Uhusiano uliopo kati ya wasukuma na wanyamwezi

Uhusiano uliopo kati ya wasukuma na wanyamwezi

Me huwa nauliza kwa nini mataifa ya maghalibi yanaitwa unyamwezini mfano tukimuona akon pamoja na kumtambua asili yake ni senegal ila tunamuita mnyamwezi nini chanzo haswa
 
Hakuna watu wavivu na roho mbaya kama Wanyamwezi, Msukuma ni mtu mchapakazi hodari na mkarimu sana..... Kwa muktadha huo sidhani kama kuna uhusiano wa moja kwa moja
 
Mkuu kifupi kabila la wanyamwezi ni watu waliotoka magharibi mwa afrika,Niger-Congo,kabila mama ni Wanyamwezi,wasukuma ni tabaka lilikotoka kwenye kabila kubwa la wanyamwezi.Katika kabila kubwa la wanyamwezi kuna mashina(makabila matano) yametoka humo,na yanafanana kitabia,asili,lugha,desturi nk.Mashina hayo ni kabila la Wanyamwezi,wakonongo,wakimbu,wasumbwa na wasukuma.Wanyamwezi walipotoka magharibi mwa afrika waliweka makazi Tabora kabla ya kuanza kusambaa kuelekea kaskazini magharibi(ukanda wa ziwa).Hivyo mpaka sasa Tanzania kabila linaloongoza kuwa na watu wengi ni Wasukuma,wakifuatiwa na kabila la pili kwa ukubwa ni wanyamwezi.Makabila haya kwa kifupi yanaongoza kwa kuchapa kazi na ukarimu..ndio maana toka Enzi wanasema 'mzigo mzito mpe mnyamwezi',na hata marekani(ambayo inasifika kwa watu wake ukarimu wa kusaidia watu wengine inaitwa 'unyamwezini',hela yao ya dola inaitwa 'mnyamwezi', au mtu akiwa anamzungumzia rafiki yake wa ukweli utasikia akisema 'mnyamwezi wangu'. Lakini pia ndio makabila yanaongoza kwa ushujaa na mapambano,ndio maana machifu wao ni maarufu zaidi kuliko wa makabila mengine kama chifu mirambo na jeshi lake la wavuta bangi 'maarufu kama warugaruga',chifu Isike,chifu Mihayo,chifu Fundikira nk. Makabila haya yanasifika kwa kilimo na ufugaji,pia kwa ukarimu wa hali ya juu hususani wasukuma.Hakuna kabila wakarimu kama wasukuma,labda ndio maana Mungu nae amewazidishia katika ardhi yao kuna kila aina ya neema,chakula cha kutosha,masamaki,madhahabu,mapamba,mang'ombe,maasali,mahela... nk. Ila pia hawako nyuma kwenye uchawi na mizimu hasa kama umewaonea au umewaibia.Inawezekana ni mauchawi waliyotoka nayo huko afrika magharibi na njiani walipopitia congo kuingia Tanzania.So take care
Mkuu, naambiwa umemsahau chifu Kitambi wa Uyui.
 
Unataka kuniambia wanyamwezi na wasukuma sio watanzania halisi Bali wazamiaji,? Sasa kina Bashe na kina rostam Kila siku tunawasema bure kumbe hakuna mwenye nchi yake,
Nakubaliana na wewe kuwa wasukuma Ndio Kabila lenye ukarimu kuzidi makabila yote Tanzania, na wanawake wao wanaweza kushika nafasi ya Kwanza kwa nidhamu pia
Hizo za ukarimu ni RECORD za wapi wana Jamvi? Mimi nimekaa huko kwao karibia kote kwa muda mrefu zaidi ya miaka 13 nataka niwaambie Record ya ukarimu mnayosema ni uongo labda nanyi ni wasukuma lkn Wasukuma wanaroho nzuri wakiwa nje ya Ardhi yao yaani wakiwa ugenini lkn wakiwa kwao wanaroho mbaya na kimsingi hawafai kuigwa.
NB. Nimeishi mwanza kisesa,misungwi,bariadi maswa na Tabora Mjini ndiko niliko soma O level.
 
Hizo za ukarimu ni RECORD za wapi wana Jamvi? Mimi nimekaa huko kwao karibia kote kwa muda mrefu zaidi ya miaka 13 nataka niwaambie Record ya ukarimu mnayosema ni uongo labda nanyi ni wasukuma lkn Wasukuma wanaroho nzuri wakiwa nje ya Ardhi yao yaani wakiwa ugenini lkn wakiwa kwao wanaroho mbaya na kimsingi hawafai kuigwa.
NB. Nimeishi mwanza kisesa,misungwi,bariadi maswa na Tabora Mjini ndiko niliko soma O level.
Kote huko ulikotaja sidhani kama ulikuwa unakutana na wasukuma wanaoongelewa kuwa wakarimu isipokuwa umekutana na wasumbwa, ntuzu people, wazinza, na wasumabhu. Kwa mgeni ataishia kumwita mnyamwezi au msumbwa ni msukuma hali si msukuma.
 
Wanyantuzu ni 0% kwa uaminifu na wao wanawakilisha kabila la wasukuma na maranyingi wanajiita wasukuma Original.
Hapa ndo mtu anatakiwa aelewe kabila la wasukuma ni kubwa kuliko mtu anavyoweza dhania na lina vijikabila vingi sana ndani yake ambavyo vina tabia za kwake tu tofauti na zile za wasukuma wanaopigiwa chapuo kila siku.
Kwa mfano ni hawa wanyantuzu huwezi wafananisha na wasukuma licha ya kupatikana kanda ile ile na hata kutokufautiana sana katika lugha (kisukuma). Wanyantuzi katika case ya mapenzi ni wafanyabiashara sawa na biashara zingine tu. Mnyantuzu akiona maisha yamempiga yuko ladhi kuhamia dakama (kusini kwa wanyamwezi/wadakama) na mkewe na akifika huko kila mmoja kivyake japokuwa mawasiliano ni kama kawaida. Ataishi huko huku mkewe akijilengesha kwa wanaume wamtongoze na hakatai, ole wako umtongoze atakubali fasta na kukukaribisha kwake ukalale. Ile unaingia tu na kuvua nguo zote mmewe anaibuka na watu wake wanakukamata ugoni na mke akihojiwa anakiri kulala na wewe hapo unagongwa faini ya nguvu ya ng'ombe lukuki. Ukishatoa tu ng'ombe jamaa anarudi kwao na mifugo "okwabha ushinhu".
Vile vile kwa asili ni wagawaji wazuri tu kama wahaya.
NB. Wasukuma original hawako kama wanyantuzu na wako poa sana katika mahusiano, ni wapole na wakarimu sijawahi ona katika nchi hii.
 
Hapa ndo mtu anatakiwa aekewe kabila la wasukuma ni kubwa kuliko mtu anavyoweza dhania na lina vijabila vingi sana ndani yake ambavyo vina tabia za kwake tu tofauti na zile za wasukuma wanaopigiwa chapuo kila siku.
Kwa mfano ni hawa wanyantuzu huwezi wafananisha na wa wasukuma licha ya kupatikana kanda ile ile na hata kutofautiana katika kisukuma. Wanyantuzi katika case ya mapenzi ni sawa na biashara zingine haramu. Mnyantuzu akiona maisha yamempiga yuko ladhi kuhamia dakama (kusini kwa wanyamwezi/wadakama) na mkewe na akifika huko kila mmoja kivyake japokuwa mawasiliano ni kama kawaida. Ataishi huko huku mkewe akilengesha kwa wanaume wamtongoze na hakatai, ole wako umtongoze atakubali fasta na kukukaribisha kwake ukalale. Ile unaingia tu na kuvua nguo zote mmewe anaibuka na watu wake wanakukamata ugoni na mke akihojiwa anakiri kulala na wewe hapo unagongwa faini ya nguvu ya ng'ombe lukuki. Ukishatoa tu ng'ombe jamaa anarudi kwao na mifugo "okwabha ushinhu".
Vile vile kwa asili ni wagawaji wazuri.
Wasukuma original hawako kama wanyantuzu na wako poa sana katika mahusiano, ni wapole na wakarimu sijawahi ona katika nchi hii.
ASANTE MKUU NIMEKUPATA VEMA.
 
Ukitakaka kuelewa vizuri tafuta mdau akufundishe pande kuu za dunia yaani kaskazini (sukuma), mashariki (kiya), kusini ( dakama) na magharibi (ng'weli). Baada hapo ukasome ramani ya mikoa ya Mwanza, Shinyanga, Tabora (zote kabla ya enzi za Kikwete) ukishaelewa fanya kama unakaa katikati ya kanda hii na litazame eneo lote kwa kutamka Sukuma (hawa ndo wasukuma), kiya (unapata wanakiya, wanyantuzu), dakama (wadakama/wanyamwezi), g'weli (bhanang'weli/wasumbwa lakini kwa hawa wasumbwa usisahau kwenda kuwasoma tena "nguni speaking people jinsi walivyotoka Afrika Kusini na kufika Tanzania na jinsi walivyogawanyika baada ya kufika Tanzania ili uelewe wasumbwa/bhanang'weli vizuri katika wilaya ya Bukombe au Kahama ya enzi zile)
NB. Haya makabila yanashea vingi sana katika mambo ya utamaduni na mila. In short they are like two families descending from the same man.
 
Hizo za ukarimu ni RECORD za wapi wana Jamvi? Mimi nimekaa huko kwao karibia kote kwa muda mrefu zaidi ya miaka 13 nataka niwaambie Record ya ukarimu mnayosema ni uongo labda nanyi ni wasukuma lkn Wasukuma wanaroho nzuri wakiwa nje ya Ardhi yao yaani wakiwa ugenini lkn wakiwa kwao wanaroho mbaya na kimsingi hawafai kuigwa.
NB. Nimeishi mwanza kisesa,misungwi,bariadi maswa na Tabora Mjini ndiko niliko soma O level.
Wasukuma linatokana na SUKUMA au fukuza. Hawa walifukuzwa toka Tabora na kuanza kutafuta pahala pa kuishi na ndoo maana ni waharibifu wa mazingira.
 
Back
Top Bottom