VMWare-Oracle
JF-Expert Member
- Dec 19, 2021
- 667
- 917
- Thread starter
- #41
Mke mwema atatoka kwa Mungu 🙏🏽Mzee kama kulea watoto ambao sio wako hilo linamkuta yoyote,,,,Wanawake wengi wamekuwa wa hovyo tu...omba usipate wa hovyo...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mke mwema atatoka kwa Mungu 🙏🏽Mzee kama kulea watoto ambao sio wako hilo linamkuta yoyote,,,,Wanawake wengi wamekuwa wa hovyo tu...omba usipate wa hovyo...
Mke mwema atatoka kwa Mungu 🙏🏽
Zote ni starehe halaliHabari za wakati huu wana JF.
Baada ya kupitia ule uzi pendwa wa kula tunda kimasihara nimegundua visa vingi vimejengeka katika mazingira yanayohusisha matumizi ya vilevi.
Hivi sababu ni nini? Je vilevi vinahamasisha ulaji wa tunda kimasihara?
Halali kivipi?Zote ni starehe halali
Zimehalalishwa tofauti na bangi, madawa ya kulevya gongo na ushogaHalali kivipi?
Hahaaa kumbe ndo wewe!Mwaka 2018 nikiwa tunahitimisha mwak mbeya mjini pale Kuna jirani yangu aliniomba nimtoe kwa kuwa siku hyo Basha wake hakuepo kaenda kwa mkeo so demu Hana pakwenda na ukizingatia Hana pia hela nikaona isiwe tabu nitakuepo mbeya pazuri Soo mida mida ilivyo fika saa tatu demu akatimba akaniomba nimnunulie grants ile kubwa elf 35000 nikaona isiwe tabu kaipiga yote around saa sabA ikaisha
Tukarud mageton ebwana eeh alizitapika hyo grands siyo kwa kito.....mbo hcho
😂😂😂😂😂😂😂 kwahio ulimtomba demu wa mwanao!!! Kweli wahuni sio watu aiseeMwaka 2018 nikiwa tunahitimisha mwak mbeya mjini pale Kuna jirani yangu aliniomba nimtoe kwa kuwa siku hyo Basha wake hakuepo kaenda kwa mkeo so demu Hana pakwenda na ukizingatia Hana pia hela nikaona isiwe tabu nitakuepo mbeya pazuri Soo mida mida ilivyo fika saa tatu demu akatimba akaniomba nimnunulie grants ile kubwa elf 35000 nikaona isiwe tabu kaipiga yote around saa sabA ikaisha
Tukarud mageton ebwana eeh alizitapika hyo grands siyo kwa kito.....mbo hcho
Sio rahis mzee pale ni kubutuana tuHivi huwa wanawazia matumizi ya kinga?
Hatari kubwa mnooNasikia wanaume wengine wakishalewa kila mwanamke anayepita mbele yake anamtaka kumlala?!
Wengine hadi ndugu wa damu wakishalewa Wote ke na me wanangonoka!
Ni hatari nyie?!
Hata kuzini pia imepigwa marufuku usiwazingie wanywaji tuUlevi siyo poa kabisa, kama ulimfanya Nabii Daudi kucheza akiwa uchi, we mwenzangu na miye unayeishi Matombo itakuwaje usifanye upuuzi kama huo?
Pia hata Ke na Me wote wamejikuta wakifanya uzinzi na uasherati bila ridhaa zao sababu ya pombe hiyo hiyo.
Ogopa sana kitu ambacho kimeshapigwa marufuku na Sir God, ni hatari sana kwa maisha yako.
Wanawake hamuwezi kuelewa jambo hilo.Nasikia wanaume wengine wakishalewa kila mwanamke anayepita mbele yake anamtaka kumlala?!
Wengine hadi ndugu wa damu wakishalewa Wote ke na me wanangonoka!
Ni hatari nyie?!
sir God anapiga marufuku lakini ndio kwanza inashamiri huyo jamaa dhaifu sanaUlevi siyo poa kabisa, kama ulimfanya Nabii Daudi kucheza akiwa uchi, we mwenzangu na miye unayeishi Matombo itakuwaje usifanye upuuzi kama huo?
Pia hata Ke na Me wote wamejikuta wakifanya uzinzi na uasherati bila ridhaa zao sababu ya pombe hiyo hiyo.
Ogopa sana kitu ambacho kimeshapigwa marufuku na Sir God, ni hatari sana kwa maisha yako.
Wahuni sio watu wazuri[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwahio ulimtomba demu wa mwanao!!! Kweli wahuni sio watu aisee