The Don
JF-Expert Member
- Dec 2, 2011
- 3,499
- 1,170
Mbali na wale trained,kuna waliozaliwa na hicho kipaji kwani inaweza kusimama kama kazi na kipaji pia,ingekua wanachukua zaidi wa vipaji wakafundishwa hakika tungetisha katika swala la usalama,tatizo wengi wanabebwa matokeo yake ni kujinadi kwa watu hatimae siri nyingi kufichuka