchanhia mada naona umechapia,hayo makabila yote uliyoyataja kihistolia yametokea mbali sana kuliko unavodhani ni jirani na mipaka mipya baada ya kuja wakoloni.Mfano wajaluo ni Nilotics wanaotokea Sudan.Wahaya nao wametokea Magharibi ya Afrika tofauti na Uganda so ni kama historia ya Wasukuna Wanyamwezi hawa wakasambaa huku na wengine kule..
 
kwa kifupi asili ya wanyamwezi , wafipa, wamanyema ni watu wenye asili kutokea nchini congo na rwanda walivyokuja tanganyika walikuja kwa makundi tofauti .

kundi la kwanza ni lile la wasubwa ambao wanapatikana urambo hawa asili yao walitokea rwanda ndio maana ndani ya wanyamwezi unasikia majina kama kagame,kapuya,kafumu,kaigizo,kaijage hawa ni watu wenye asili ya rwanda.

ukienda unakutana waikimbu hawa wanapatikana skonge hawa walitokea congo na ni jamii ya watu wa kabila la wahutu.

ukienda nzega kuna wadakawa hawa asili yao ni niger africa ya kati .

kwakifupi kuna jamii nyingi zinapatikana tabora ila alivyokuja mjerumani kipindi cha ukoloni sasa katika kuunganisha jamii zote za wafugaji ndio likaudwa kabila la wanyamwezi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…