Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uimara wa TISS unakuja katika dhana na sera yake ya kimgawanyo, yaani mpaka vijijini kuna mawakala wa TISS!
Rejea simulizi za jaribio la kutaka kuangusha serikali ya Mwalimu Nyerere!
Ipo hapa thread itafute!
ngudu, TISS hawajafundwa kokote, ni mbovu kulko zote afrika, kwa mfano issue ya ULI, kama mtu anakwenda kum-assasinate mtu halafu katika zoezi hilo anatumia simu kumpigia mhusika na rekodi zote za sms zinabaki kwenye simu, then intelligence ipo wapi, walishindwa kuwa na special access kwenye mitanao ya simu ili kufanya shughuli zao bila kujulikana?
TISS ipo chini ya ofisi ya rais , kitengo cha utawala bora, unategeme kuwa na GHOST agent wakati una ma-assisin uchwara?
Hivi mnaoongelea usalama wa taifa wa Tanzania mnaufahamu au hisia tu. Maana sioni mtu anayetoa point ya maana. Kila mmoja anahisi hisi tuuuu. eti enzi za...
Waacheni usalama wa taifa wafanye kazi zao. Nyie tulieni mlindwe.
Wanapata mafunzo mbali mbali duniani.
Na ifahamike Tanzania iko duniani haipo kwenye sayari nyingine.
kwa hilo hata mimi sikubishi mkuu,ila ability yao ktk ku-tackle issues zinazohusiana na usalama wa nchi kwa ujumla ni mdogo.correct me if i'm wrong.Wapo mkuu, tena wamefundwa zaidi ya uonapo movie hizo!
Unapoona tukio lolote la kifisadi au vyovyote vile limewafikia Chadema au mbunge yeyote jua kuwa limetokea TISS!
Hakuna kitu ndani ya nchi hii kinachoweza kutokea bila TISS kujua!
Tatizo ni watawala, TISS wakishamaliza uchunguzi unaoonyesha kuwa kuna tukio linakuja au lipo wao hupeleka file mahali husika huko ndiko hupewa amri na maelekezo ya nini wafanye!
Jidanganye kuwa hawapo ulijua jiji mkuu!
Tanzania ndio nchi inayoongoza kwakuwa na Usalama wa Taifa imara kuliko nchi yoyote Afrika!
TrojaN
kama ukisoma post yangu vizuri utaelewa ila kwa ufafanuzi zaidi ni hivi
agent wa kawaida au officer ni yule mfanyakazi wa secret agency yeyote ambaye kapata mafunzo yote as agent na anajulikana na timu nzima ya agency na anakuwa na id ambayo iko kwenye database ya agency mfano agent trojan mwenye id namba 52684 ambapo wewe agent as agent unakuwa unafanya kazi ambazo unapangiwa na department yako na unakuwa ume specialise katika kazi stahiki ya department hiyo
mfano wewe ni IT basi utakuwa katika agency hiyo umeajiriwa katika department ya it na kazi yako itakuwa ni It na utakuwa ni mtata sana katika maeneo hayo, kama wewe ni udereva basi utaspecialise katika udereva na utakuwa ni mtata sana kwenye udereva, kama ni upelelezi basi wewe ni mtata kwenye upelelezi, muajiriwa wa agency katika sekta ya upelelezi na kazi yako ni kufuatana na taratibu na sheria pamoja na policy za agency na details zako zote zitakuwa ndani ya agency na sawa watu wengine wanaweza wasikujue ila ni lazima utajulikana na ma agent wenzako wa pale pale kwenye agency kwani aina ya magari unayotumia yatakuwa ya ofisini, (yanayojulikana) hapa kwetu zamani ilikuwa pajero sasa hivi ni nissan na rav 4, u.s ni gmc na chevroret , aina ya uvaaji (suti za kaunda suti)
GHOSTS
hawa ni aina ya ma agents ambao kwanza wamepitia mafunzo yote ambayo hawa ma agent wote wamepitia
ILA mafunzo yao yanakuwa ni tofauti kuanzia na recruitment hawa base wanayotumia katika mafunzo ni tofauti sio sawa na hawa ma agent wa kawaida (base ambayo it doesnt exist)
budget yao hawa majamaa katika mafunzo sio bajeti ya kitoto
salary zao nyumba zao wanazokaa na magari wanaoendesha sio ya kitoto hata bosi wa department zingine za agency hizo hawafikii
wako under the departmnet which it doesnt exist
sio kila mtu wa ndani ya agency anaijui department ambayo hawa ghosts wako ambao kwa marekani wanaitwa (ASSETS)
hii ni list ambayo inaweza jua existence ya GHOST/ASSETS
president, mkuu wa agency, mkuu wa department ya ghosts na shadows pamoja na real Ghosts
shadows ni akina nani?
shadows ni ma agent ambao wanampa support Ghosts katika kufanikisha mission zake katika sekta ya usafiri, It, pesa, na accomodation
hawa wahajuani na Ghosts na ghosts hawawajui shadows arrangement inafanywa na department ya Ghost mfano narudia tena huu ni mfano tu
Ghost anatakiwa akafanye mission kigoma anaambiwa atoke mjini kariakoo (ofisi yake ilipo) mpaka mbezi pale mbezi atakutana na shadow anampa gari na funguo likiwa na mafuta anamwambia atapandia ndege arusha so anaendesha gari mpaka arusha akifika arusha atakutana na shadow huyu ndio anayempa tiketi ya ndege usishangae shadow akawa ni mfanyakazi wa ndege(mjaza mafuta) ataenda mpaka kigoma kule atafika kwenye hoteli ambayo imeshalipiwa kila kitu aliyelipa anaweza kuwa ni mwanamke na atajifanya kuwa yule ghost ni mpenzi wake na watalala wote chumba kile na watafanya mapenzi (yule mwanamke ni shadow) kesho watatoka hotelini wataenda kwenye mission wanaweza ingia kwenye mission as couples (ghost na shadow) shadow anakuwa kama ni backup ya ghost katika mission
watafanya mission yao ambayo inaweza kuwa aidha ni kukusanya data, au ni ku attack au ku defence inategemea na mission
hii mission agency inakuwa haijui chochote ila iko chini ya department ya Ghosts
Raisi, mkuu wa idara na mkuu wa agency na Ghosts na shadows tu ndio wanaojua hii inshu
ma agent wengine wanaweza wakawa hawajui chochote kinachoendelea na hawajui kuwa kuna hii department katika agency yao hata makamu wa raisi mwenyewe anakuwa hajui
na hiyo ndio tofauti kati ya ma agent na ghosts
duh uko deep mzee.epic.TrojaN
kama ukisoma post yangu vizuri utaelewa ila kwa ufafanuzi zaidi ni hivi
agent wa kawaida au officer ni yule mfanyakazi wa secret agency yeyote ambaye kapata mafunzo yote as agent na anajulikana na timu nzima ya agency na anakuwa na id ambayo iko kwenye database ya agency mfano agent trojan mwenye id namba 52684 ambapo wewe agent as agent unakuwa unafanya kazi ambazo unapangiwa na department yako na unakuwa ume specialise katika kazi stahiki ya department hiyo
mfano wewe ni IT basi utakuwa katika agency hiyo umeajiriwa katika department ya it na kazi yako itakuwa ni It na utakuwa ni mtata sana katika maeneo hayo, kama wewe ni udereva basi utaspecialise katika udereva na utakuwa ni mtata sana kwenye udereva, kama ni upelelezi basi wewe ni mtata kwenye upelelezi, muajiriwa wa agency katika sekta ya upelelezi na kazi yako ni kufuatana na taratibu na sheria pamoja na policy za agency na details zako zote zitakuwa ndani ya agency na sawa watu wengine wanaweza wasikujue ila ni lazima utajulikana na ma agent wenzako wa pale pale kwenye agency kwani aina ya magari unayotumia yatakuwa ya ofisini, (yanayojulikana) hapa kwetu zamani ilikuwa pajero sasa hivi ni nissan na rav 4, u.s ni gmc na chevroret , aina ya uvaaji (suti za kaunda suti)
GHOSTS
hawa ni aina ya ma agents ambao kwanza wamepitia mafunzo yote ambayo hawa ma agent wote wamepitia
ILA mafunzo yao yanakuwa ni tofauti kuanzia na recruitment hawa base wanayotumia katika mafunzo ni tofauti sio sawa na hawa ma agent wa kawaida (base ambayo it doesnt exist)
budget yao hawa majamaa katika mafunzo sio bajeti ya kitoto
salary zao nyumba zao wanazokaa na magari wanaoendesha sio ya kitoto hata bosi wa department zingine za agency hizo hawafikii
wako under the departmnet which it doesnt exist
sio kila mtu wa ndani ya agency anaijui department ambayo hawa ghosts wako ambao kwa marekani wanaitwa (ASSETS)
hii ni list ambayo inaweza jua existence ya GHOST/ASSETS
president, mkuu wa agency, mkuu wa department ya ghosts na shadows pamoja na real Ghosts
shadows ni akina nani?
shadows ni ma agent ambao wanampa support Ghosts katika kufanikisha mission zake katika sekta ya usafiri, It, pesa, na accomodation
hawa wahajuani na Ghosts na ghosts hawawajui shadows arrangement inafanywa na department ya Ghost mfano narudia tena huu ni mfano tu
Ghost anatakiwa akafanye mission kigoma anaambiwa atoke mjini kariakoo (ofisi yake ilipo) mpaka mbezi pale mbezi atakutana na shadow anampa gari na funguo likiwa na mafuta anamwambia atapandia ndege arusha so anaendesha gari mpaka arusha akifika arusha atakutana na shadow huyu ndio anayempa tiketi ya ndege usishangae shadow akawa ni mfanyakazi wa ndege(mjaza mafuta) ataenda mpaka kigoma kule atafika kwenye hoteli ambayo imeshalipiwa kila kitu aliyelipa anaweza kuwa ni mwanamke na atajifanya kuwa yule ghost ni mpenzi wake na watalala wote chumba kile na watafanya mapenzi (yule mwanamke ni shadow) kesho watatoka hotelini wataenda kwenye mission wanaweza ingia kwenye mission as couples (ghost na shadow) shadow anakuwa kama ni backup ya ghost katika mission
watafanya mission yao ambayo inaweza kuwa aidha ni kukusanya data, au ni ku attack au ku defence inategemea na mission
hii mission agency inakuwa haijui chochote ila iko chini ya department ya Ghosts
Raisi, mkuu wa idara na mkuu wa agency na Ghosts na shadows tu ndio wanaojua hii inshu
ma agent wengine wanaweza wakawa hawajui chochote kinachoendelea na hawajui kuwa kuna hii department katika agency yao hata makamu wa raisi mwenyewe anakuwa hajui
na hiyo ndio tofauti kati ya ma agent na ghosts
Usalama wa Taifa hauwezi kua kamili bila kua na watendaji kama hao kama ulipata kumsoma Lt. Maganga (late) kipindi kile Rai likiwa linaandika makala za kiuanataaluma zaidi huyu alikua mmoja wa maofisa wa jeshi waliofanya uhaini alielezea vizuri role ya hawa watu walipotumwa kuwafuata kenya walipokimbilia na pia walitumwa ujerumani magharibi kipindi hicho kuchunguza na kuwashugulikia marcenaries wa serikali ya Kibaguzi ya SA ambao walihusika na vifo vya kutisha vya wanajeshi wa Tanzania kwa pamoja kule msumbiji hawa maofisa walikua wanafikia kwenye mgahawa mmoja Berlin uliokua ukiendeshwa na TISS lakini kwa image ya mtu binafsi na hapo ndo ilikua safe house yao.. walipomaliza mission kisasi kikalipwa wakarudi nyumbani salama kipindi hicho mkurugenzi akiwa Imran K. So huwez kujua mengi lakin mambo haya sio vitu vya ajabu ndani ya taasisi na wewe mtu wa nje huwezi kuyafaham cz yanahusu Usalama wa Nchi ambao ni Siri Kuu.
ipo hivi..., mnayoyaona kwenye movies asilimia kubwa ni fictitious..., espionage ya kwenye movies doesnt exist..., ukileta ujasusi wa kimuvimuvi.., una-vanish in a matter of weeks into your mission
Pia, ujasusi upo wa aina nyingi sana..., kuna majasusi sio wazuri kabisa kwenye martial arts lakn ni world class hackers..,
Kuna majasusi ni wataalamu wa ku-bond na watu na hawa ni wazuri sana kupata info from the public,,, na info anazokusanya zinaweza kua na umuhimu kuliko kazi za jasusi lililobobea kupigana..., kazi za ujasusi ni intergrated na ndio maana baada ya ma-chief kupata vital intel wanachagua watu wa ku-execute tasks..., ila hii ni baada ya kutumia majasusi waliobobea kwenye intel gathering..,
Ila zipo baadhi ya movies ambazo skills za real espionage zinaonekana...,eg the assignment, hakuna exaggeration in other words starring hakupewi super powers ambazo binadamu wa kawaida hana...,
In real world ni ngumu kumkuta spy anayejua kila kitu na ndio maana mara nyingi mission zinapewa "team" kuna wataalam wa kumfatilia mtu bila yeye kujua..., kwa marekani wanaitwa "g-men", kuna intel gatherers.., kuna assasins, kuna decoys, kuna attaches, foreign assets, informers, etc.., ingawa basic know-how and skills are similar,, specialization huchukua nafasi yake
Wale wanaomlinda Mkuu wa Kaya si ndio Maghosts wenyewe. Pia kuna maghosts mengine yalitumwa na shekhe Yahya ila hayaonekani kabisa.. Nchi hii bhana full mauzauza.
Pointi yako nzuri sana mkuu, ila tunapojadili TISS tuangalie majukumu yake, vinginevyo tutaibebesha hata mambo ambayo kimsingi sio jukumu lao au wanafanya hadi kiwango flani kisha kuna watu wengine wanachukua kuanzia hapo.
PART IV
DUTIES, AND POWERS OF TISS
Duty to collect, analyse and retain information
14 (1) It shall be the duty of the Service to collect, by investigation
or otherwise, to the extent that it is strictly necessary, and analyse and
retain information and intelligence respecting activities that may on
reasonable grounds be suspected of constituting a threat to the security
of the United Republic or any part of it.
(2) The Service shall, in relation to the information dealt with under
subsection (1), report to and advise the Government.
(3) The Service may provide security assessments to departments of
the Government.
(4) The Service may-
(a) advise any Minister on matters relating to the security of Tanzania;
or
(b) provide any Minister with information relating to security matters.
Power to investigate
15.-(1) The Service shall, subject to this Act, have power to investigate
any person or body of persons whom or which it has reasonable
cause to consider a risk or a source of risk of a threat to the state security.
(2) The Service may conduct any investigations which are required
for the purpose of providing security assessments pursuant to section 14.
(3) The Service may, with the approval of the Minister, enter into an
arrangement with-
(a) any person or body of persons;
(b) any local government or other authority;
No. 15 Tanzania Intelligence and Security Service 1996 9
(c) any police, force or other policing organisation.
authorising the Service to provide security assessments.
(4) The Service may, with the approval of the President after consultation
with the Minister for Foreign Affairs, enter into an arrangement
with the government of a foreign state or an international organization
of states authorizing the service to provide the government, institution
or organisation with security assessment.
Restriction on publication and broadcasting of information
16--(1) Subject to this section no per-son shall, without the written
consent of the Minister, publish or cause or allow to be published in a
newspaper or other document, or broadcast or cause or allow to be
broadcast by radio or television or otherwise, the fact that any person, other than the Director-General-
(a) is a member of the Service;
(b) is connected in, any way with a member of the service.
(2) The written consent of the Minister in relation to any proceedings
in any court may be filed in the court and when so filed shall be sufficient
authority to all persons to act in accordance with it.
(3) Any person who fails or refuses to comply with the provisions of
this section commits an offence and upon conviction is liable to a fine
not exceeding five hundred thousand shillings.
Authorized disclosure of information-
17.-(l) Information and intelligence obtained in the performance of
the duties and functions of the Service pursuant to this Act shall not be
disclosed by the Service except in accordance with this section.
(2) The Service may disclose information referred to in subsection
(1) for the purposes of the performance of its duties and functions under
this Act or the administration or enforcement of this Act or as required
by any other law and may also disclose that information
(a) where the information may be used in the investigation or prosecution
of an alleged offence under any law in force in the
United Republic, to any public officer having jurisdiction to investigate
the alleged offence and to the Attorney-General or the
law officer concerned with the proceedings in respect of the alleged
offence;
(b) where, in the opinion of the Minister, disclosure of the information
to any Minister or public officer is essential in the public
interest and that interest clearly outweighs any invasion of privacy
that could result from the disclosure, to that Minister or public
officer.
Cooperation
18.-(1) For the purpose of performing its duties and functions under
this Act, the Service may, with the prior approval of the Minister-
Cooperation
(a) enter into an arrangement or otherwise cooperate with any department
or other institutions of the Government or a local government
authority;
10 No. 15 Tanzania Intelligence and Security Service 1996
(b) after consultation with the Minister for Foreign Affairs, enter
into an arrangement or otherwise cooperate with the Government
of a foreign state or its institution or an international organization
of states or its institution.
(2) Where a written arrangement is entered into pursuant to subsection
(1) of section 15(3) or (4), a copy of the arrangement shall be given
to the Attorney-General.
intilejinsia= hivi maana yake ni nini?
Nimeshaiona hiyo thread ila kuna hoja hapa hapa mkuu kuna watu wanasema Tiss ilikuwa ya nyerere tu hii ya sasa hivi ni dhaifu