Uhusiano wa Intelijensia na watu kama kina James Bond

Uhusiano wa Intelijensia na watu kama kina James Bond

Hapa kidogo mkuu nimeanza kukuelewa

mi bado sijakubaliana na yericko, kama Tiss wapo kweli basi na kazi zao zionekana angalia tu kikwete akiwa mikononi mwa tss amekumbwa na majanga mangapi?? hata la mafuta ya kuchakachua walishindwa kuzuia, la dr ulimboka kama angelifanya tiss aliyekamilika hata nyayo zisingeonekana lakini amejulikana kuanzia jina mpaka kijiji alichozaliwa sasa ukiniambi tuna tiss labda tissccm
 
TISS wa Tz wapo kuprotect political interest za hao wa MH mnaowasifiakuwa ndio wafumbua mambo
 
TISS infanya kazi tatizo kubwa ni pale siasa ilipojipenyeza kwenye idara hii.wanasiasa wanaharibu kabisa.
 
Sio kwamba tiss ni ghost,sema kama wakifanya unavyotaka ww kwa kila kitu kiwe kinatangazwa si mwanzo wa kuvuruga aman
 
Wakuu habari zenu,

Mimi nikiwa sina kazi siku za wikiendi huwa napenda sana kwenda movie na vijana wangu juzi kati nilikuwa mmoja ya watu n waliokuwapo katika kuangalia movie mpya ya Skyfall iliyochezwa na James Bond kwa udhamini wa heineken movie ilikuwa ni nzuri ila katika kuangalia nikapata wazo ambalo kidogo nikaona sio haba kuja kushare na nyinyi hapa

Daniel Craig aliyecheza kama James Bond anaonekana anafuatilia hardware fulani ya siri na hiyo hardware inatumika katika ku hack system za mi6 na kuuwa baadhi ya agents wa mi6 nilipenda jinsi jamaa alivyokuwa anaunganisha upelelezi wake jamaa alikuwa yuko fiti katika vitu vifuatavyo anatumia systema as fighting combat style yake systema kwa wasiofahamu ni ni aina ya russia martial arts training includes but not limited to hand to hand combat, grappling, knife fighting and fire arms training as well.

Training involves drills and sparring without set kata

Pili ana 'iq' kubwa


pia ni mtaalamu wa computer, (naposema computer namaanisha ku hack sio kutumia microsoft words na kuingia facebook na jf)
magari na ni mtumiaji mzuri wa silaha bila kusahau gadgets mbali mbali anazotengenezewa na q.

Sasa swali langu ni hili;

Mi6 kama Mi6 naamini wana watu wa aina ya Bond people who do not exist ila wapo katika mi6 wanakuwa wanajulikana na watu wachache sana kama m, q na moneypenny. sawa ni movie ila ni movie iliyo reflect mazingira halisi ya mi6

suali langu ni kwamba je TISS inazalisha na kutengeneza watu kama bond watu ambao wako fiti katika kila kitu kuanzia uwezo wa kupigana , utumiaji wa silaha, iq na masuala ya gadgets ?

Tiss wana watu ambao they dont exist? Watu ambao kwa lugja ya kiiteligensia wanaitwa "ghosts"

watu ambao wako mbele katika kuhakikisha usalama wa nchi na mustakaballi wa nchi unalindwa


sidhani kama wapo (kwanini sidhani)

1.suala la epa "ghosts" walitakiwa wawe wamelijua since the first time sio linakuja kuibuliwa na wabunge
2. Wizi wa raslimali kama madini, twiga nk "ghosts" walitakiwa wawe na data zote na wawe wamelizuia siku nyingi sio kuja kuibuliwa na wanasiasa
3. Suala la rada n.k ni lazima wawe mstari wa mbele katika kulinda mustakaballi wa tiss kwani kitu kikiibuliwa na wabunge watu wataulizana tiss wako wapi??


Kama haipo iundwe
undeni "ghosts" people they dont exists
people who the dont have restrictions we know mna assasins but assasin sio "ghosts"

wenzenu wa marekani ana watu wanawaita "assets" hawa ndio kama ma ghosts wa mi6

Rama! HUYU anaweza kawa mfano wa huyo 'gosti' unaemsema.
 
Ha, ha, ha !!!!!!!1 wakuu mnavyochangia mada mtaafikiri sio Watanzania. Kama ndio mmesahau kuwa mlinda nchi ni mwananchi sio TISS pekee.
 
nisinge penda kuingilia kwa undani hii fani ya ushushu, nijikite kwenye mfumo wa kiutendaji.napingana na wanao sifia utendaji wa TISS, tutumie logic kufanya simple analysis.

1. Tanzania ni miongoni mwa nchi masikini sana duniani ingawa ina rasilimali nyingi.umasikini unatokana na ubovu wa mifumo mbali mbali ya uwendeshaji wa nchi, kama siasa na utawala,elimu afya,biashara na rasilimali, usalama(TISS) kwa hiyo umasikini wetu una uhusiano wa karibu kabisa na utendaji mbovu wa TISS, haiwezekani nchi ikawa ya mwisho duniani kwa umasikini alafu ikawa ya kwanza kwa inteligensia, inteligensia isiyoweza kuondoa umasikini haina umuhimu ni inteligensia ya majungu na umbea tu. nani anatembea na mke wa nani??.ankunywa bia ngapi baa??. hawana kitu hawa.. kama wanabisha waje mtaani tuwawape shule

2.inteligensia yetu kwa takribani miongo mitatu imejikita zaidi kenye mambo ya umbea na fitna na hujuma za kisiasa tu. kama nadanganya waje hapa watuambie ni lipe jema kwa nchii hii wamelifanya.wao kila kukicha ni kuhangaika na wapinzani wa serilali dhaifu na dhalimu tu. kuonyesha kuwa hawako makini angalia walicho mfanyia DK.ulimboka na Saidi kubenea

3.wakati wa awamu ya Mwalimu, tulikuwa na malengo tofauti na sasa hivi, kwanza kwa kuwa ndo tulikuwa tumepata uhuru kazi ya msingi ya TISS ya wakati huo ilikuwa ni kuimarisha mamlaka na madaraka ya taasisi ya utawala(Raisi) pili ikuwa ni kulinda uhuru na kuleta ukombozi kwa nchi za kiafrika, tatu kulinda falsafa iliyokuwa iliyokuwa inaongoza uchumi na siasa ya wakati ule "siasa ya ujamaa na kujitegemea" baada ya mageuzi ya kisiasa mwanzo mwa miaka ya 90 tulitakiwa kuifanyia mabadiliko makubwa ya kimfumo taaasisi ta usalama wa taifa,wao ndo walitakiwa washinikize mabadiliko, walitegemea wanasiasa ?? kama kweli ni intelligent, vinginevyo nao ni wananufaika na uafisadi tu.wameitelekeza taaluma yao. eti siku hizi na wao wanalamika. wanasahau kuwa wana nafasi kubwa ya kushinikiza mabadilko kuliko hata wabunge

3.tuige mfumo wa wenzetu wa wamarekani, twaweza boresha kulingana na mazingira yetu,tuigawanye taasisi katika idara tatu
a)secret service itayo husika na ulinzi wa raisi, makamu na waziri mkuu wa nchi na famila zao
b)upelelezi-itahusika na mambo ya criminal investigations na mengine mtaongeza wenye fani
c)ujasusi-usalama wa nje na ndani ya nchi, uchumi,siasa,utamaduni,utawala nakadhalika. hii idara itahisika kuangalia na kushauri usalama wa nchi, kiuchumi ,kisiasa na kiutmaduni

wao kama ni inteligent walitakiwa wawe wameyaona kabla, waforesee miaka 100 ijayo tunawategemea wao kwanza sisi baadaye,wafanye kazi zao ndo maana tumewapa kila kitu, haina maana sisi tuache kufundisha, au kutibu watu tuje kuwaambia cha kufanya

PAKISTAN VS USA USA IMEIACHA MBALI SANA PAKISTAN ILA UNAAMBIWA ISI YA PAKISTAN NDIO BEST INTELLIGENCE AGENCY IN THE WORLD


[h=1]Top 10 Best Intelligence Agencies In The World 2013[/h]
Every country in the world has secret intelligence agencies for the protection its people and to gather important secret information which can impact their interest. Intelligence agencies are a symbol of country’s defence strength and power. They are, in fact, arm of government.
Today, he have featured top 10 best intelligence agencies of the world which are ruling the world. People working in these agencies are called ‘agents’, and they are loyal devoted people with impressive personality . You have seen many Hollywood movies about secret agents such as Mission: Impossible and James Bond series. These are real people who are spread all over the world to gather secret intelligence and perform several operation for their country economy, prosperity and defense.
Here goes the list of top 10 best intelligence agencies in the world:-
[h=2][/h][h=2]10. Mossad, Israel[/h]Mossad, Israel

Mossad is the national intelligence agency of Israel. It is one of the world’s best and top-secret intelligence agencies. Mossad was formed in 1949 and its main objectives are intelligence collection, covert operations, and counter-terrorism. Main focus of this organization is on Arab nations and organizations. Mossad has total eight departments, each of them performing special duties assigned to them. It protects Israel from terrorist and criminal acts and work for peace and defence of the country.
[h=2]9. MSS, China[/h]MSS China

Ministry of State Security is the main intelligence agency of China. The organization was created in 1983. It is responsible for foreign intelligence and counterintelligence operations. MSS is believed to be one of the strongest and largest intelligence agencies in the world.
[h=2]8. RAW, India[/h]RAW, India

Research and Analysis Wing is India’s independent intelligence agency formed in 1968. It is headquartered in New Delhi. The agency collect intelligence and information about foreign government, organization and criminals, provide information to India policymakers and protect country from terrorism. It is also responsible for security of India’s nuclear program.
[h=2]7. ASIS, Australia[/h]ASIS, Australia

Australian Secret Intelligence Service is considered on of the best . It was established in 1952 and has headquarters in Canberra. The main objectives of the agency are to collect secret intelligence & information, analyse activities of other enemy countries and organized criminals and take action for the security and safety of the nation.
[h=2]6. DGSE, France[/h]DGSE, France

General Directorate for External Securityis regarded as one of the most powerful security agencies. It was formed in 1982 to serve as external intelligence agency for the Government of France. It works under French Ministry of Defence. The organization gain information, defend its people and prevent terrorist activities in the country.

[h=2]5. BND, Germany[/h]BND, Germany

Bundesnachrichtendienst is federal intelligence agency of Germany. Created in 1956, it is one of the best and well-organized intelligence agencies in the world. Its headquarters are situated in Pullach near Munich. The main responsibility of BND is to gather intelligence data, detect threats and inform the German Government about terrorist and criminal activities and to safeguard their people.
[h=2]4. FSB, Russia[/h]FSB, Russia

Federal Security Service is one of the world’s best intelligence agencies. It is main security agency of Russia and was formed in 1995. The main goals of FSB is to collect information, defend and fight with terrorist and ensure country’s security.Its main office is in Lubyanka Square, Downtown Moscow. It employs more than 250K uniformed staff, special agents and guards.
[h=2]3. MI6, UK[/h]MI6, United Kingdom


Formed in 1909, Secret Intelligence Service is UK’s intelligence agency. It has an impressive headquarter, called SIS Building, in Vauxhall Cross, London. The organization works with the Joint Intelligence Committee, the internal Security Service, the Government Communications Headquarters and the Defence Intelligence, and provide foreign intelligence and secret information about other countries and organizations to Government of United Kingdom.
[h=2]2. CIA, United States[/h]CIA, United States

Central Intelligence Agency is independent secret intelligence agency of United States working under commands of Director of National Intelligence. It was created in 1947 by President Harry S. Truman. The organization is divided into four other departments including the Directorate of Support, the Directorate of Intelligence, the Directorate of Science and Technology and the National Clandestine Service. The organization collects data and insights of different foreign organizations, governments and individuals for the US President and policymakers so that they can analyse and take proper action to ensure security and safety of people of America.
[h=2]1. ISI, Pakistan[/h]ISI, Pakistan

Inter Services Intelligence is the world’s best and strongest intelligence agency as ranked by American Crime News. It is the most notable intelligence agency of Pakistan. ISI was formed in 1948 as an independent unit to protect the nation and strengthen military services. Its headquarter is located at Shahrah-e-Soharwardi in Islamabad, the capital of Pakistan and Lt Gen Ahmad Shuja Pasha is its director. The organization works under a predefined constitutional and legal frame-work.
The agency has played important role in successful operations of Afghan, Siachin, Kargil War and Kashmir Front operation. ISI objectives are to gather intelligence data, strengthen country’s security and military forces, and to safeguard the nation from domestic and foreign enemy and terrorists threats.
If you find this article interesting and useful, share it with your friends.
Don’t forget to share your thoughts. Leave comment and let’s know about them.
 
Wakuu habari zenu,

Mimi nikiwa sina kazi siku za wikiendi huwa napenda sana kwenda movie na vijana wangu juzi kati nilikuwa mmoja ya watu n waliokuwapo katika kuangalia movie mpya ya Skyfall iliyochezwa na James Bond kwa udhamini wa heineken movie ilikuwa ni nzuri ila katika kuangalia nikapata wazo ambalo kidogo nikaona sio haba kuja kushare na nyinyi hapa

Daniel Craig aliyecheza kama James Bond anaonekana anafuatilia hardware fulani ya siri na hiyo hardware inatumika katika ku hack system za mi6 na kuuwa baadhi ya agents wa mi6 nilipenda jinsi jamaa alivyokuwa anaunganisha upelelezi wake jamaa alikuwa yuko fiti katika vitu vifuatavyo anatumia systema as fighting combat style yake systema kwa wasiofahamu ni ni aina ya russia martial arts training includes but not limited to hand to hand combat, grappling, knife fighting and fire arms training as well.

Training involves drills and sparring without set kata

Pili ana 'iq' kubwa


pia ni mtaalamu wa computer, (naposema computer namaanisha ku hack sio kutumia microsoft words na kuingia facebook na jf)
magari na ni mtumiaji mzuri wa silaha bila kusahau gadgets mbali mbali anazotengenezewa na q.

Sasa swali langu ni hili;

Mi6 kama Mi6 naamini wana watu wa aina ya Bond people who do not exist ila wapo katika mi6 wanakuwa wanajulikana na watu wachache sana kama m, q na moneypenny. sawa ni movie ila ni movie iliyo reflect mazingira halisi ya mi6

suali langu ni kwamba je TISS inazalisha na kutengeneza watu kama bond watu ambao wako fiti katika kila kitu kuanzia uwezo wa kupigana , utumiaji wa silaha, iq na masuala ya gadgets ?

Tiss wana watu ambao they dont exist? Watu ambao kwa lugja ya kiiteligensia wanaitwa "ghosts"

watu ambao wako mbele katika kuhakikisha usalama wa nchi na mustakaballi wa nchi unalindwa


sidhani kama wapo (kwanini sidhani)

1.suala la epa "ghosts" walitakiwa wawe wamelijua since the first time sio linakuja kuibuliwa na wabunge
2. Wizi wa raslimali kama madini, twiga nk "ghosts" walitakiwa wawe na data zote na wawe wamelizuia siku nyingi sio kuja kuibuliwa na wanasiasa
3. Suala la rada n.k ni lazima wawe mstari wa mbele katika kulinda mustakaballi wa tiss kwani kitu kikiibuliwa na wabunge watu wataulizana tiss wako wapi??


Kama haipo iundwe
undeni "ghosts" people they dont exists
people who the dont have restrictions we know mna assasins but assasin sio "ghosts"

wenzenu wa marekani ana watu wanawaita "assets" hawa ndio kama ma ghosts wa mi6

naunga mkono hoja.
 
Wapo mkuu, tena wamefundwa zaidi ya uonapo movie hizo!

Unapoona tukio lolote la kifisadi au vyovyote vile limewafikia Chadema au mbunge yeyote jua kuwa limetokea TISS!

Hakuna kitu ndani ya nchi hii kinachoweza kutokea bila TISS kujua!

Tatizo ni watawala, TISS wakishamaliza uchunguzi unaoonyesha kuwa kuna tukio linakuja au lipo wao hupeleka file mahali husika huko ndiko hupewa amri na maelekezo ya nini wafanye!

Jidanganye kuwa hawapo ulijua jiji mkuu!

Tanzania ndio nchi inayoongoza kwakuwa na Usalama wa Taifa imara kuliko nchi yoyote Afrika!

Yericko Nyerere kumbe unalifahamu hilo, saaafi kijana e nenda kwa amani ya bwana e nenda ukawahubirie na wenzako.
 
Last edited by a moderator:
ngudu, TISS hawajafundwa kokote, ni mbovu kulko zote afrika, kwa mfano issue ya ULI, kama mtu anakwenda kum-assasinate mtu halafu katika zoezi hilo anatumia simu kumpigia mhusika na rekodi zote za sms zinabaki kwenye simu, then intelligence ipo wapi, walishindwa kuwa na special access kwenye mitanao ya simu ili kufanya shughuli zao bila kujulikana?

TISS ipo chini ya ofisi ya rais , kitengo cha utawala bora, unategeme kuwa na GHOST agent wakati una ma-assisin uchwara?

cerengeti ndio ujiulize na utambue kwamba TISS ni zaidi ya uijuavyo, wale jamaa hawaachi trace na endapo ukiona trace ujue fika tukio hilo halijafanywa na TISS
...we unafikir ni wapumbavu kiasi gani kuacha sijui sms na vinginevyo vitakavyo waumbua
....nimegundua kitu kutoka kwako kwamba we ni mweeeupeee mno kwenye issue za intelligence, na unapenda kufata mkumbo wa story za mtaani na wana siasa. zisome post za mjuu wa jk bwana
Yericko Nyerere anajitahidi .
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom