Uhusiano wa bia na kula tunda kimasihara

Habari za wakati huu wana JF.

Baada ya kupitia ule uzi pendwa wa kula tunda kimasihara nimegundua visa vingi vimejengeka katika mazingira yanayohusisha matumizi ya vilevi.

Hivi sababu ni nini? Je vilevi vinahamasisha ulaji wa tunda kimasihara?
Zote ni starehe halali
 
Mwaka 2018 nikiwa tunahitimisha mwak mbeya mjini pale Kuna jirani yangu aliniomba nimtoe kwa kuwa siku hyo Basha wake hakuepo kaenda kwa mkeo so demu Hana pakwenda na ukizingatia Hana pia hela nikaona isiwe tabu nitakuepo mbeya pazuri Soo mida mida ilivyo fika saa tatu demu akatimba akaniomba nimnunulie grants ile kubwa elf 35000 nikaona isiwe tabu kaipiga yote around saa sabA ikaisha

Tukarud mageton ebwana eeh alizitapika hyo grands siyo kwa kito.....mbo hcho
 
Hahaaa kumbe ndo wewe!

 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ kwahio ulimtomba demu wa mwanao!!! Kweli wahuni sio watu aisee
 
Duuh, nikinywa pombe lazima nishushe mzigo, hapo sasa linabakibsuala la nnashushia wapi...dash dash kama za mbowe
 
Hata kuzini pia imepigwa marufuku usiwazingie wanywaji tu
 
Nasikia wanaume wengine wakishalewa kila mwanamke anayepita mbele yake anamtaka kumlala?!

Wengine hadi ndugu wa damu wakishalewa Wote ke na me wanangonoka!

Ni hatari nyie?!
Wanawake hamuwezi kuelewa jambo hilo.
 
sir God anapiga marufuku lakini ndio kwanza inashamiri huyo jamaa dhaifu sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…