Jiwe Linaloishi
JF-Expert Member
- May 24, 2008
- 3,736
- 2,138
Hapa kidogo mkuu nimeanza kukuelewa
Wakuu habari zenu,
Mimi nikiwa sina kazi siku za wikiendi huwa napenda sana kwenda movie na vijana wangu juzi kati nilikuwa mmoja ya watu n waliokuwapo katika kuangalia movie mpya ya Skyfall iliyochezwa na James Bond kwa udhamini wa heineken movie ilikuwa ni nzuri ila katika kuangalia nikapata wazo ambalo kidogo nikaona sio haba kuja kushare na nyinyi hapa
Daniel Craig aliyecheza kama James Bond anaonekana anafuatilia hardware fulani ya siri na hiyo hardware inatumika katika ku hack system za mi6 na kuuwa baadhi ya agents wa mi6 nilipenda jinsi jamaa alivyokuwa anaunganisha upelelezi wake jamaa alikuwa yuko fiti katika vitu vifuatavyo anatumia systema as fighting combat style yake systema kwa wasiofahamu ni ni aina ya russia martial arts training includes but not limited to hand to hand combat, grappling, knife fighting and fire arms training as well.
Training involves drills and sparring without set kata
Pili ana 'iq' kubwa
pia ni mtaalamu wa computer, (naposema computer namaanisha ku hack sio kutumia microsoft words na kuingia facebook na jf)
magari na ni mtumiaji mzuri wa silaha bila kusahau gadgets mbali mbali anazotengenezewa na q.
Sasa swali langu ni hili;
Mi6 kama Mi6 naamini wana watu wa aina ya Bond people who do not exist ila wapo katika mi6 wanakuwa wanajulikana na watu wachache sana kama m, q na moneypenny. sawa ni movie ila ni movie iliyo reflect mazingira halisi ya mi6
suali langu ni kwamba je TISS inazalisha na kutengeneza watu kama bond watu ambao wako fiti katika kila kitu kuanzia uwezo wa kupigana , utumiaji wa silaha, iq na masuala ya gadgets ?
Tiss wana watu ambao they dont exist? Watu ambao kwa lugja ya kiiteligensia wanaitwa "ghosts"
watu ambao wako mbele katika kuhakikisha usalama wa nchi na mustakaballi wa nchi unalindwa
sidhani kama wapo (kwanini sidhani)
1.suala la epa "ghosts" walitakiwa wawe wamelijua since the first time sio linakuja kuibuliwa na wabunge
2. Wizi wa raslimali kama madini, twiga nk "ghosts" walitakiwa wawe na data zote na wawe wamelizuia siku nyingi sio kuja kuibuliwa na wanasiasa
3. Suala la rada n.k ni lazima wawe mstari wa mbele katika kulinda mustakaballi wa tiss kwani kitu kikiibuliwa na wabunge watu wataulizana tiss wako wapi??
Kama haipo iundwe
undeni "ghosts" people they dont exists
people who the dont have restrictions we know mna assasins but assasin sio "ghosts"
wenzenu wa marekani ana watu wanawaita "assets" hawa ndio kama ma ghosts wa mi6
nisinge penda kuingilia kwa undani hii fani ya ushushu, nijikite kwenye mfumo wa kiutendaji.napingana na wanao sifia utendaji wa TISS, tutumie logic kufanya simple analysis.
1. Tanzania ni miongoni mwa nchi masikini sana duniani ingawa ina rasilimali nyingi.umasikini unatokana na ubovu wa mifumo mbali mbali ya uwendeshaji wa nchi, kama siasa na utawala,elimu afya,biashara na rasilimali, usalama(TISS) kwa hiyo umasikini wetu una uhusiano wa karibu kabisa na utendaji mbovu wa TISS, haiwezekani nchi ikawa ya mwisho duniani kwa umasikini alafu ikawa ya kwanza kwa inteligensia, inteligensia isiyoweza kuondoa umasikini haina umuhimu ni inteligensia ya majungu na umbea tu. nani anatembea na mke wa nani??.ankunywa bia ngapi baa??. hawana kitu hawa.. kama wanabisha waje mtaani tuwawape shule
2.inteligensia yetu kwa takribani miongo mitatu imejikita zaidi kenye mambo ya umbea na fitna na hujuma za kisiasa tu. kama nadanganya waje hapa watuambie ni lipe jema kwa nchii hii wamelifanya.wao kila kukicha ni kuhangaika na wapinzani wa serilali dhaifu na dhalimu tu. kuonyesha kuwa hawako makini angalia walicho mfanyia DK.ulimboka na Saidi kubenea
3.wakati wa awamu ya Mwalimu, tulikuwa na malengo tofauti na sasa hivi, kwanza kwa kuwa ndo tulikuwa tumepata uhuru kazi ya msingi ya TISS ya wakati huo ilikuwa ni kuimarisha mamlaka na madaraka ya taasisi ya utawala(Raisi) pili ikuwa ni kulinda uhuru na kuleta ukombozi kwa nchi za kiafrika, tatu kulinda falsafa iliyokuwa iliyokuwa inaongoza uchumi na siasa ya wakati ule "siasa ya ujamaa na kujitegemea" baada ya mageuzi ya kisiasa mwanzo mwa miaka ya 90 tulitakiwa kuifanyia mabadiliko makubwa ya kimfumo taaasisi ta usalama wa taifa,wao ndo walitakiwa washinikize mabadiliko, walitegemea wanasiasa ?? kama kweli ni intelligent, vinginevyo nao ni wananufaika na uafisadi tu.wameitelekeza taaluma yao. eti siku hizi na wao wanalamika. wanasahau kuwa wana nafasi kubwa ya kushinikiza mabadilko kuliko hata wabunge
3.tuige mfumo wa wenzetu wa wamarekani, twaweza boresha kulingana na mazingira yetu,tuigawanye taasisi katika idara tatu
a)secret service itayo husika na ulinzi wa raisi, makamu na waziri mkuu wa nchi na famila zao
b)upelelezi-itahusika na mambo ya criminal investigations na mengine mtaongeza wenye fani
c)ujasusi-usalama wa nje na ndani ya nchi, uchumi,siasa,utamaduni,utawala nakadhalika. hii idara itahisika kuangalia na kushauri usalama wa nchi, kiuchumi ,kisiasa na kiutmaduni
wao kama ni inteligent walitakiwa wawe wameyaona kabla, waforesee miaka 100 ijayo tunawategemea wao kwanza sisi baadaye,wafanye kazi zao ndo maana tumewapa kila kitu, haina maana sisi tuache kufundisha, au kutibu watu tuje kuwaambia cha kufanya
Wakuu habari zenu,
Mimi nikiwa sina kazi siku za wikiendi huwa napenda sana kwenda movie na vijana wangu juzi kati nilikuwa mmoja ya watu n waliokuwapo katika kuangalia movie mpya ya Skyfall iliyochezwa na James Bond kwa udhamini wa heineken movie ilikuwa ni nzuri ila katika kuangalia nikapata wazo ambalo kidogo nikaona sio haba kuja kushare na nyinyi hapa
Daniel Craig aliyecheza kama James Bond anaonekana anafuatilia hardware fulani ya siri na hiyo hardware inatumika katika ku hack system za mi6 na kuuwa baadhi ya agents wa mi6 nilipenda jinsi jamaa alivyokuwa anaunganisha upelelezi wake jamaa alikuwa yuko fiti katika vitu vifuatavyo anatumia systema as fighting combat style yake systema kwa wasiofahamu ni ni aina ya russia martial arts training includes but not limited to hand to hand combat, grappling, knife fighting and fire arms training as well.
Training involves drills and sparring without set kata
Pili ana 'iq' kubwa
pia ni mtaalamu wa computer, (naposema computer namaanisha ku hack sio kutumia microsoft words na kuingia facebook na jf)
magari na ni mtumiaji mzuri wa silaha bila kusahau gadgets mbali mbali anazotengenezewa na q.
Sasa swali langu ni hili;
Mi6 kama Mi6 naamini wana watu wa aina ya Bond people who do not exist ila wapo katika mi6 wanakuwa wanajulikana na watu wachache sana kama m, q na moneypenny. sawa ni movie ila ni movie iliyo reflect mazingira halisi ya mi6
suali langu ni kwamba je TISS inazalisha na kutengeneza watu kama bond watu ambao wako fiti katika kila kitu kuanzia uwezo wa kupigana , utumiaji wa silaha, iq na masuala ya gadgets ?
Tiss wana watu ambao they dont exist? Watu ambao kwa lugja ya kiiteligensia wanaitwa "ghosts"
watu ambao wako mbele katika kuhakikisha usalama wa nchi na mustakaballi wa nchi unalindwa
sidhani kama wapo (kwanini sidhani)
1.suala la epa "ghosts" walitakiwa wawe wamelijua since the first time sio linakuja kuibuliwa na wabunge
2. Wizi wa raslimali kama madini, twiga nk "ghosts" walitakiwa wawe na data zote na wawe wamelizuia siku nyingi sio kuja kuibuliwa na wanasiasa
3. Suala la rada n.k ni lazima wawe mstari wa mbele katika kulinda mustakaballi wa tiss kwani kitu kikiibuliwa na wabunge watu wataulizana tiss wako wapi??
Kama haipo iundwe
undeni "ghosts" people they dont exists
people who the dont have restrictions we know mna assasins but assasin sio "ghosts"
wenzenu wa marekani ana watu wanawaita "assets" hawa ndio kama ma ghosts wa mi6
mkuu umemsahau willy gamba??
Wapo mkuu, tena wamefundwa zaidi ya uonapo movie hizo!
Unapoona tukio lolote la kifisadi au vyovyote vile limewafikia Chadema au mbunge yeyote jua kuwa limetokea TISS!
Hakuna kitu ndani ya nchi hii kinachoweza kutokea bila TISS kujua!
Tatizo ni watawala, TISS wakishamaliza uchunguzi unaoonyesha kuwa kuna tukio linakuja au lipo wao hupeleka file mahali husika huko ndiko hupewa amri na maelekezo ya nini wafanye!
Jidanganye kuwa hawapo ulijua jiji mkuu!
Tanzania ndio nchi inayoongoza kwakuwa na Usalama wa Taifa imara kuliko nchi yoyote Afrika!
ngudu, TISS hawajafundwa kokote, ni mbovu kulko zote afrika, kwa mfano issue ya ULI, kama mtu anakwenda kum-assasinate mtu halafu katika zoezi hilo anatumia simu kumpigia mhusika na rekodi zote za sms zinabaki kwenye simu, then intelligence ipo wapi, walishindwa kuwa na special access kwenye mitanao ya simu ili kufanya shughuli zao bila kujulikana?
TISS ipo chini ya ofisi ya rais , kitengo cha utawala bora, unategeme kuwa na GHOST agent wakati una ma-assisin uchwara?