Uhusiano wa CHADEMA, Tundu Lissu na Ubelgiji: Kwanini Tundu Lissu alikimbia ubalozi wa Ujerumani?

Mkuu fanya kazi Uchaguzi ushakwishaaaa

Ova
 
Km kuna mtu amewahi kuokoa maisha ya watu wasifungwe, walipwe fidia kwa dhiluma walizofanyiwa, tena aliwatetea mamia ya wahanga bila kulipwa, bas Lissu ni no.1
Kwa kawaida,ikitokea shetani kuiogopa dhambi,huo utakuwa muujiza wa kipekee kabisa.
 
Barrick Acacia na Anglo gold wanabeba mabulungutu ya dhababu kwenda Ulaya kila mwisho wa mwezi toa maoni yako.
 
Ndo maana hujijui kama unaweza weka dhamana Rasilimali kupewa fedha ..hauna tofauti na chief Mangungo na ndo maana Ubelgiji wanataka wapumulia vizuri
 
Sijasoma ulichoandika, picha tu na heading nimejua kuwa wewe nu mwana CCM

Hivi vijana wa CCM hamuoni aibu? Mlichofanya hata shetani anajifunza, nadhani ingekuwa bora kama mnge keep low profile kwa wizi huo wa wazi wazi
 
Ndugu mleta mada unayajua mambo aliyowafanyia Adolf Hitler kwa taifa la wajerumani? Rejea historia kwanza halafu uje uandike mada yako.
 
Elimu kubwa uwezo kama darasa la Saba ""D""
 
Huna akili sasa unapewa huduma za jamii kwa kuweka bond madini sasa hapo ndio kugawa bure? Nyie mliowagawia wachina gas na mabeberu vitalu vya uwindaji wa kitalii nk nk mnajiweka kwenye kundi gani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…