C.T.U
JF-Expert Member
- Jun 1, 2011
- 5,074
- 3,743
Wakuu habari zenu,
Mimi nikiwa sina kazi siku za wikiendi huwa napenda sana kwenda movie na vijana wangu juzi kati nilikuwa mmoja ya watu n waliokuwapo katika kuangalia movie mpya ya Skyfall iliyochezwa na James Bond kwa udhamini wa heineken movie ilikuwa ni nzuri ila katika kuangalia nikapata wazo ambalo kidogo nikaona sio haba kuja kushare na nyinyi hapa
Daniel Craig aliyecheza kama James Bond anaonekana anafuatilia hardware fulani ya siri na hiyo hardware inatumika katika ku hack system za mi6 na kuuwa baadhi ya agents wa mi6 nilipenda jinsi jamaa alivyokuwa anaunganisha upelelezi wake jamaa alikuwa yuko fiti katika vitu vifuatavyo anatumia systema as fighting combat style yake systema kwa wasiofahamu ni ni aina ya russia martial arts training includes but not limited to hand to hand combat, grappling, knife fighting and fire arms training as well.
Training involves drills and sparring without set kata
Pili ana 'iq' kubwa
pia ni mtaalamu wa computer, (naposema computer namaanisha ku hack sio kutumia microsoft words na kuingia facebook na jf)
magari na ni mtumiaji mzuri wa silaha bila kusahau gadgets mbali mbali anazotengenezewa na q.
Sasa swali langu ni hili;
Mi6 kama Mi6 naamini wana watu wa aina ya Bond people who do not exist ila wapo katika mi6 wanakuwa wanajulikana na watu wachache sana kama m, q na moneypenny. sawa ni movie ila ni movie iliyo reflect mazingira halisi ya mi6
suali langu ni kwamba je TISS inazalisha na kutengeneza watu kama bond watu ambao wako fiti katika kila kitu kuanzia uwezo wa kupigana , utumiaji wa silaha, iq na masuala ya gadgets ?
Tiss wana watu ambao they dont exist? Watu ambao kwa lugja ya kiiteligensia wanaitwa "ghosts"
watu ambao wako mbele katika kuhakikisha usalama wa nchi na mustakaballi wa nchi unalindwa
sidhani kama wapo (kwanini sidhani)
1.suala la epa "ghosts" walitakiwa wawe wamelijua since the first time sio linakuja kuibuliwa na wabunge
2. Wizi wa raslimali kama madini, twiga nk "ghosts" walitakiwa wawe na data zote na wawe wamelizuia siku nyingi sio kuja kuibuliwa na wanasiasa
3. Suala la rada n.k ni lazima wawe mstari wa mbele katika kulinda mustakaballi wa tiss kwani kitu kikiibuliwa na wabunge watu wataulizana tiss wako wapi??
Kama haipo iundwe
undeni "ghosts" people they dont exists
people who the dont have restrictions we know mna assasins but assasin sio "ghosts"
wenzenu wa marekani ana watu wanawaita "assets" hawa ndio kama ma ghosts wa mi6
Mimi nikiwa sina kazi siku za wikiendi huwa napenda sana kwenda movie na vijana wangu juzi kati nilikuwa mmoja ya watu n waliokuwapo katika kuangalia movie mpya ya Skyfall iliyochezwa na James Bond kwa udhamini wa heineken movie ilikuwa ni nzuri ila katika kuangalia nikapata wazo ambalo kidogo nikaona sio haba kuja kushare na nyinyi hapa
Daniel Craig aliyecheza kama James Bond anaonekana anafuatilia hardware fulani ya siri na hiyo hardware inatumika katika ku hack system za mi6 na kuuwa baadhi ya agents wa mi6 nilipenda jinsi jamaa alivyokuwa anaunganisha upelelezi wake jamaa alikuwa yuko fiti katika vitu vifuatavyo anatumia systema as fighting combat style yake systema kwa wasiofahamu ni ni aina ya russia martial arts training includes but not limited to hand to hand combat, grappling, knife fighting and fire arms training as well.
Training involves drills and sparring without set kata
Pili ana 'iq' kubwa
pia ni mtaalamu wa computer, (naposema computer namaanisha ku hack sio kutumia microsoft words na kuingia facebook na jf)
magari na ni mtumiaji mzuri wa silaha bila kusahau gadgets mbali mbali anazotengenezewa na q.
Sasa swali langu ni hili;
Mi6 kama Mi6 naamini wana watu wa aina ya Bond people who do not exist ila wapo katika mi6 wanakuwa wanajulikana na watu wachache sana kama m, q na moneypenny. sawa ni movie ila ni movie iliyo reflect mazingira halisi ya mi6
suali langu ni kwamba je TISS inazalisha na kutengeneza watu kama bond watu ambao wako fiti katika kila kitu kuanzia uwezo wa kupigana , utumiaji wa silaha, iq na masuala ya gadgets ?
Tiss wana watu ambao they dont exist? Watu ambao kwa lugja ya kiiteligensia wanaitwa "ghosts"
watu ambao wako mbele katika kuhakikisha usalama wa nchi na mustakaballi wa nchi unalindwa
sidhani kama wapo (kwanini sidhani)
1.suala la epa "ghosts" walitakiwa wawe wamelijua since the first time sio linakuja kuibuliwa na wabunge
2. Wizi wa raslimali kama madini, twiga nk "ghosts" walitakiwa wawe na data zote na wawe wamelizuia siku nyingi sio kuja kuibuliwa na wanasiasa
3. Suala la rada n.k ni lazima wawe mstari wa mbele katika kulinda mustakaballi wa tiss kwani kitu kikiibuliwa na wabunge watu wataulizana tiss wako wapi??
Kama haipo iundwe
undeni "ghosts" people they dont exists
people who the dont have restrictions we know mna assasins but assasin sio "ghosts"
wenzenu wa marekani ana watu wanawaita "assets" hawa ndio kama ma ghosts wa mi6