Uhusiano wa Intelijensia na watu kama kina James Bond

Uhusiano wa Intelijensia na watu kama kina James Bond

C.T.U

JF-Expert Member
Joined
Jun 1, 2011
Posts
5,074
Reaction score
3,743
Wakuu habari zenu,

Mimi nikiwa sina kazi siku za wikiendi huwa napenda sana kwenda movie na vijana wangu juzi kati nilikuwa mmoja ya watu n waliokuwapo katika kuangalia movie mpya ya Skyfall iliyochezwa na James Bond kwa udhamini wa heineken movie ilikuwa ni nzuri ila katika kuangalia nikapata wazo ambalo kidogo nikaona sio haba kuja kushare na nyinyi hapa

Daniel Craig aliyecheza kama James Bond anaonekana anafuatilia hardware fulani ya siri na hiyo hardware inatumika katika ku hack system za mi6 na kuuwa baadhi ya agents wa mi6 nilipenda jinsi jamaa alivyokuwa anaunganisha upelelezi wake jamaa alikuwa yuko fiti katika vitu vifuatavyo anatumia systema as fighting combat style yake systema kwa wasiofahamu ni ni aina ya russia martial arts training includes but not limited to hand to hand combat, grappling, knife fighting and fire arms training as well.

Training involves drills and sparring without set kata

Pili ana 'iq' kubwa


pia ni mtaalamu wa computer, (naposema computer namaanisha ku hack sio kutumia microsoft words na kuingia facebook na jf)
magari na ni mtumiaji mzuri wa silaha bila kusahau gadgets mbali mbali anazotengenezewa na q.

Sasa swali langu ni hili;

Mi6 kama Mi6 naamini wana watu wa aina ya Bond people who do not exist ila wapo katika mi6 wanakuwa wanajulikana na watu wachache sana kama m, q na moneypenny. sawa ni movie ila ni movie iliyo reflect mazingira halisi ya mi6

suali langu ni kwamba je TISS inazalisha na kutengeneza watu kama bond watu ambao wako fiti katika kila kitu kuanzia uwezo wa kupigana , utumiaji wa silaha, iq na masuala ya gadgets ?

Tiss wana watu ambao they dont exist? Watu ambao kwa lugja ya kiiteligensia wanaitwa "ghosts"

watu ambao wako mbele katika kuhakikisha usalama wa nchi na mustakaballi wa nchi unalindwa


sidhani kama wapo (kwanini sidhani)

1.suala la epa "ghosts" walitakiwa wawe wamelijua since the first time sio linakuja kuibuliwa na wabunge
2. Wizi wa raslimali kama madini, twiga nk "ghosts" walitakiwa wawe na data zote na wawe wamelizuia siku nyingi sio kuja kuibuliwa na wanasiasa
3. Suala la rada n.k ni lazima wawe mstari wa mbele katika kulinda mustakaballi wa tiss kwani kitu kikiibuliwa na wabunge watu wataulizana tiss wako wapi??


Kama haipo iundwe
undeni "ghosts" people they dont exists
people who the dont have restrictions we know mna assasins but assasin sio "ghosts"

wenzenu wa marekani ana watu wanawaita "assets" hawa ndio kama ma ghosts wa mi6
 
TISS ilikuwa zamani enzi za Nyerere,siku hizi wamejazana ndugu watoto wa shangazi na mjomba hakuna uwajibikaji wapo kama hawapo,uwezo wao wa kukusanya taarifa ni mdogo.

Vijana wachapakazi wenye fani mbalimbali hawapewi nafasi.
 
TISS ilikuwa zamani enzi za Nyerere,siku hizi wamejazana ndugu watoto wa shangazi na mjomba hakuna uwajibikaji wapo kama hawapo,uwezo wao wa kukusanya taarifa ni mdogo.

Vijana wachapakazi wenye fani mbalimbali hawapewi nafasi.

ila si wa enzi zile ndio mabosi now au? kwanini wasiliendeleze gurudumu?
 
TISS nao ni binadamu kama sisi hata wakiwa na mafunzo mazuri sana lakini wakiachwa na njaa ule moyo wa kazi unapungua. Tunawafamu baadhi mbona ni njaa kali tu kama sisi, hivyo ni rahisi kununuliwa na mafisadi wa EPA na mengineyo.
 
Sitii neno maana zamani nilikuwa natamani sana kazi hii nikahangaika sana kwa nguvu nyingi mno lakini nilisikitika sana kuona ule mfumo wa enzi za mwalimu mtu anafuatwa na watu kutoka makao makuu ya usalama wa taifa mpaka kijijini kwake haupo tena.Siku hizi izi kazi ni za anaekujua ni nani hakuna ufanisi hata kidogo, kuna familia kuanzia mama mpaka wajukuu zake eti wote wapo usalama wa taifa sijui sasa kama kuna kazi hapo tena
 
TISS nao ni binadamu kama sisi hata wakiwa na mafunzo mazuri sana lakini wakiachwa na njaa ule moyo wa kazi unapungua. Tunawafamu baadhi mbona ni njaa kali tu kama sisi, hivyo ni rahisi kununuliwa na mafisadi wa EPA na mengineyo.

Ndio hicho nilichokuwa nakisema mkuu kuna tofauti kati ya "Ghosts" na agents wa kawaida kuanzia nyumba wanayopewa, magari wanayopewa na mishahara "Ghosts" au "Assets" ni tofauti sana na ma agents wa kawaida unaopishana nao barabarani na kunywa pombe na wanaovaa kaunda suti..
 
Ndio hicho nilichokuwa nakisema mkuu kuna tofauti kati ya "Ghosts" na agents wa kawaida kuanzia nyumba wanayopewa, magari wanayopewa na mishahara "Ghosts" au "Assets" ni tofauti sana na ma agents wa kawaida unaopishana nao barabarani na kunywa pombe na wanaovaa kaunda suti..

Ok ndugu, nilichogundua ni kwamba uelewa wangu mimi katika mpangilio au mikakati na migawanyo ya hao inteligents ni mdogo. Lakini bado ni maoni yangu kuwa walipwe vizuri iwe agents au ghosts
 
Umeenda vizuri ila kuna sehemu umechanganya madesa

Ghosts wapo hata Bongo

.......are you sure SIX wanatumia SYSTEMA?
 
Ok ndugu, nilichogundua ni kwamba uelewa wangu mimi katika mpangilio au mikakati na migawanyo ya hao inteligents ni mdogo. Lakini bado ni maoni yangu kuwa walipwe vizuri iwe agents au ghosts

Kweli mkuu nimekusoma
 
Ili ujue TISS inafanya kazi na uwezo mkubwa ni lazima ifanye unayotaka au kuyaona wewe ndo ujue kuwa wanauwezo mkubwa wa kutackle issues?!Tambua wale wanayoyafanya kwenye screen ili kukuonesha wewe ni minor technics na technology ktk ujasusi na sio wahusika wa agencies za ujasusi.....!!Ni kwamba kwetu vyombo nyetu vya kiusalama vianingiliwa na wanasiasa ktk utendaji wake...!Ukweli ni kwamba kuna kila aina ya watu wenye uwezo usioudhania wa hujawahi kuufikiria!
 
Ili ujue TISS inafanya kazi na uwezo mkubwa ni lazima ifanye unayotaka au kuyaona wewe ndo ujue kuwa wanauwezo mkubwa wa kutackle issues?!Tambua wale wanayoyafanya kwenye screen ili kukuonesha wewe ni minor technics na technology ktk ujasusi na sio wahusika wa agencies za ujasusi.....!!Ni kwamba kwetu vyombo nyetu vya kiusalama vianingiliwa na wanasiasa ktk utendaji wake...!Ukweli ni kwamba kuna kila aina ya watu wenye uwezo usioudhania wa hujawahi kuufikiria!

Mkuu kuna baadhi ya mambo yanatokea Tanzania hii tunaona na kujua kuwa hakuna "Ghosts" mna Agents tu wa kawaida
 
Mkuu kuna baadhi ya mambo yanatokea Tanzania hii tunaona na kujua kuwa hakuna "Ghosts" mna Agents tu wa kawaida
mambo yanayohusu usalama wa nchi hayawezi kuwa openi kama tuanavyojadili mkuu,Tambua kuwa serikali inamfumo wa usalama wa kuaminika vinginevyo tuwaachie wenyewe(wanausalama).
 
Wapo mkuu, tena wamefundwa zaidi ya uonapo movie hizo!

Unapoona tukio lolote la kifisadi au vyovyote vile limewafikia Chadema au mbunge yeyote jua kuwa limetokea TISS!

Hakuna kitu ndani ya nchi hii kinachoweza kutokea bila TISS kujua!

Tatizo ni watawala, TISS wakishamaliza uchunguzi unaoonyesha kuwa kuna tukio linakuja au lipo wao hupeleka file mahali husika huko ndiko hupewa amri na maelekezo ya nini wafanye!

Jidanganye kuwa hawapo ulijua jiji mkuu!

Tanzania ndio nchi inayoongoza kwakuwa na Usalama wa Taifa imara kuliko nchi yoyote Afrika!
 
Wapo mkuu, tena wamefundwa zaidi ya uonapo movie hizo!

Unapoona tukio lolote la kifisadi au vyovyote vile limewafikia Chadema au mbunge yeyote jua kuwa limetokea TISS!

Hakuna kitu ndani ya nchi hii kinachoweza kutokea bila TISS kujua!

Tatizo ni watawala, TISS wakishamaliza uchunguzi unaoonyesha kuwa kuna tukio linakuja au lipo wao hupeleka file mahali husika huko ndiko hupewa amri na maelekezo ya nini wafanye!

Jidanganye kuwa hawapo ulijua jiji mkuu!

Tanzania ndio nchi inayoongoza kwakuwa na Usalama wa Taifa imara kuliko nchi yoyote Afrika!

Hapa kidogo mkuu nimeanza kukuelewa
 
Back
Top Bottom