inapopiga twanga ndio huwa nasikiliza wanaotaka kuangusha system:becky::becky::becky::becky::majani7::majani7::majani7:
TrojaN
kama ukisoma post yangu vizuri utaelewa ila kwa ufafanuzi zaidi ni hivi
agent wa kawaida au officer ni yule mfanyakazi wa secret agency yeyote ambaye kapata mafunzo yote as agent na anajulikana na timu nzima ya agency na anakuwa na id ambayo iko kwenye database ya agency mfano agent trojan mwenye id namba 52684 ambapo wewe agent as agent unakuwa unafanya kazi ambazo unapangiwa na department yako na unakuwa ume specialise katika kazi stahiki ya department hiyo
mfano wewe ni IT basi utakuwa katika agency hiyo umeajiriwa katika department ya it na kazi yako itakuwa ni It na utakuwa ni mtata sana katika maeneo hayo, kama wewe ni udereva basi utaspecialise katika udereva na utakuwa ni mtata sana kwenye udereva, kama ni upelelezi basi wewe ni mtata kwenye upelelezi, muajiriwa wa agency katika sekta ya upelelezi na kazi yako ni kufuatana na taratibu na sheria pamoja na policy za agency na details zako zote zitakuwa ndani ya agency na sawa watu wengine wanaweza wasikujue ila ni lazima utajulikana na ma agent wenzako wa pale pale kwenye agency kwani aina ya magari unayotumia yatakuwa ya ofisini, (yanayojulikana) hapa kwetu zamani ilikuwa pajero sasa hivi ni nissan na rav 4, u.s ni gmc na chevroret , aina ya uvaaji (suti za kaunda suti)
GHOSTS
hawa ni aina ya ma agents ambao kwanza wamepitia mafunzo yote ambayo hawa ma agent wote wamepitia
ILA mafunzo yao yanakuwa ni tofauti kuanzia na recruitment hawa base wanayotumia katika mafunzo ni tofauti sio sawa na hawa ma agent wa kawaida (base ambayo it doesnt exist)
budget yao hawa majamaa katika mafunzo sio bajeti ya kitoto
salary zao nyumba zao wanazokaa na magari wanaoendesha sio ya kitoto hata bosi wa department zingine za agency hizo hawafikii
wako under the departmnet which it doesnt exist
sio kila mtu wa ndani ya agency anaijui department ambayo hawa ghosts wako ambao kwa marekani wanaitwa (ASSETS)
hii ni list ambayo inaweza jua existence ya GHOST/ASSETS
president, mkuu wa agency, mkuu wa department ya ghosts na
shadows pamoja na real Ghosts
shadows ni akina nani?
shadows ni ma agent ambao wanampa support Ghosts katika kufanikisha mission zake katika sekta ya usafiri, It, pesa, na accomodation
hawa wahajuani na Ghosts na ghosts hawawajui shadows arrangement inafanywa na department ya Ghost mfano narudia tena huu ni mfano tu
Ghost anatakiwa akafanye mission kigoma anaambiwa atoke mjini kariakoo (ofisi yake ilipo) mpaka mbezi pale mbezi atakutana na shadow anampa gari na funguo likiwa na mafuta anamwambia atapandia ndege arusha so anaendesha gari mpaka arusha akifika arusha atakutana na shadow huyu ndio anayempa tiketi ya ndege usishangae shadow akawa ni mfanyakazi wa ndege(mjaza mafuta) ataenda mpaka kigoma kule atafika kwenye hoteli ambayo imeshalipiwa kila kitu aliyelipa anaweza kuwa ni mwanamke na atajifanya kuwa yule ghost ni mpenzi wake na watalala wote chumba kile na watafanya mapenzi (yule mwanamke ni shadow) kesho watatoka hotelini wataenda kwenye mission wanaweza ingia kwenye mission as couples (ghost na shadow) shadow anakuwa kama ni backup ya ghost katika mission
watafanya mission yao ambayo inaweza kuwa aidha ni kukusanya data, au ni ku attack au ku defence inategemea na mission
hii mission agency inakuwa haijui chochote ila iko chini ya department ya Ghosts
Raisi, mkuu wa idara na mkuu wa agency na Ghosts na shadows tu ndio wanaojua hii inshu
ma agent wengine wanaweza wakawa hawajui chochote kinachoendelea na hawajui kuwa kuna hii department katika agency yao hata makamu wa raisi mwenyewe anakuwa hajui
na hiyo ndio tofauti kati ya ma agent na ghosts