Uhusiano uliopo kati ya wasukuma na wanyamwezi

Uhusiano uliopo kati ya wasukuma na wanyamwezi

Nimeona watu wengi wameelezea wasukuma na wanyamwezi hapa na makabila yanayoambatana nayo.
Kuua mziki wa fitina wale wenzangu na mie eanyamwezi na binamu zetu wasukuma na viunga vyake tuanze kuongea kisukuma na kinyamwezi ili tuwahakikishie kuwa makabila haya makuu tunasikilizana au hata lugha zetu ni tofauti.

Haya mwendo kasi.... tuanze....

Wangaluka wosee, mlimhola?
Nalimhola
 
Nimeona watu wengi wameelezea wasukuma na wanyamwezi hapa na makabila yanayoambatana nayo.
Kuua mziki wa fitina wale wenzangu na mie eanyamwezi na binamu zetu wasukuma na viunga vyake tuanze kuongea kisukuma na kinyamwezi ili tuwahakikishie kuwa makabila haya makuu tunasikilizana au hata lugha zetu ni tofauti.

Haya mwendo kasi.... tuanze....

Wangaluka wosee, mlimhola?

Ng'wa bhabha.
 
Duuh....

Fuata historia bana ote dugu moja bana.....
Sawa na mtu na binamu yake hawanyimani wala hawadhuriani maana ni nyama ya hamu looh.
Nilikuwa natania binamu!!
 
Nimeona watu wengi wameelezea wasukuma na wanyamwezi hapa na makabila yanayoambatana nayo.
Kuua mziki wa fitina wale wenzangu na mie eanyamwezi na binamu zetu wasukuma na viunga vyake tuanze kuongea kisukuma na kinyamwezi ili tuwahakikishie kuwa makabila haya makuu tunasikilizana au hata lugha zetu ni tofauti.

Haya mwendo kasi.... tuanze....

Wangaluka wosee, mlimhola?
Wangaluka mayu, mle vapanga?
 
Nimeona watu wengi wameelezea wasukuma na wanyamwezi hapa na makabila yanayoambatana nayo.
Kuua mziki wa fitina wale wenzangu na mie eanyamwezi na binamu zetu wasukuma na viunga vyake tuanze kuongea kisukuma na kinyamwezi ili tuwahakikishie kuwa makabila haya makuu tunasikilizana au hata lugha zetu ni tofauti.

Haya mwendo kasi.... tuanze....

Wangaluka wosee, mlimhola?
Waangalukaa maayu
Kulugo mpolaa?
 
mwanambati unatafiti nini tena kwetu nyamwezi na sukumaa?
 
Wapanga (m'hala d'u)
Hadi hapa nilishajua wewe ni wa kusini yaani mdakama/mnyamwezi.

Yeah mie ndo dada yao na wale mashuhuri kwa kubeba mizigo mizito aka wanyamwezi..... na utamu huwa unanoga pale mbeba mizigo anapokuwa amemix na kabila lingine...... Acha tuu waweza sahau kwenu 😛😛

Nahenee nahenee.

Kasinde.
 
Back
Top Bottom